Rais Samia apunguza gharama za matibabu ya figo kwa asilimia 66

Punguzeni sifa... Haya masifa ndo yanawaharibu viongozi.


Anatimiza wajibu wake.
 
T
Kichaa huyo asikupotezee muda
Tuliza makalio wewe, hizo sifa zenu mnazopamba viongozi ndio zinasababisha mpaka wanageuka madikteta uchwara kama yule aliyepita. Mwaka 2016 jpm alianza vizuri, very humble ila sifa za watu kama nyie wasaka vyeo zikamfanya akawa na kiburi na majivuno ya hali ya juu. Sasa mmeanza na mama tena
 
ID za kimkakati sasa ndo hizi zenyewe kutwa kusifia humu
kuanzia asbh mpaka asbh ya kesho yake ni

Mama
Mama
Mama
Mama
Mmama
Mmaaaaa
khaaaaaaaaa!!
HOTUBA YA RAIS SAMIA UMOJA WA MATAIFA NI MIONGONI MWAHOTUBA BORA 7 MKUTANO WA 76
_________________________________

Foreign Policy ( FP) ya Marekani yaitaja hotuba ya Rais Samia Suluhu ya Sept 23|2021 UN Gen Assembly kuwa ndio hotuba bora zaidi toka Africa na nimiongoni mwahotuba saba ( 7 ) bora zaidi zilizotolewa na viongozi wakuu wa nchi kwenye Mkutano mkuu wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa New York Marekani,

Hotuba ya Rais Samia UNGA pia inatajwa kuwa ndio hutoba bora zaidi toka kwa Rais Mwanamke duniani miongoni mwawanawake Marais waliohutubia mkutano huo wa 76,Utafiti huo ulifanywa na Foreign policy kwa kuwahoji wajumbe wa mkutano ule ambao Rais Samia alikuwa miongoni mwawajumbe hao 192 toka nchi 193 wanachama wa UN ambao wengi wao walifika na wengine wachache walishiriki kwa njia ya Mtandao,

Marais wengine sita ( 6 ) kati ya 192 waliotoa hotuba bora kama ilivyo kwa Rais Samia Suluhu Hassan ni Mhe Joe Biden rais wa Marekani, Rais wa Brazil Mhe Jair Bolsonaro,Rais wa China Xi Jinping,Rais wa Lebanoni Mhe Michel Aoun,Rais wa Irani Mhe Ebrahim Raisi’s na waziri mkuu wa India Narendra Modi hakika Rais Samia ni nyota inayong'aa duniani,

Mtakumbuka Rais Samia mara kwa mara katika hotuba yake ile alisifu na kusisitiza Uhusiano wa Kimataifa na mipango ya UN,namnukuu "Ukitaka kwenda haraka nenda peke yako ila ukitaka kwenda mbali nenda na wenzako " huku akitanabaisha Taifa lake la Tanzania kuhitaji zaidi msaada katika Teknolojia pamoja Fedha toka kwa Mataifa mengine huku akionya " Kamwe ushirikiano wa kimataifa hautashindwa kupambana na virusi vya Covid -19,

Rais Samia Suluhu Hassan amezishangaa nchi tajiri kuanza kurudia chanjo ( boosting) wakati nchi nyingi masiki toka Africa utoaji wa chanjo bado wako chini 2% ,amezitaka kuzisaidia ilikufikia lengo la WHO la chanjo 40% kwa nchi zote 193 hadi mwishoni mwamwaka 2021 na kufika 70% mwishoni mwa 2022,endelea kujisomea hapo chini,


=============================

President Samia's speech among seven most important at UNGA 2021

WEDNESDAY SEPTEMBER 29 2021

President Samia Suluhu Hassan addressing the United Nations General Assembly (UNGA).

Summary

Samia becomes one of the few female heads of State from Africa to address the UN General Assembly.

Dar es Salaam.
________________
President’s Samia Suluhu Hassan’s maiden speech at the United Nations General Assembly (Unga), has been mentioned among the seven most important during the session.

