balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 14,435
- 12,554
Magufuli alikuwa bora liende tuHakuna Rais niliyempenda Tanzania kama Hayati Dk. Magufuli kama nilivyowapenda pia akina Nyerere na Mkapa kwani Wote hawa Watatu walibarikiwa mno Maarifa, Maono na Akili Kubwa na Mwenyezi Mungu.
May all of them Rest In Peace.