Rais Samia aondoka kwenda Uganda kuhudhuria sherehe za kuapishwa Rais Yoweri Museveni

0C1FF680-4CAD-4678-96C7-F30BC2B78602.jpeg
 
Kwa Mama hii ni ya Safari ya tatu. Tatizo tunahesabu Safari tukiwa na mtazamo hasi huwa hatuangalii faida zake.
Hii ya kwenda kukaa stadium masaa kadhaa kumshuhudia Dictator akiapishwa then kukwea pipa na kurudi Magogoni sidhani kama kuna faida zozote za kiuchumi tunapata

Angetumwa tu mtu akapabda commercial plane. Even better tungeagiza Balozi wetu aende pale.
 
Kumbe Yoweri alikuwa hajaapishwa? Mbona imechukua muda mrefu sana?
Uganda kuna mambo ya mahakama, mgombea binafsi.

Uganda ushindi wa Rais huhojiwa mahakamani.

Yaani ukiachana na suala la Mu7 kukatalia madarakani, uganda demokrasia yao ina vitu vingine muhimu.
 
Mbona akiwa VP ndio alikuwa ana Safiri badala ya Yule Mwendazake aliyekuwa na Phobia ya Ndege.
Jiwe sio Kwamba alikuwa hapendi Kusafiri, alikuwa na Plane phobia, ndio akawa anazuga kuwa eti yeye ni Mzalendo, Hasafiri kupunguza Gharama, wakati Safari zake za Ndani zenye Msafara wa V8 zaidi ya 70 Gharama yake ni Sawa sawa na Safari.50 za JK a.k.a Vasco Dagama
Kwahiyo hadi sasa ni VP
 
Mama yuko sawa kabisa, tunazihitaji sana nchi jirani kwenye mahusiano hasa ya kiuchumi ikiwemo kupitisha mizigo yao bandari za Tz , ukisinzia tu kidogo jirani Kenya anaziba pengo fasta ... Kuhudhuria Yeye mwenyewe ina impact kubwa sana kimahusiano ..
 
Mama mbona hatulii kabisa ofisini hizo per diem watu wanajitafunia tu burebure ili hali kuna wananchi masakini huko dodoma wanakunywa maji yenye tope.

Hakika JPM ataendelea kuishi mioyoni mwa watanzania mengi.
 
Hii ya kwenda kukaa stadium masaa kadhaa kumshuhudia Dictator akiapishwa then kukwea pipa na kurudi Magogoni sidhani kama kuna faida zozote za kiuchumi tunapata

Angetumwa tu mtu akapabda commercial plane. Even better tungeagiza Balozi wetu aende pale.
Rahisi sana kuandika kama ulivyoandika. Alipofariki JPM marais wa nchi jirani walikuja na kuwepo uwanjani pale Dodoma kwa saa chache na kurudi kwao.

Rais wako hawezi kukwepa na yeye kwenda kuhudhuria uapisho wa jirani yake. Museveni alikuwepo uwanjani Dodoma mwaka jana siku Hayati alipoapishwa.

Leo shughuli ni ya jirani yako kesho ni ya kwako, kiafrika na hata huko kwingine utamaduni ni ule ule, huwezi kumkwepa jirani yako.

Alikwenda kusaini bomba la mafuta akosekane kwenye uapisho?.
 
Mama mbona hatulii kabisa ofisini hizo per diem watu wanajitafunia tu burebure ili hali kuna wananchi masakini huko dodoma wanakunywa maji yenye tope.

Hakika JPM ataendelea kuishi mioyoni mwa watanzania mengi.
Hizi pointi za kumsimanga rais kisa eti maji ya tope ni utoto fulani wenye kuchekesha. Huko anakokwenda nje pengine lipo suluhisho la hayo maji machafu.

JK angekuwa mtu wa kukaa ndani tu ile miradi aliyoianzisha isingeweza kufanikiwa. Kujenga nchi ni mchakato mrefu wa miaka mingi.

Wapo wanaokunywa maji ya tope lakini kumbuka idadi ya vijiji vilivyobakia ambavyo ndani ya mwaka mmoja kuanzia leo vitakuwa na umeme na nchi nzima itakuwa na nishati hiyo muhimu.
 
Mama, mamaa, ma huyoo mamaaaaa ruka tu na hilo lidreamliner mpk watujue sisi nani.

Asante sana Swaumu kazi inaendelea
Ujinga huu ukiendelea tutarudi nyuma hatua tatu ndo maana tutamkumbuka Sana mwendazke kwani mambo Kama hata alikuwa hayataki kabisa
 
Mbona jiwe alikuwa anamtuma yeye kumwakilisha? Hadi UN alikuwa anaenda yeye. Ajabu sasa kawa Rais hataki kutuma wenzake. Ziara zote anakaba.
Jiwe alikuwa analazimika kumwachia yeye aende mama alikuwa anaogopa kupanda ndege sababu ya hali ya afya yake.
 
Back
Top Bottom