On September 23,

President Samia Suluhu Hassan addressed Unga’s 76th session in New York, USA this week.

President Samia Suluhu Hassan’s speech has been selected by American website ‘Foreign Policy (FP)’ among the most important addresses at the assembly and the only one from a female head of state.

Samia becomes one of the few female heads of State from Africa to address the UN General Assembly.

Other head of the whose Unga speeches have been highlited as important includes: the U.S. President Joe Biden, Brazilian President Jair Bolsonaro, Chinese President Xi Jinping, Lebanese President Michel Aoun, Iranian President Ebrahim Raisi’s and Indian Prime Minister Narendra Modi

In their publication, Foreign Policy asked several of their columnists and contributors to weigh in on the speeches they found most compelling or most concerning.

When President Samia finally took the stage to deliver her speech at the Unga, she presented a distinctive contrast to the endless stream of all-male speakers who had preceded her to the podium on the third day of the General Debate.

In her maiden speech, Samia repeatedly praised multilateralism and the United Nations system. She noted her nation’s dependency on technical and financial support from external sources and admonished that “multilateralism cannot and should not succumb to the virus.”

She decried the COVID-19 vaccine inequality, noting that high and middle-income countries were now giving booster vaccinations while developing countries such as Tanzania had barely inoculated even 2 percent of its population.

“The level of vaccine inequity that we see is appalling.It is truly disheartening to see that most of the countries have inoculated less than 2 per cent of the populace and thus need to seek more vaccines for our people,”

“With the current pace, it is less likely that we will meet the WHO threshold of vaccinating at least 40 percent of people in every country by end of 2021, and at least 70 percent by the first half of 2022,” she said.

President Samia also spoke at length on gender equality, a cause she avidly advocates.

“As the first female president in the history of my country, the burden of expectation to deliver gender equality is heavier on my shoulders. Being passionate about gender equality is not sufficient and as such, my government is reviewing policy and legal frameworks in order to come up with actionable and measurable plans to ensure economic empowerment of women and other aspects pertaining to gender equality and gender parity,” she noted.

President Samia pointedly noted that ‘COVID-19 is threatening to roll back the gains made’ in gender equity and said she plans to implement policies aimed at female economic development and political and social advancement.

She assured the Assembly of Tanzania's commitment to remain a formidable member of the United Nations and a dependable supporter of multilateralism.

Other female presidents
Although most African countries joined the UN in the 1960s soon after they attained independence, with a few joining earlier than that or later, it wasn’t until 2006 that the first African female Head of State, Ellen Johnson Sirleaf of Liberia, addressed the UN General Assembly.

Currently, the 54 African member states of the UN make up to 28 percent of its overall membership. Before 2006, only male heads of State and governments had addressed the General Assembly.

Other African female heads of State that followed were Joyce Hilda Banda of Malawi in 2012, Catherine Samba-Panza of the Central African Republic in 2014, and most recently, Sahle-Work Zewde of Ethiopia in 2019.

.........Kazi iendelee.........

C&P
 
HOTUBA YA RAIS SAMIA UMOJA WA MATAIFA NI MIONGONI MWAHOTUBA BORA 7 MKUTANO WA 76
_________________________________

Foreign Policy ( FP) ya Marekani yaitaja hotuba ya Rais Samia Suluhu ya Sept 23|2021 UN Gen Assembly kuwa ndio hotuba bora zaidi toka Africa na nimiongoni mwahotuba saba ( 7 ) bora zaidi zilizotolewa na viongozi wakuu wa nchi kwenye Mkutano mkuu wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa New York Marekani,

Hotuba ya Rais Samia UNGA pia inatajwa kuwa ndio hutoba bora zaidi toka kwa Rais Mwanamke duniani miongoni mwawanawake Marais waliohutubia mkutano huo wa 76,Utafiti huo ulifanywa na Foreign policy kwa kuwahoji wajumbe wa mkutano ule ambao Rais Samia alikuwa miongoni mwawajumbe hao 192 toka nchi 193 wanachama wa UN ambao wengi wao walifika na wengine wachache walishiriki kwa njia ya Mtandao,

