Rais Samia apongezwa kumteua DPP mchapakazi

Chee4

Member
May 17, 2021
35
125
Kwa kuzingatia uongozi wa sheria Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) Sylvester Mwakitalu amefikia muafaka na mfanyabiashara Harbinder Seth kupitia Sheria ya Pre- Bagain na kumuwezesha Sethi kuachiwa huru na Mahakama.

Akiwa Mahakamani akionekana mtu mwenye furaha baada ya kuafikiana makubaliano na DPP Mwakitalu tena kwa muda fupi, Mfanyabiashara Habinder Sethi alieleza Mahakama kuwa ameridhia kwa moyo wake wote kulipa kiasi cha Shilingi Bilioni 26, ambapo kwa hatua za awali ametoa shilingi Milioni 200.

Baadhi ya wananchi wamempongeza Mhe. Rais Samia Suluhu kwa kumteua DPP Mwakitalu ambaye tangu ateuliwe May 13, 2021 moja ya majukumu ambayo ameyafanya na yamegusa hisia za watu wengi ni kuwaachia Masheikh wa uamsho.

Hakika kwa namna ambavyo (DPP) Sylvester Mwakitalu anavyotekelza majukumu yake kwa weledi, ni ishara ya kwamba jicho la Mhe. Rais Samia Suluhu halikukosea kumuamini mbobezi huyu wa sharia.
 
Kwa kuzingatia uongozi wa sheria Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) Sylvester Mwakitalu amefikia muafaka na mfanyabiashara Harbinder Seth kupitia Sheria ya Pre- Bagain na kumuwezesha Sethi kuachiwa huru na Mahakama.

Akiwa Mahakamani akionekana mtu mwenye furaha baada ya kuafikiana makubaliano na DPP Mwakitalu tena kwa muda fupi, Mfanyabiashara Habinder Sethi alieleza Mahakama kuwa ameridhia kwa moyo wake wote kulipa kiasi cha Shilingi Bilioni 26, ambapo kwa hatua za awali ametoa shilingi Milioni 200.

Baadhi ya wananchi wamempongeza Mhe. Rais Samia Suluhu kwa kumteua DPP Mwakitalu ambaye tangu ateuliwe May 13, 2021 moja ya majukumu ambayo ameyafanya na yamegusa hisia za watu wengi ni kuwaachia Masheikh wa uamsho.

Hakika kwa namna ambavyo (DPP) Sylvester Mwakitalu anavyotekelza majukumu yake kwa weledi, ni ishara ya kwamba jicho la Mhe. Rais Samia Suluhu halikukosea kumuamini mbobezi huyu wa sharia.
 
Mapema mno kumsifia,huwa wanageuka haraka vivyo hivyo.
Mwacheni afanye kazi asipambwe,hats kayafa alipowakamata wahujumu uchumi mlishangilia

Ni vyema kumpongeza mtu kwa kazi nzuri anazofanya. Mama amefanya mengi tu kipindi hichi kifupi na mengi mazuri ya nakuja. So muache apewe sifa.

#Kazi iendelee
 
Mapema mno kumsifia,huwa wanageuka haraka vivyo hivyo.
Mwacheni afanye kazi asipambwe,hats kayafa alipowakamata wahujumu uchumi mlishangilia
Kumbuka kuwa mtu anapokuwa appraised baada ya kuwa amefanya vizuri, appraising hiyo ndiyo huwa inapelekea aendelee kufanya vizuri zaidi na kupelekea chances za yeye kugeuka na kufanya tofauti kuwa ndogo au hamna kabisa. Mara nyingi mtu huwa anageuka pale anapoona anaendelea kufanya vizuri halafu anapondwa badala ya kusifiwa. Mcheza kuwa hutuzwa (hupewa tuzo)
 
Kwa kuzingatia uongozi wa sheria Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) Sylvester Mwakitalu amefikia muafaka na mfanyabiashara Harbinder Seth kupitia Sheria ya Pre- Bagain na kumuwezesha Sethi kuachiwa huru na Mahakama.

Akiwa Mahakamani akionekana mtu mwenye furaha baada ya kuafikiana makubaliano na DPP Mwakitalu tena kwa muda fupi, Mfanyabiashara Habinder Sethi alieleza Mahakama kuwa ameridhia kwa moyo wake wote kulipa kiasi cha Shilingi Bilioni 26, ambapo kwa hatua za awali ametoa shilingi Milioni 200.

Baadhi ya wananchi wamempongeza Mhe. Rais Samia Suluhu kwa kumteua DPP Mwakitalu ambaye tangu ateuliwe May 13, 2021 moja ya majukumu ambayo ameyafanya na yamegusa hisia za watu wengi ni kuwaachia Masheikh wa uamsho.

Hakika kwa namna ambavyo (DPP) Sylvester Mwakitalu anavyotekelza majukumu yake kwa weledi, ni ishara ya kwamba jicho la Mhe. Rais Samia Suluhu halikukosea kumuamini mbobezi huyu wa sharia.
Dhamana aliyobeba ni kubwa sana. Anatakiwa kusimamia na kutenda haki. Tumuombee yote kheri ili atimize wajibu wake huo.
 
Kwa kuzingatia uongozi wa sheria Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) Sylvester Mwakitalu amefikia muafaka na mfanyabiashara Harbinder Seth kupitia Sheria ya Pre- Bagain na kumuwezesha Sethi kuachiwa huru na Mahakama.

Akiwa Mahakamani akionekana mtu mwenye furaha baada ya kuafikiana makubaliano na DPP Mwakitalu tena kwa muda fupi, Mfanyabiashara Habinder Sethi alieleza Mahakama kuwa ameridhia kwa moyo wake wote kulipa kiasi cha Shilingi Bilioni 26, ambapo kwa hatua za awali ametoa shilingi Milioni 200.

Baadhi ya wananchi wamempongeza Mhe. Rais Samia Suluhu kwa kumteua DPP Mwakitalu ambaye tangu ateuliwe May 13, 2021 moja ya majukumu ambayo ameyafanya na yamegusa hisia za watu wengi ni kuwaachia Masheikh wa uamsho.

Hakika kwa namna ambavyo (DPP) Sylvester Mwakitalu anavyotekelza majukumu yake kwa weledi, ni ishara ya kwamba jicho la Mhe. Rais Samia Suluhu halikukosea kumuamini mbobezi huyu wa sharia.
Ninamtaka aone jinsi ya kumalizana na Rugemarila! mzee wa misimamo! Huo ndio mtihani pekee!! Ruge amekataa upuuzi wa Plea Bargain! Anataka haki zake na baadhi ya mijizi bado ipo kwenye system - Patamu hapo Mwakitalu "We are watching"
 
Kule Tanga Mahabusu waliombambikwa kesi za dawa za kulevya wanataka aende huko akawasikilize wana jambo lao zito sana,mtu akakamatwa anatafuna milungi akafunguliwa kesi ya kusafrisha dawa za kulevya,kaazi ipo kwa Mwakitalu
 
Halina mchapakazi hapo,anafate maelekezo ya aliyemteua,hata aliyemaliza muda wake na yeye alikuwa anafata maelekezo ya jiwe.
 
Back
Top Bottom