Bome-e
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 17,104
- 26,070
Hizi ID za mwendokasi sio za kuaminika!ID mwezi uliopita,hizi ni ID za mapambio tu!Mimi nilikuwa mdau wa Upinzani kwa miaka mingi ila toka wapinzani wanunuliwe niliwapuuza rasmi,nimewahi tumia rasilimali zangu kwa ajili ya wapinzani hasa Silinde na Waitara.
Na kale kashonza kalikuwa kanatupangia majukumu tukiwa chuo kumbe ni kashenzi.From there nikaacha siasa rasmi nikawa mpinzani wa Magu hasa kwenye sera zake za kipuuzi za Uchumi.
Alivyoshika mama nikaona tunaenda sawa kwenye issues za management of economy,mambo ya siasa sihusiki nayo,namkubali mama kwenye sera za Uchumi za kiliberali.