Marais wengine sita ( 6 ) kati ya 192 waliotoa hotuba bora kama ilivyo kwa Rais Samia Suluhu Hassan ni Mhe Joe Biden rais wa Marekani, Rais wa Brazil Mhe Jair Bolsonaro,Rais wa China Xi Jinping,Rais wa Lebanoni Mhe Michel Aoun,Rais wa Irani Mhe Ebrahim Raisi’s na waziri mkuu wa India Narendra Modi hakika Rais Samia ni nyota inayong'aa duniani,

Mtakumbuka Rais Samia mara kwa mara katika hotuba yake ile alisifu na kusisitiza Uhusiano wa Kimataifa na mipango ya UN,namnukuu "Ukitaka kwenda haraka nenda peke yako ila ukitaka kwenda mbali nenda na wenzako " huku akitanabaisha Taifa lake la Tanzania kuhitaji zaidi msaada katika Teknolojia pamoja Fedha toka kwa Mataifa mengine huku akionya " Kamwe ushirikiano wa kimataifa hautashindwa kupambana na virusi vya Covid -19,

Rais Samia Suluhu Hassan amezishangaa nchi tajiri kuanza kurudia chanjo ( boosting) wakati nchi nyingi masiki toka Africa utoaji wa chanjo bado wako chini 2% ,amezitaka kuzisaidia ilikufikia lengo la WHO la chanjo 40% kwa nchi zote 193 hadi mwishoni mwamwaka 2021 na kufika 70% mwishoni mwa 2022,endelea kujisomea hapo chini,


=============================

President Samia's speech among seven most important at UNGA 2021

WEDNESDAY SEPTEMBER 29 2021

President Samia Suluhu Hassan addressing the United Nations General Assembly (UNGA).

Summary

Samia becomes one of the few female heads of State from Africa to address the UN General Assembly.

Dar es Salaam.
________________
President’s Samia Suluhu Hassan’s maiden speech at the United Nations General Assembly (Unga), has been mentioned among the seven most important during the session.

On September 23,

President Samia Suluhu Hassan addressed Unga’s 76th session in New York, USA this week.

President Samia Suluhu Hassan’s speech has been selected by American website ‘Foreign Policy (FP)’ among the most important addresses at the assembly and the only one from a female head of state.

Samia becomes one of the few female heads of State from Africa to address the UN General Assembly.

Other head of the whose Unga speeches have been highlited as important includes: the U.S. President Joe Biden, Brazilian President Jair Bolsonaro, Chinese President Xi Jinping, Lebanese President Michel Aoun, Iranian President Ebrahim Raisi’s and Indian Prime Minister Narendra Modi

In their publication, Foreign Policy asked several of their columnists and contributors to weigh in on the speeches they found most compelling or most concerning.

When President Samia finally took the stage to deliver her speech at the Unga, she presented a distinctive contrast to the endless stream of all-male speakers who had preceded her to the podium on the third day of the General Debate.

In her maiden speech, Samia repeatedly praised multilateralism and the United Nations system. She noted her nation’s dependency on technical and financial support from external sources and admonished that “multilateralism cannot and should not succumb to the virus.”

She decried the COVID-19 vaccine inequality, noting that high and middle-income countries were now giving booster vaccinations while developing countries such as Tanzania had barely inoculated even 2 percent of its population.

“The level of vaccine inequity that we see is appalling.It is truly disheartening to see that most of the countries have inoculated less than 2 per cent of the populace and thus need to seek more vaccines for our people,”

“With the current pace, it is less likely that we will meet the WHO threshold of vaccinating at least 40 percent of people in every country by end of 2021, and at least 70 percent by the first half of 2022,” she said.

President Samia also spoke at length on gender equality, a cause she avidly advocates.

“As the first female president in the history of my country, the burden of expectation to deliver gender equality is heavier on my shoulders. Being passionate about gender equality is not sufficient and as such, my government is reviewing policy and legal frameworks in order to come up with actionable and measurable plans to ensure economic empowerment of women and other aspects pertaining to gender equality and gender parity,” she noted.

