BWANKU M BWANKU
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 328
- 414
Na Bwanku M Bwanku
Leo Jumanne kwenye Gazeti la TANZANIA LEO Ukurasa wa 6 nimechambua ziara ya siku 3 ya Rais Samia Suluhu Hassan kule Falme za Kiarabu (UAE) ambapo Jana Jumatatu Februari 28, 2022 alirejea nchini kutoka kwenye ziara hiyo ambayo pamoja na mambo mengine alishiriki matukio mawili makubwa ya Kimataifa akianza kwa kuwa Mgeni rasmi na kuhutubia kwenye Siku Maalum ya Tanzania kwenye maonyesho makubwa ya Kimataifa ya Biashara na Uwekezaji Dubai Siku ya Februari 26 pamoja na Kuhutubia kwenye Kongamano kubwa la Biashara na Uwekezaji Februari 27.
Kwenye ziara hiyo ya Falme za Kiarabu, tayali Rais Samia amerejea nchini akiwa na makubaliano takribani 36 ya Ushirikiano kwenye sekta mbalimbali za maendeleo kati ya Tanzania na Falme hizo yenye thamani ya Trilioni 17.1 itakayotoa jumla ya ajira 204,575 kwa Vijana na Watanzania wote. Pata NAKALA sasa ya Gazeti letu uone namna siku 3 za ziara ya Rais Samia Dubai inavyokwenda kubadirisha Uchumi na maendeleo ya Taifa hili.
Bwanku M Bwanku
Leo Jumanne kwenye Gazeti la TANZANIA LEO Ukurasa wa 6 nimechambua ziara ya siku 3 ya Rais Samia Suluhu Hassan kule Falme za Kiarabu (UAE) ambapo Jana Jumatatu Februari 28, 2022 alirejea nchini kutoka kwenye ziara hiyo ambayo pamoja na mambo mengine alishiriki matukio mawili makubwa ya Kimataifa akianza kwa kuwa Mgeni rasmi na kuhutubia kwenye Siku Maalum ya Tanzania kwenye maonyesho makubwa ya Kimataifa ya Biashara na Uwekezaji Dubai Siku ya Februari 26 pamoja na Kuhutubia kwenye Kongamano kubwa la Biashara na Uwekezaji Februari 27.
Kwenye ziara hiyo ya Falme za Kiarabu, tayali Rais Samia amerejea nchini akiwa na makubaliano takribani 36 ya Ushirikiano kwenye sekta mbalimbali za maendeleo kati ya Tanzania na Falme hizo yenye thamani ya Trilioni 17.1 itakayotoa jumla ya ajira 204,575 kwa Vijana na Watanzania wote. Pata NAKALA sasa ya Gazeti letu uone namna siku 3 za ziara ya Rais Samia Dubai inavyokwenda kubadirisha Uchumi na maendeleo ya Taifa hili.
Bwanku M Bwanku