Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,214
- 3,587
Tena anaweza kutumia uwezo wake huo wa lugha yake tamu kwenye masikio ya wafadhili kuwashawishi wampe fungu ajenge daraja la kuunganisha bara na Zenj (Tanga na Pemba) litaloitwa Samia Suluhu Hassan Muungano Bridge hii ndiyo itakuwa unique legacy yake isiyofutika.Anawezaje haya yote huyu mama?
SGR TZS 10.2T ni Yeye,
SG TZS 6.55T ni Yeye
Madarasa mapya manne kila sekondari nchi nzima,
Madawati 120 kila sekondari nchi nzima
Taswira kwa hisani ya Google.