President Samia pointedly noted that ‘COVID-19 is threatening to roll back the gains made’ in gender equity and said she plans to implement policies aimed at female economic development and political and social advancement.

She assured the Assembly of Tanzania's commitment to remain a formidable member of the United Nations and a dependable supporter of multilateralism.

Other female presidents
Although most African countries joined the UN in the 1960s soon after they attained independence, with a few joining earlier than that or later, it wasn’t until 2006 that the first African female Head of State, Ellen Johnson Sirleaf of Liberia, addressed the UN General Assembly.

Currently, the 54 African member states of the UN make up to 28 percent of its overall membership. Before 2006, only male heads of State and governments had addressed the General Assembly.

Other African female heads of State that followed were Joyce Hilda Banda of Malawi in 2012, Catherine Samba-Panza of the Central African Republic in 2014, and most recently, Sahle-Work Zewde of Ethiopia in 2019.

.........Kazi iendelee.........

C&P
Haya mambo ni Mungu anayaongoza,

Kila mtu ni mgonjwa mtarajiwa,

#KAZI IENDELEE
 
Wakati Rais Samia anakwepa gharama ya mafuta ya TZS 270M kwa kupanda usafiri wa Umma | Rais Joao wa Angola ametumia TZS 9.5B kwenye Safari hiyo hiyo


#KAZI IENDELEE KWA KASI &WELEDI ZAIDI
 

Rais Samia apunguza gharama za matibabu ya figo kwa 66% kutoka TZS 300K mpaka 100K || Tanzania kununua mashine 7,000 kwaajili ya dialysis​

______________________________________
Dialysis ni kitendo cha kuondoa Sumu,Uchafu na ziada ya maji kwenye damu ya binadamu baada ya figo kufeli kufanya kazi hiyo au simply ni kitendo cha kupitisha damu kwenye mashine ili isafishwe,

Rais mnyenyekevu Samia Suluhu Hassan ametangaza kushusha bei ya matibabu ya figo ( dialysis) kwa watoto wa masikini wa nchi kwa karibu 70% kutoka Tshs 300,000 ya Sasa mpaka chini ya Tshs 100,000,Mnaposikia tunasema Rais Samia anahuruma kwa watu wake huwa tunamaanisha mambo haya,

Rais Samia pia kupitia MSD ameahidi kununua zaidi ya mashine mpya 7,000 za dialysis kwaajili ya Vituo vya kutolea huduma elfu 7 na hii ni baada ya Rais Samia kuzia wizi na ubadhilifu kwenye manunuzi ndani ya MSD kwa karibu 50% ya gharama.

Rais Samai amegundua hivi,mashine iliyonunuliwa kwa Tshs 100M kabla ya Rais Samia sasa inanunuliwa kwa Tshs 55M tu |Fungua hiyo Video chini umsikilize vizuri Director General wa MSD Maj. Gen. Dr. Gabriel Sauli Mhidize|

Taarifa za shirika la afya duniani ( WHO ) za mwaka 2018 zinaonesha jumla ya vifo 2,636 sawa na 1% ya vifo vyote Tanzania hutokana na matatizo ya figo,


.........Kazi iendelee .........

=================================
Relief as dialysis costs set to come down 66 percent

FRIDAY SEPTEMBER 24 2021

Summary
This is after the govt decided to buy the dialysis machines directly from manufacturers

Dar es Salaam.
________________

Come January 2022,
costs of dialysis will come down by 66 percent to Sh100,000 after the government started procuring machines directly from manufacturers.

Currently, a session of dialysis costs between Sh230,000 and Sh300,000.

The government says fixing of the new machines supplied directly by manufacturers for a price that is 47 percent cheaper has started at some of the hospitals across the country, specifically on Mafia Island in Coast Region and Rubia in Kagera Region.

