Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,444
- 7,808
Leo Rais Samia Suluhu amerejea nchini na atazindua filamu ya 'Royal Tour' jijini Arusha. Rais Samia ametoa mrejesho wa kilichojiri kwenye ziara yake Marekani ambapo aliondoka nchini April 13, 2022.
Miongoni Rais Samia ameongelea kukutana na IMF na benki ya dunia ambapo ameahidiwa fedha kama iliyoletwa na kupelekwa kwenye vituo vya afya, madarasa na mengineyo.
Rais Samia: Nimesahau moja, kwamba tulifanya pia mazungumzo na mashirika ya fedha ya kimataifa, benki ya dunia na shirika la fedha duniani nao pia mambo ni mazuri, tumekubaliana vizuri na fedha kama ile tuliyoleta na kupeleka kwenye vituo vya afya, madarasa na mengine, tunatarajia kuna nyingine itakuja ya aina ile iende kwenye maendeleo.
Miongoni Rais Samia ameongelea kukutana na IMF na benki ya dunia ambapo ameahidiwa fedha kama iliyoletwa na kupelekwa kwenye vituo vya afya, madarasa na mengineyo.
Rais Samia: Nimesahau moja, kwamba tulifanya pia mazungumzo na mashirika ya fedha ya kimataifa, benki ya dunia na shirika la fedha duniani nao pia mambo ni mazuri, tumekubaliana vizuri na fedha kama ile tuliyoleta na kupeleka kwenye vituo vya afya, madarasa na mengine, tunatarajia kuna nyingine itakuja ya aina ile iende kwenye maendeleo.