Rais Samia apunguza gharama za matibabu ya figo kwa asilimia 66

Anawezaje haya yote huyu mama?

SGR TZS 10.2T ni Yeye,
SG TZS 6.55T ni Yeye
Madarasa mapya manne kila sekondari nchi nzima,
Madawati 120 kila sekondari nchi nzima
Tena anaweza kutumia uwezo wake huo wa lugha yake tamu kwenye masikio ya wafadhili kuwashawishi wampe fungu ajenge daraja la kuunganisha bara na Zenj (Tanga na Pemba) litaloitwa Samia Suluhu Hassan Muungano Bridge hii ndiyo itakuwa unique legacy yake isiyofutika.
Third-Mainland-Bridge-2.jpg

Taswira kwa hisani ya Google.
 
Tena anaweza kutumia uwezo wake huo wa lugha yake tamu kwenye masikio ya wafadhili kuwashawishi wampe fungu ajenge daraja la kuunganisha bara na Zenj (Tanga na Pemba) litaloitwa Samia Suluhu Hassan Muungano Bridge hii ndiyo itakuwa unique legacy yake isiyofutika.
Third-Mainland-Bridge-2.jpg

Taswira kwa hisani ya Google.
Hii nimeipenda sana,

Mungu atafanya iko Siku
 

Rais Samia apunguza gharama za matibabu ya figo kwa 66% kutoka TZS 300K mpaka 100K || Tanzania kununua mashine 7,000 kwaajili ya dialysis​

______________________________________
Dialysis ni kitendo cha kuondoa Sumu,Uchafu na ziada ya maji kwenye damu ya binadamu baada ya figo kufeli kufanya kazi hiyo au simply ni kitendo cha kupitisha damu kwenye mashine ili isafishwe,

Rais mnyenyekevu Samia Suluhu Hassan ametangaza kushusha bei ya matibabu ya figo ( dialysis) kwa watoto wa masikini wa nchi kwa karibu 70% kutoka Tshs 300,000 ya Sasa mpaka chini ya Tshs 100,000,Mnaposikia tunasema Rais Samia anahuruma kwa watu wake huwa tunamaanisha mambo haya,

Rais Samia pia kupitia MSD ameahidi kununua zaidi ya mashine mpya 7,000 za dialysis kwaajili ya Vituo vya kutolea huduma elfu 7 na hii ni baada ya Rais Samia kuzia wizi na ubadhilifu kwenye manunuzi ndani ya MSD kwa karibu 50% ya gharama.

Rais Samai amegundua hivi,mashine iliyonunuliwa kwa Tshs 100M kabla ya Rais Samia sasa inanunuliwa kwa Tshs 55M tu |Fungua hiyo Video chini umsikilize vizuri Director General wa MSD Maj. Gen. Dr. Gabriel Sauli Mhidize|

Taarifa za shirika la afya duniani ( WHO ) za mwaka 2018 zinaonesha jumla ya vifo 2,636 sawa na 1% ya vifo vyote Tanzania hutokana na matatizo ya figo,


.........Kazi iendelee .........

=================================
Relief as dialysis costs set to come down 66 percent

FRIDAY SEPTEMBER 24 2021

Summary
This is after the govt decided to buy the dialysis machines directly from manufacturers

Dar es Salaam.
________________

Come January 2022,
costs of dialysis will come down by 66 percent to Sh100,000 after the government started procuring machines directly from manufacturers.

Currently, a session of dialysis costs between Sh230,000 and Sh300,000.

The government says fixing of the new machines supplied directly by manufacturers for a price that is 47 percent cheaper has started at some of the hospitals across the country, specifically on Mafia Island in Coast Region and Rubia in Kagera Region.

Speaking yesterday, Medical Stores Department’s (MSD) director general Gabriel Mhidize said hospitals that will be receive first instalments include Muhimbili in Dar es Salaam, Udom in Dodoma, Seketure in Mwanza, Chato in Geita Region, Temeke, Amana and Mwananyamala of Dar es Salaam and Tumbi of Coast Region.

“Dialysis procedures are very expensive in Tanzania making it hard for an ordinary citizen to afford,” he said.

Dialysis is the process of removing excess water, solutes, and toxins from the blood in people whose kidneys can no longer perform these functions naturally.

Dr Mhidize said, “We will start with the price of Sh100,000 a session, however it might go lower in future.”

He said by buying machine directly from manufacturers the government has saved nearly Sh18 billion annually.

He said MSD has also started to procure machines and medical equipment at a price of 50 to 100 percent cheaper.

“That is the direction that the National Health Insurance Fund (NHIF) and MSD are taking--cost cutting. For instance, a machine that was sold Sh57 million is now bought at Sh25 million; same for a Sh27 million equipment now is Sh14 million,” he said.

He added: “A machine once sold at Sh14 million now is Sh7 million, while that of Sh7 million is sold at Sh2 million.”

Health minister Dorothy Gwajima said the purchase of the machines was part of the plan to improve health services and infrastructure in the country, a move that needs to go hand in hand with the building of pharmaceutical industries.