Speaking yesterday, Medical Stores Department’s (MSD) director general Gabriel Mhidize said hospitals that will be receive first instalments include Muhimbili in Dar es Salaam, Udom in Dodoma, Seketure in Mwanza, Chato in Geita Region, Temeke, Amana and Mwananyamala of Dar es Salaam and Tumbi of Coast Region.

“Dialysis procedures are very expensive in Tanzania making it hard for an ordinary citizen to afford,” he said.

Dialysis is the process of removing excess water, solutes, and toxins from the blood in people whose kidneys can no longer perform these functions naturally.

Dr Mhidize said, “We will start with the price of Sh100,000 a session, however it might go lower in future.”

He said by buying machine directly from manufacturers the government has saved nearly Sh18 billion annually.

He said MSD has also started to procure machines and medical equipment at a price of 50 to 100 percent cheaper.

“That is the direction that the National Health Insurance Fund (NHIF) and MSD are taking--cost cutting. For instance, a machine that was sold Sh57 million is now bought at Sh25 million; same for a Sh27 million equipment now is Sh14 million,” he said.

He added: “A machine once sold at Sh14 million now is Sh7 million, while that of Sh7 million is sold at Sh2 million.”

Health minister Dorothy Gwajima said the purchase of the machines was part of the plan to improve health services and infrastructure in the country, a move that needs to go hand in hand with the building of pharmaceutical industries.

“Availability of machines at all hospitals across the country would reduce service costs and save patients money, because there will be no necessity to travel a long distance for the service,” she said
_________________________________________

VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1951660
Unajua Rais Samia amejenga madarasa elfu 18?

Endelea kumwombea
 

Rais Samia apunguza gharama za matibabu ya figo kwa 66% kutoka TZS 300K mpaka 100K || Tanzania kununua mashine 7,000 kwaajili ya dialysis​

______________________________________
Dialysis ni kitendo cha kuondoa Sumu,Uchafu na ziada ya maji kwenye damu ya binadamu baada ya figo kufeli kufanya kazi hiyo au simply ni kitendo cha kupitisha damu kwenye mashine ili isafishwe,

Rais mnyenyekevu Samia Suluhu Hassan ametangaza kushusha bei ya matibabu ya figo ( dialysis) kwa watoto wa masikini wa nchi kwa karibu 70% kutoka Tshs 300,000 ya Sasa mpaka chini ya Tshs 100,000,Mnaposikia tunasema Rais Samia anahuruma kwa watu wake huwa tunamaanisha mambo haya,

Rais Samia pia kupitia MSD ameahidi kununua zaidi ya mashine mpya 7,000 za dialysis kwaajili ya Vituo vya kutolea huduma elfu 7 na hii ni baada ya Rais Samia kuzia wizi na ubadhilifu kwenye manunuzi ndani ya MSD kwa karibu 50% ya gharama.

Rais Samai amegundua hivi,mashine iliyonunuliwa kwa Tshs 100M kabla ya Rais Samia sasa inanunuliwa kwa Tshs 55M tu |Fungua hiyo Video chini umsikilize vizuri Director General wa MSD Maj. Gen. Dr. Gabriel Sauli Mhidize|

Taarifa za shirika la afya duniani ( WHO ) za mwaka 2018 zinaonesha jumla ya vifo 2,636 sawa na 1% ya vifo vyote Tanzania hutokana na matatizo ya figo,


.........Kazi iendelee .........

=================================
Relief as dialysis costs set to come down 66 percent

FRIDAY SEPTEMBER 24 2021

Summary
This is after the govt decided to buy the dialysis machines directly from manufacturers

Dar es Salaam.
________________

Come January 2022,
costs of dialysis will come down by 66 percent to Sh100,000 after the government started procuring machines directly from manufacturers.

Currently, a session of dialysis costs between Sh230,000 and Sh300,000.

The government says fixing of the new machines supplied directly by manufacturers for a price that is 47 percent cheaper has started at some of the hospitals across the country, specifically on Mafia Island in Coast Region and Rubia in Kagera Region.

