Rais Samia apunguza gharama za matibabu ya figo kwa asilimia 66

Watu wa Mungu,

" Nawasalimu kwa Jina la JMT, "

Dialysis ni kitendo cha kuondoa Sumu,Uchafu na ziada ya maji kwenye damu baada ya figo kufeli kufanya kazi hiyo au simply ni kitendo cha kupitisha damu kwenye mashine ili isafishwe,

Rais mnyenyekevu Samia Suluhu Hassan ametangaza kushusha bei ya matibabu ya figo kwa watoto wa masikini wa nchi kwa karibu 70% kutoka Tshs 300,000 ya Sasa mpaka chini ya Tshs 100,000,Mnaposikia tunasema Rais Samia anahuruma kwa watu wake huwa tunamaanisha haya,

Rais Samia pia kupitia MSD ameahidi kununua zaidi ya mashine mpya 7,000 kwaajili ya Vituo vya kutolea huduma elfu 7 na hii ni baada ya Rais Samia kuzia wizi na ubadhilifu kwenye manunuzi ndani ya MSD kwa karibu 50% ya gharama yaani mashine iliyonunuliwa Tshs 100M kabla ya Rais Samia sasa inanunuliwa kwa Tshs 55M tu ,( Fungua hiyo Video chini umsikilize vizuri Director General wa MSD Maj. Gen. Dr. Gabriel Sauli Mhidize,

Taarifa za shirika la afya duniani ( WHO ) za mwaka 2018 zinaonesha jumla ya wagonjwa 2,636 sawa na 1% ya vifo vote Tanzania hutokana na matatizo ya figo,


.........Kazi iendelee .........

___________________________________________


Relief as dialysis costs set to come down 66 percent

FRIDAY SEPTEMBER 24 2021

Summary
This is after the govt decided to buy the dialysis machines directly from manufacturers

Dar es Salaam.
________________

Come January 2022,
costs of dialysis will come down by 66 percent to Sh100,000 after the government started procuring machines directly from manufacturers.

Currently, a session of dialysis costs between Sh230,000 and Sh300,000.

The government says fixing of the new machines supplied directly by manufacturers for a price that is 47 percent cheaper has started at some of the hospitals across the country, specifically on Mafia Island in Coast Region and Rubia in Kagera Region.

Speaking yesterday, Medical Stores Department’s (MSD) director general Gabriel Mhidize said hospitals that will be receive first instalments include Muhimbili in Dar es Salaam, Udom in Dodoma, Seketure in Mwanza, Chato in Geita Region, Temeke, Amana and Mwananyamala of Dar es Salaam and Tumbi of Coast Region.

“Dialysis procedures are very expensive in Tanzania making it hard for an ordinary citizen to afford,” he said.

Dialysis is the process of removing excess water, solutes, and toxins from the blood in people whose kidneys can no longer perform these functions naturally.

Dr Mhidize said, “We will start with the price of Sh100,000 a session, however it might go lower in future.”

He said by buying machine directly from manufacturers the government has saved nearly Sh18 billion annually.

He said MSD has also started to procure machines and medical equipment at a price of 50 to 100 percent cheaper.

“That is the direction that the National Health Insurance Fund (NHIF) and MSD are taking--cost cutting. For instance, a machine that was sold Sh57 million is now bought at Sh25 million; same for a Sh27 million equipment now is Sh14 million,” he said.

He added: “A machine once sold at Sh14 million now is Sh7 million, while that of Sh7 million is sold at Sh2 million.”

Health minister Dorothy Gwajima said the purchase of the machines was part of the plan to improve health services and infrastructure in the country, a move that needs to go hand in hand with the building of pharmaceutical industries.

“Availability of machines at all hospitals across the country would reduce service costs and save patients money, because there will be no necessity to travel a long distance for the service,” she said
_________________________________________

VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1951660
Tunarudi kule kule "Raisi kafanya,Raisi katoa......."Kwani tukisema serikali imefanyaa........kuna upungufu gani?
 
Kwanini miaka yote hivo vitu havikuwepo ila leo kwa Samia?

Why mnataka tusiseme mambo makubwa yanayofanywa na Rais wetu?


Why? Why?
Wakati mwingine muwe mnatumia akili angalau kidogo kabla ya kurohoja huo ujinga wenu.

Hizo rasilimali pesa zilizo tumika kuaandaa mazingira na kununulia hizo mashine ni jasho la watanzania.

Rais hana uwezo wa kupata hizo fedha tena eti anawasaidia watanzania!

Angekuwa ametumia mshahra wake kufanyia hayo mambo ndiyo ungekuja na hizo ngonjera zako .

Siku nyingine kabla hujaandika huo upuuzi wako jaribu kuushirikisha ubongo wako.
 
Watu wa Mungu,

" Nawasalimu kwa Jina la JMT, "

Dialysis ni kitendo cha kuondoa Sumu,Uchafu na ziada ya maji kwenye damu baada ya figo kufeli kufanya kazi hiyo au simply ni kitendo cha kupitisha damu kwenye mashine ili isafishwe,

Rais mnyenyekevu Samia Suluhu Hassan ametangaza kushusha bei ya matibabu ya figo kwa watoto wa masikini wa nchi kwa karibu 70% kutoka Tshs 300,000 ya Sasa mpaka chini ya Tshs 100,000,Mnaposikia tunasema Rais Samia anahuruma kwa watu wake huwa tunamaanisha haya,

Rais Samia pia kupitia MSD ameahidi kununua zaidi ya mashine mpya 7,000 kwaajili ya Vituo vya kutolea huduma elfu 7 na hii ni baada ya Rais Samia kuzia wizi na ubadhilifu kwenye manunuzi ndani ya MSD kwa karibu 50% ya gharama yaani mashine iliyonunuliwa Tshs 100M kabla ya Rais Samia sasa inanunuliwa kwa Tshs 55M tu ,( Fungua hiyo Video chini umsikilize vizuri Director General wa MSD Maj. Gen. Dr. Gabriel Sauli Mhidize,

Taarifa za shirika la afya duniani ( WHO ) za mwaka 2018 zinaonesha jumla ya wagonjwa 2,636 sawa na 1% ya vifo vote Tanzania hutokana na matatizo ya figo,


.........Kazi iendelee .........

