Rais wa Matajiri
JF-Expert Member
- Sep 14, 2018
- 1,475
- 607
Hama Chadema maramojaMimi ni Chadema ila hii "ID" inatupa sana shida hapa JF,
CCM imekuja kivingine Sana na ndio maana CCM inaweza kutawala milele kama sisi mwendo wetu ndio huu wa matusi na kejeli kwenye hoja kubwakubwa kama hizi,
Wakati Sisi tunaishia kutukana na kutoa kashfa wenzetu CCM wanajenga hoja kwa wananchi,
Badala ya kutukana mtoa hoja tujibuni hoja zake,