Speaking yesterday, Medical Stores Department’s (MSD) director general Gabriel Mhidize said hospitals that will be receive first instalments include Muhimbili in Dar es Salaam, Udom in Dodoma, Seketure in Mwanza, Chato in Geita Region, Temeke, Amana and Mwananyamala of Dar es Salaam and Tumbi of Coast Region.

“Dialysis procedures are very expensive in Tanzania making it hard for an ordinary citizen to afford,” he said.

Dialysis is the process of removing excess water, solutes, and toxins from the blood in people whose kidneys can no longer perform these functions naturally.

Dr Mhidize said, “We will start with the price of Sh100,000 a session, however it might go lower in future.”

He said by buying machine directly from manufacturers the government has saved nearly Sh18 billion annually.

He said MSD has also started to procure machines and medical equipment at a price of 50 to 100 percent cheaper.

“That is the direction that the National Health Insurance Fund (NHIF) and MSD are taking--cost cutting. For instance, a machine that was sold Sh57 million is now bought at Sh25 million; same for a Sh27 million equipment now is Sh14 million,” he said.

He added: “A machine once sold at Sh14 million now is Sh7 million, while that of Sh7 million is sold at Sh2 million.”

Health minister Dorothy Gwajima said the purchase of the machines was part of the plan to improve health services and infrastructure in the country, a move that needs to go hand in hand with the building of pharmaceutical industries.

“Availability of machines at all hospitals across the country would reduce service costs and save patients money, because there will be no necessity to travel a long distance for the service,” she said
_________________________________________

VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1951660


Rais Samia atoa wastani wa madarasa manne na madawati 120 katika kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima | Hakika awamu ya Sita Tanzania lazima iwe Tanzania.​

" Hakuna kama Samaia "​


Baada ya janga la Covid-19 kuvuruga Uchumi wa dunia na sisi tukiwemo, Shirika la fedha duniani ( IMF) pamoja na benki ya dunia ( WB) wameanza kuzisaidia nchi mbalimbali duniani ikiwemo Tanzania mikopo yenye masharti nafuu ili pesa hizo zitumike kama Economic Stimulus & Relief Fund na hapa muelewe vizuri Tanzania tunapokea mikopo na misaada ila "HATUITEGEMEI " ndio maana hata kwenye bajeti yetu hii ya FY2021|22 katia ya Tshs 36.33trl zilizotengwa pesa zetu ni 91.9% huku misaada na mikopo ikiwa ni 8.1% tu,

IMF tayari imeisaidia Tanzania mkopo wenye masharti nafuu kiasi cha Tshs 1.3trl kwaajili ya kusisimua Uchumi wake uliodorora kwasababu ya covod-19 kwani niukweli usiopingika Tanzania tumeumizwa zaidi kwenye Sekta za Utalii,biashara na Usafirishaji,

Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutumia pesa hizo na baada ya kutoa madarasa ya kisasa elfu 15 sawa na wastani wa madarasa manne kwenye kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima huku kipaumbele kikiwa ni shule zenye upungufu wa madarasa lakini furaha iliyoje Rais wetu ametoa tena jumla ya madawati 462,795 ambayo ni sawa na Wastani wa madawati 120 kwenye kila Shule ya Sekondari nchi nzima ambazo jumla ya shule hizo ni 3,863.

Sababu za Rais Samia Suluhu Hassan kutoa madarasa mapya manne ya kisasa na madawati mapya 120 katika kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima ni kuhakikisha wazazi wa watoto watakaojiunga na kidato cha kwanza mwakani katika mwaka wa masomo 2021|2025 hawalipi hata Shilingia mia moja kwani Rais wetu mnyenyekevu ameshalipa pia ada za watoto wote 1M wanaotakiwa kuanza shule siku moja nchi nzima yaani trh 06|01|2022,hii haijawahi kutokea katika historia ya nchi yetu,


VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1971181

Anawezaje haya yote huyu mama?

SGR TZS 10.2T ni Yeye,
SG TZS 6.55T ni Yeye
Madarasa mapya manne kila sekondari nchi nzima,
Madawati 120 kila sekondari nchi nzima
 
Back
Top Bottom