Rais Samia apewe muda, hatumii uongo wala propaganda. Anakuwa Rais wa Kwanza kuleta maendeleo ya kweli

Eleza sifa zake kumi ,Rais Samia akiwa Makamu wa Rais kwa miaka 5 iliyopita ili apewe muda wa kuendelea kuwa Rais.
 
Awamu ya tano kona kona zilikua nyingi na huu sio wakati wa kumlaumu yoyote, kila mtu anajua propaganda na uongo na maamuzi ya mtu mmoja yalitawala. Wanufaika wakatumia kila njia kuziba mifumo wananchi na kuwatisha kwa kila namna. Kama tukifatilia mienendo ya awamu ya tano ni Rais Samia na Majaliwa walio salama na rushwa na ufisadi wa kutisha uliofanyika.

Awamu ya sita Mama anataka tuishi kwenye ukweli yaani kama tumekosea anasema hapa tumekosea na suluhisho ni hili. Huyu ni Rais pekee ambaye anaenda kuleta maendeleo ya kweli sio uongo uongo kama wa jamaa. Tunaona mkakati wake wa sera ya mambo ya nje akitaka kuongezeka kwa mitaji kutokana na wawekezaji. Ili tupate kodi, ili tutengebeze Ajira, ili tukuze teknolojia, tuongeze uzalishaji na export business na kuleta maisha mazuri kwa wananchi.

Katika kipindi kifupi Rais Samia amefanikiwa sana na projection inaonesha atakua Rais wa kwanza kukuza uchumi kwa kasi zaidi ba kuongeza thamani ya shilingi ya Tanzania.

Nawaonya wanufaika wa awamu ilopita kuwa endeleeni kumpinga Rais na endeleeni kusambaza chuki za wazi wazi. Mmekuwepo serikakini na kwenye chama tunamengi tunayajua tukiamua kufukua makaburi hamtabaki salama. Hivyo kuweni wapole na Rais Samia yuko very powerful and smart anawacheki. Siku akiamua mtalia na kusaga meno, huu sio wakati wa kujenga nchi kwa uongo, uongo.

Ngoja niwambie hakuna awamu ambayo nchi hii itapata maendeleo kama awamu hii ya Rais Samia. Ni Rais pekee ambaye hutumii mihemko wala sifa kufanya maamuzi bali anatumia akili na maarifa.

Watanzania tuna imani kubwa na hakika nchi yetu inakwenda kupata uchumi wa kati wa ukweli kweli sio ule wa propaganda.

Watanzania tumpe muda Rais Samia.
Tunaenda na mama 👇

JamiiForums-911681403.jpeg


JamiiForums845843380.jpeg
 
Awamu ya tano kona kona zilikua nyingi na huu sio wakati wa kumlaumu yoyote, kila mtu anajua propaganda na uongo na maamuzi ya mtu mmoja yalitawala. Wanufaika wakatumia kila njia kuziba mifumo wananchi na kuwatisha kwa kila namna. Kama tukifatilia mienendo ya awamu ya tano ni Rais Samia na Majaliwa walio salama na rushwa na ufisadi wa kutisha uliofanyika.

Awamu ya sita Mama anataka tuishi kwenye ukweli yaani kama tumekosea anasema hapa tumekosea na suluhisho ni hili. Huyu ni Rais pekee ambaye anaenda kuleta maendeleo ya kweli sio uongo uongo kama wa jamaa. Tunaona mkakati wake wa sera ya mambo ya nje akitaka kuongezeka kwa mitaji kutokana na wawekezaji. Ili tupate kodi, ili tutengebeze Ajira, ili tukuze teknolojia, tuongeze uzalishaji na export business na kuleta maisha mazuri kwa wananchi.

Katika kipindi kifupi Rais Samia amefanikiwa sana na projection inaonesha atakua Rais wa kwanza kukuza uchumi kwa kasi zaidi ba kuongeza thamani ya shilingi ya Tanzania.

