Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,005
- 9,872
Rais anapokea ndege ya Tisa
Taarifa zaidi kukujia
RAIS SAMIA: MIAKA MITANO IJAYO TUMEJIPANGA KUIMARISHA SEKTA YA ANGA
Rais Samia Suluhu Hassan amesema wamejipanga kuimarisha Shirika la Ndege na Usafiri wa Anga
Amesema hayo katika mapokezi ya ndege mpya ambayo itafanya Tanzania iwe na ndege 9
==
RAIS SAMIA: TUMENUNUA NDEGE YA MIZIGO KWA KUWA UCHUMI UNAKUA
Rais Samia Suluhu amesema sababu ya kununua Ndege ya Mizigo ni kukua kwa uchumi
Amesema kwa sasa Tanzania inazalisha sana maua na mbogamboga hivyo Ndege ya Mizigo ni muhimu
Taarifa zaidi kukujia
RAIS SAMIA: MIAKA MITANO IJAYO TUMEJIPANGA KUIMARISHA SEKTA YA ANGA
Rais Samia Suluhu Hassan amesema wamejipanga kuimarisha Shirika la Ndege na Usafiri wa Anga
Amesema hayo katika mapokezi ya ndege mpya ambayo itafanya Tanzania iwe na ndege 9
==
RAIS SAMIA: TUMENUNUA NDEGE YA MIZIGO KWA KUWA UCHUMI UNAKUA
Rais Samia Suluhu amesema sababu ya kununua Ndege ya Mizigo ni kukua kwa uchumi
Amesema kwa sasa Tanzania inazalisha sana maua na mbogamboga hivyo Ndege ya Mizigo ni muhimu