“Availability of machines at all hospitals across the country would reduce service costs and save patients money, because there will be no necessity to travel a long distance for the service,” she said
_________________________________________

VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1951660
14|10|2021

Rais Samia atakuwa Chato kwenye kuzima Mwenge

Sherehe zitafanyika Uwanja wa Magufuli,

Karibu sana njoo Uungane na Rais wako,

_______
 
Safi sana hii
Tena anaweza kutumia uwezo wake huo wa lugha yake tamu kwenye masikio ya wafadhili kuwashawishi wampe fungu ajenge daraja la kuunganisha bara na Zenj (Tanga na Pemba) litaloitwa Samia Suluhu Hassan Muungano Bridge hii ndiyo itakuwa unique legacy yake isiyofutika.
Third-Mainland-Bridge-2.jpg

Taswira kwa hisani ya Google.
 
ID za kimkakati sasa ndo hizi zenyewe kutwa kusifia humu
kuanzia asbh mpaka asbh ya kesho yake ni

Mama
Mama
Mama
Mama
Mmama
Mmaaaaa
khaaaaaaaaa!!
👇🏿👇🏿👇🏿


Miezi sita ya Rais Samia,

Nchi imetulia tuli,
Wawekezaji kama wote
Wahisani kama wote
Wananchi Shangwe kila kona

#KAZIIENDELEE
 
ID za kimkakati sasa ndo hizi zenyewe kutwa kusifia humu
kuanzia asbh mpaka asbh ya kesho yake ni

Mama
Mama
Mama
Mama
Mmama
Mmaaaaa
khaaaaaaaaa!!
Rais Samia ameongeza wanafunzi 29,000 kwenye mikopo ya elimu ya juu HESLB kwa miezi sita tu,

miaka mitano mfululizo iliyopita tulifanikiwa wanafunzi wapya 32,000

Unaisemaje kasi ya Rais Samia?
 
Wakati mwingine muwe mnatumia akili angalau kidogo kabla ya kurohoja huo ujinga wenu.

Hizo rasilimali pesa zilizo tumika kuaandaa mazingira na kununulia hizo mashine ni jasho la watanzania.

Rais hana uwezo wa kupata hizo fedha tena eti anawasaidia watanzania!

Angekuwa ametumia mshahra wake kufanyia hayo mambo ndiyo ungekuja na hizo ngonjera zako .

Siku nyingine kabla hujaandika huo upuuzi wako jaribu kuushirikisha ubongo wako.
Asante kwa kumpa ukweli huyu kila akiletabuzinhapa wa kupambia anashindwa kufikiria!
Kwani pesa ya t oka mfukoni au kwa paycheck yake!?
Angesema waTanzania wameweza kufanya hili kwa kodi zao akisimamia.

Sent from my SM-A115AZ using JamiiForums mobile app
 
Chadema haihusiki hapa,serikali inatekeleza majukumu yake,hata ingekuwa serikali ya act wazalendo,chadema,chauma n.k ingefanya hayo hayo.
Watanzania wameshafunguka.Ukitaka kufahamu hilo ipatikane tume huru ya uchaguzi.
👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿

Kutoka Mwaka 2015/16 hadi 2020/21 pesa iliyoongezwa bodi ya mikopo ilikuwa Tshs 101BL na wanafunzi wapya walikuwa elfu 32 ,

Awamu ya sita kwa miezi sita pesa iliyoongezwa kwenye bodi hiyohiyo ni Tsh 120b na wanafunzi wapya ni elfu 29

Budget ya HESLB kwa mwaka 2015/16 ilikuwa 348.7B kwa wanafunzi 98,300

Budget ya HESLB mwaka 2020/21 ilifikia 450B kwa wanafunzi 130,883

_________________________

Awamu ya sita kwa miezi sita imeongeza budget kutoka 450B za awali hadi 570B za sasa na idadi ya wanufaika imeongezeka na kufikia 160,000.

#Hoja hapa ni muda wa matokeo

#HAKUNA KAMA SAMIA
 
👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿

Kutoka Mwaka 2015/16 hadi 2020/21 pesa iliyoongezwa bodi ya mikopo ilikuwa Tshs 101BL na wanafunzi wapya walikuwa elfu 32 ,

Awamu ya sita kwa miezi sita pesa iliyoongezwa kwenye bodi hiyohiyo ni Tsh 120b na wanafunzi wapya ni elfu 29

Budget ya HESLB kwa mwaka 2015/16 ilikuwa 348.7B kwa wanafunzi 98,300

Budget ya HESLB mwaka 2020/21 ilifikia 450B kwa wanafunzi 130,883

_________________________

Awamu ya sita kwa miezi sita imeongeza budget kutoka 450B za awali hadi 570B za sasa na idadi ya wanufaika imeongezeka na kufikia 160,000.

#Hoja hapa ni muda wa matokeo

#HAKUNA KAMA SAMIA
Kwakweli Mama anajicho la huruma!
Kuna mahali alinifaa.Mungu amjaalie afya njema.
 
Back
Top Bottom