Nawaonya wanufaika wa awamu ilopita kuwa endeleeni kumpinga Rais na endeleeni kusambaza chuki za wazi wazi. Mmekuwepo serikakini na kwenye chama tunamengi tunayajua tukiamua kufukua makaburi hamtabaki salama. Hivyo kuweni wapole na Rais Samia yuko very powerful and smart anawacheki. Siku akiamua mtalia na kusaga meno, huu sio wakati wa kujenga nchi kwa uongo, uongo.

Ngoja niwambie hakuna awamu ambayo nchi hii itapata maendeleo kama awamu hii ya Rais Samia. Ni Rais pekee ambaye hutumii mihemko wala sifa kufanya maamuzi bali anatumia akili na maarifa.

Watanzania tuna imani kubwa na hakika nchi yetu inakwenda kupata uchumi wa kati wa ukweli kweli sio ule wa propaganda.

Watanzania tumpe muda Rais Samia.
Mmeshaanza kumgeuka Mwendazake? 🙄
 
Uchumi utakua kwa kasi sana
Ajira zitakuwa nyingi na vijana watapata pesa
Hapa sawa naona yadi za makontena zinaongezeka kama uyoga, maghorofa ya tazara kwishney Hakuna tena ni yadi za macontena,eneo la wazi Ili jiji lipumue kwishney ni yadi ya makontena tupu.Vingunguti yote kuna mtu anapambana ainunue yote aweke contena.
 
Awamu ya tano kona kona zilikua nyingi na huu sio wakati wa kumlaumu yoyote, kila mtu anajua propaganda na uongo na maamuzi ya mtu mmoja yalitawala. Wanufaika wakatumia kila njia kuziba mifumo wananchi na kuwatisha kwa kila namna. Kama tukifatilia mienendo ya awamu ya tano ni Rais Samia na Majaliwa walio salama na rushwa na ufisadi wa kutisha uliofanyika.

Awamu ya sita Mama anataka tuishi kwenye ukweli yaani kama tumekosea anasema hapa tumekosea na suluhisho ni hili. Huyu ni Rais pekee ambaye anaenda kuleta maendeleo ya kweli sio uongo uongo kama wa jamaa. Tunaona mkakati wake wa sera ya mambo ya nje akitaka kuongezeka kwa mitaji kutokana na wawekezaji. Ili tupate kodi, ili tutengebeze Ajira, ili tukuze teknolojia, tuongeze uzalishaji na export business na kuleta maisha mazuri kwa wananchi.

Katika kipindi kifupi Rais Samia amefanikiwa sana na projection inaonesha atakua Rais wa kwanza kukuza uchumi kwa kasi zaidi ba kuongeza thamani ya shilingi ya Tanzania.

Nawaonya wanufaika wa awamu ilopita kuwa endeleeni kumpinga Rais na endeleeni kusambaza chuki za wazi wazi. Mmekuwepo serikakini na kwenye chama tunamengi tunayajua tukiamua kufukua makaburi hamtabaki salama. Hivyo kuweni wapole na Rais Samia yuko very powerful and smart anawacheki. Siku akiamua mtalia na kusaga meno, huu sio wakati wa kujenga nchi kwa uongo, uongo.

Ngoja niwambie hakuna awamu ambayo nchi hii itapata maendeleo kama awamu hii ya Rais Samia. Ni Rais pekee ambaye hutumii mihemko wala sifa kufanya maamuzi bali anatumia akili na maarifa.

Watanzania tuna imani kubwa na hakika nchi yetu inakwenda kupata uchumi wa kati wa ukweli kweli sio ule wa propaganda.

Watanzania tumpe muda Rais Samia.
Maendeleo ya kweli yanaletwa bila tozo na migao! Walioweza kujenga nchi bila tozo ndio walioleta maendeleo ya kweli sio kupora hela kwa wananchi halafu mnataka tuweke nyimbo za tumsifu!
 
Back
Top Bottom