nautaka tena
Senior Member
- Jun 29, 2021
- 182
- 213
Nhf
Suluhisho ni bima ya afya kwa kila mtanzania hapo ndio ntaamini hangaya bado hajachoka anazipiga ndefu ndefu ...auze hata mabombadia ma tano tupate bima mzigo auweke nssf
ID za kimkakati sasa ndo hizi zenyewe kutwa kusifia humu
kuanzia asbh mpaka asbh ya kesho yake ni
Mama
Mama
Mama
Mama
Mmama
Mmaaaaa
khaaaaaaaaa!!
Hapo unamaanisha hatujawahi kuwa na dialysis machine Tz!!Mbona hatukuwa na hizo dialysis machine?
Jee mpangilio utakuwaje kila mtu atapata au ni makundi maalumSoma huu uzi mkuu,
Bima ya Afya kwa Wote (Universal Health Care)Rais Samia atoa TZS 149BL
Bima ya Afya kwa Wote Tanzania yaani ( Universal Health Care-UHC ) Rais Samia Suluhu Hassan ametoa Jumla ya TZS 149BL ili kila Mtanzania ifikapo 2030|35 awe na bima ya afya, " Hakuna kama Samia " Pamoja na kwamba Bima ya Afya kwa wote iko kwenye Ilani ya CCM ya mwaka 2020-2025 Ukurasa wa...www.jamiiforums.com
Mkuu inatakiwa iwe 10,000 tshs,haujauguza mgonjwa mpaka akafikia hatua hiyo ndio maana unatoa mifano yako ya mivyakula.Duh asiyeshiba kwenye sahani hata ukimpa kwenye sinia hato shiba...yaani gharama kupunguzwa toka laki tisa (900000) kwa wiki hadi laki tatu (300000) hata japo kusema afadhali huwezi.....mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni kwa hili kama ni kweli nampongeza Rais Samia
Hapo unamaanisha hatujawahi kuwa na dialysis machine Tz!!
Kazi kweli kweli
Pole sana ndugu...japo sijauguza mgonjwa kufikia hatua hiyo lakini kwa hali ya kiapato changu bado naweza kuhisi maumivu uliyopitia..pole sana...na pole kwa kutonielewa kwa mfano wangu wa sahani na sinia, maana yangu ilikuwa asiye ridhika kwa kidogo hata ukimpa kingi hatoridhika..lakini pia sijasema kuwa hapo alipofikia Rais Samia ndio panatosha...tukubali tu ni mwanzo mzuri kuelekea hiyo Tshs 10,000 ameahidi ataleta mashine 7000 kama kweli na sikifika huenda tuakafika huko kwenye Tshs 10,000 na pengine hata buree kabisa. Kwa mara nyingine tena nikupe pole sana kwa kupoteza mpendwa wako...na apumzike kwa Amani.Mkuu inatakiwa iwe 10,000 tshs,haujauguza mgonjwa mpaka akafikia hatua hiyo ndio maana unatoa mifano yako ya mivyakula.
Mimi nimeuguza na nimeshazika,naongea kitu nimepitia. Endelea kula kwenye hilo sinia na ushukuru
Tutaanza na wazee then makundi mengine,Jee mpangilio utakuwaje kila mtu atapata au ni makundi maalum
Namaanisha dialysis machine kwenye vituo vya kutolea huduma za afya elfu 7
Mkuu uwe unaelewa habari kabla hujakimbia kuja kuandika huku.Namaanisha dialysis machine kwenye vituo vya kutolea huduma za afya elfu 7,
Utajikomba hadi urambe miguu lkn uteuzi hupati kamweKwani yeye ndio wakwanza kutawala Tanzania?
Mbona hatukuwa na hizo dialysis machine?
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni,
Hata tusipomuunga mkono hayo ni majukumu yake
Acha kushoboka anachokifanya ni jukumu lake....Acha maneno mengi, Ipo siku nawewe mashine hizi zitakusaidia na kama si wewe basi ndg zako au jirani zako,
Asante ndugu yangu na umeeleweka sana . Gharama kubwa za hospital zinaua sana wapendwa wetu.Imagine mgonjwa anawaaga kabsa wenzake wanaokutana clinic kwamba hii ndo mara yangu ya mwisho kufanyiwa naenda kufa nimeishiwa pesa.Na kweli mtu anaenda kufa .We yaskie tu kwa watuPole sana ndugu...japo sijauguza mgonjwa kufikia hatua hiyo lakini kwa hali ya kiapato changu bado naweza kuhisi maumivu uliyopitia..pole sana...na pole kwa kutonielewa kwa mfano wangu wa sahani na sinia, maana yangu ilikuwa asiye ridhika kwa kidogo hata ukimpa kingi hatoridhika..lakini pia sijasema kuwa hapo alipofikia Rais Samia ndio panatosha...tukubali tu ni mwanzo mzuri kuelekea hiyo Tshs 10,000 ameahidi ataleta mashine 7000 kama kweli na sikifika huenda tuakafika huko kwenye Tshs 10,000 na pengine hata buree kabisa. Kwa mara nyingine tena nikupe pole sana kwa kupoteza mpendwa wako...na apumzike kwa Amani.
Utajikomba hadi urambe miguu lkn uteuzi hupati kamweView attachment 1951912
Utaishia kuramba miguu tu wakati hata uhakika wa kupata mlo mmoja kwa wazazi wako kwenu huko mbwinde hawana.MY bro | sr,
Unataka niteuliwe niwe nani zaidi ya nilivyo Sasa?
Kumbe wewe unatukana na kukashifu ili uteuliwe?
Kumbe unapinga huu ukweli wa Rais Samia kufanya makubwa ili Mimi nisiteuliwe!
My friend sifa ya kupata baraka nikukubali baraka za Mungu kwa wengine kubali ukweli kuwa Mungu amembariki Rais Samia,
Tukubaliane Rais Samia ni level nyingine,
Acha kushoboka anachokifanya ni jukumu lake....
kupitia kodi zetu......
ama ww kwa akili yako unafikiri anatufanyia favour!!!??