Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,156
- 31,043
Tanzania we iba utafukuzwa uondoke na ulichoiba ndio maana watu hawaachi kuiba. Mtu ndani ya mwaka anaiba pesa ambayo inazidi jumla ya mshahara wake toka anaanza kazi mpaka kustaafu 🤣Rais wa Jamhuri ya Muungano Samia Suluhu amemtaka Waziri wa Tamisemi Innocent Bashungwa kuwafukiza Kazi watendaji na watumishi watakaobainika kuiba pesa za umma.
Rais alikuwa akizungumza Kuhusu mishahara hewa na watumishi hewa.
Kazi iendelee 👇
View attachment 2170223
View attachment 2170224