___________________________________________


Relief as dialysis costs set to come down 66 percent

FRIDAY SEPTEMBER 24 2021

Summary
This is after the govt decided to buy the dialysis machines directly from manufacturers

Dar es Salaam.
________________

Come January 2022,
costs of dialysis will come down by 66 percent to Sh100,000 after the government started procuring machines directly from manufacturers.

Currently, a session of dialysis costs between Sh230,000 and Sh300,000.

The government says fixing of the new machines supplied directly by manufacturers for a price that is 47 percent cheaper has started at some of the hospitals across the country, specifically on Mafia Island in Coast Region and Rubia in Kagera Region.

Speaking yesterday, Medical Stores Department’s (MSD) director general Gabriel Mhidize said hospitals that will be receive first instalments include Muhimbili in Dar es Salaam, Udom in Dodoma, Seketure in Mwanza, Chato in Geita Region, Temeke, Amana and Mwananyamala of Dar es Salaam and Tumbi of Coast Region.

“Dialysis procedures are very expensive in Tanzania making it hard for an ordinary citizen to afford,” he said.

Dialysis is the process of removing excess water, solutes, and toxins from the blood in people whose kidneys can no longer perform these functions naturally.

Dr Mhidize said, “We will start with the price of Sh100,000 a session, however it might go lower in future.”

He said by buying machine directly from manufacturers the government has saved nearly Sh18 billion annually.

He said MSD has also started to procure machines and medical equipment at a price of 50 to 100 percent cheaper.

“That is the direction that the National Health Insurance Fund (NHIF) and MSD are taking--cost cutting. For instance, a machine that was sold Sh57 million is now bought at Sh25 million; same for a Sh27 million equipment now is Sh14 million,” he said.

He added: “A machine once sold at Sh14 million now is Sh7 million, while that of Sh7 million is sold at Sh2 million.”

Health minister Dorothy Gwajima said the purchase of the machines was part of the plan to improve health services and infrastructure in the country, a move that needs to go hand in hand with the building of pharmaceutical industries.

“Availability of machines at all hospitals across the country would reduce service costs and save patients money, because there will be no necessity to travel a long distance for the service,” she said
_________________________________________

VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1951660
Daah i am speechless.....

Exquisite 👋👋

Mh.Rais anatuachia ALAMA NZITO MNO daah
.....

Unapoongelea 1% ya VIFO VYOTE TANZANIA si takwimu ndogo daah....

SIEMPRE CHIFU MKUU HANGAYA💪
 
Wachana na hao wapumbav
FB_IMG_16307140795615105.jpg
 
Kuna watu hawapendi,

Wanatamani asingefanya haya watu wetu wafe

Rais amefanya hawataki tumtaje,

Hii nchi kiboko aise,

Kwamwendo huu wataumia sana na BP juu wasipoangalia,
Daah i am speechless.....

Exquisite 👋👋

Mh.Rais anatuachia ALAMA NZITO MNO daah
.....

Unapoongelea 1% ya VIFO VYOTE TANZANIA si takwimu ndogo daah....

SIEMPRE CHIFU MKUU HANGAYA💪
 
.........Kwani tukisema Rais kafanya kama mkuu wa serikali kunaupungufu gani? ......
Nahisi kuna mapungufu hasa kwa kuwa mara nyingi hatuchukulii U Rais kama taasisi bali individual.Tumeyaona kwa Magufuli mpaka Mkapa akakaripia.Raisi ni kiongozi wa serikali na tukitumia serikali inakuwa jumuishi zaidi kuliko Raisi (Stand to be corrrected again)
 
Kuna watu hawapendi,

Wanatamani asingefanya haya watu wetu wafe

Rais amefanya hawataki tumtaje,

Hii nchi kiboko aise,

Kwamwendo huu wataumia sana na BP juu wasipoangalia,
🤣🤣Hakika mkuu wangu

Yaani hawataki tumtaje kabisaaa ha ha ha

B.P ikiwapanda mno na magonjwa ya figo yakiwapata mashine za "DIALYISIS" zipo.....💪

SIEMPRE JMT
 
Umesoma leadership kweli wewe,

Leader anapokea vyote LAWAMA & SIFA,

Maajabu, Serikali ikifeli tunasema Rais kafeli,

Ila serikali ikifaulu mnataka tuseme Serikali imefaulu 😛😛😛😛

Honestly, We stand to be correct,
Kuna upungufu mkubwa. Rais hafanyi na hawezi kufanya kila kitu yeye kama yeye. Ni sahihi kusema serikali imefanya au kama mnapenda tu ku-tag jina lake basi sema serikali anayoiongoza rais SSH lakini kusema Rais kafanya sio sahihi.
 
Umesoma leadership kweli wewe,

Leader anapokea vyote LAWAMA & SIFA,

Maajabu, Serikali ikifeli tunasema Rais kafeli,

Ila serikali ikifaulu mnataka tuseme Serikali imefaulu 😛😛😛😛

Honestly, We stand to be correct,
😍
 
Back
Top Bottom