Rais Samia apokea Ndege ya Mizigo, aeleza nia ya Serikali kuboresha Sekta ya Anga kwa miaka mitano ijayo

Namna hayo magari ya fire yanavyorusha maji juu siku za kupokea ndege, yangefanya hivyo na pale Kariakoo, hakika wangeudhibiti moto kwa muda mfupi...
Pale airport kuna fire hydrant hivyo hayo Magari yalitape maji kwa urahisi, kkoo hamna
 
Nyerere amefanya maendeleo gani mkuu! Hata ki-TV kumiliki ilikua ishu! Katika marais watano waliopita plus mama samia wanaafazali kuliko nyerere.
Duh...kwamba umeandika 'wanaafazali' bila Shaka upeo wako wa Mambo umeeleweka vizuri..
 
Pale airport kuna fire hydrant hivyo hayo Magari yalitape maji kwa urahisi, kkoo hamna
Hapo juu point ilikuwa ni namna magari ya Airport yalivyo na nguvu ya kurusha maji, nguvu ambayo sio msaada kwenye majanga lakini inaoneshwa tu wakati wa water salute
 
Hv Nyerere na yeye alikuwa akienda airport kupokea yale maboeing aliyonunua?
We kenge Kama hujui history pita kule, Ndege zile zilikuwa za EAC, na ilipo vunjika vilivyo kuwa nchini mwako kwa kwa wakati huo ndicho kilicho kuwa halali ya nchi husika, na ndiyo maana Kuna Pilot alizawadiwa na Rais Magufuli kwasababu kipindi kile EAC inavunjika yy alikuwa anatua Nairobi alivyo sikia aka liinua na kuja kulipaki hapo DIA,
 
I say come up with new insults….something I’ve never heard before.

You copy me and say I should come up with something newer, more imaginative, and nastier!

You like it nasty huh?

How about you top me off and let me nut in your mouth and swallow every ounce of it?

Now get down and get your eagle on, bitch.
As G.A.Y. as in somebody must have done this to you before. You must have been on the receiving end of this kind of perverse behavior to be so graphic and seemingly happy in the way you expressed yourself here. I feel sorry for you parents and wife/girlfriend (if you really have one).
 
..bajeti ya kilimo ni billion 294.

..gharama za kununua ndege ni trillion 2.

..maana yake ni kwamba gharama za kununua ndege ni sawa na bajeti ya kilimo ya miaka 6 mpaka 7.

..siamini kama ni busara kuingia gharama kubwa kiasi hicho kwa mradi ambao unatuingizia hasara mwaka hadi mwaka.
 
..bajeti ya kilimo ni billion 294.

..gharama za kununua ndege ni trillion 2.

..maana yake ni kwamba gharama za kununua ndege ni sawa na bajeti ya kilimo ya miaka 6 mpaka 7.

..siamini kama ni busara kuingia gharama kubwa kiasi hicho kwa mradi ambao unatuingizia hasara mwaka hadi mwaka.
Wanaangalia ndege zikiruka lakini hawajui gharama zake! It’s a pity.
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom