Rais Samia aondoka kwenda Uganda kuhudhuria sherehe za kuapishwa Rais Yoweri Museveni

Mama anatakiwa kusafiri safari zenye tija kwa taifa kwenda Uganda ni kete nzuri kibiashara kati ya Tanzania na Uganda kwa jicho la mbali tumeshawateka Kenya sasa tunatakiwa kuwateka Uganda Rwanda na Burundi then Congo na zambia.

Mama ashauriwe vizuri aanze kuwashawishi Rwanda kuunganisha reli ya SGR na kigari kutoka mpakani.

Msumbiji tayari maana mradi wa gesi waaamishia mtwara.

Katika kipindi ambacho tunatakiwa kujikita kwenye ujasusi wa kiuchumi na kuachana na ujasusi wa kidora ni sasa.

Baada ya miaka 10 tukijipanga kiuchumi na kiuwekezaji tutakuwa ndio nchi yenye uchumi mkubwa east and central Africa.
 
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Hassan Suluhu, Ameondoka leo kwenda Uganda kuhudhuria Sherehe za Kumuapisha Rais alishinda uchaguzi inchini Uganda, Yoeri Kaguta Mseven.

Ikumbukwe jana ubalozi wa Ujerumani inchini Uganda ulilazimika kufuta Post yake kwenye ukurasa wake wa Facebook, Kurasa huo uliandikwa Salamu za kumpongeza Mseven kwa ushindi aliouoata kwenye uchaguzi ulipita, Salamu hizo zilizotolewa na Kiongozi wa ujeruman Mama Mikel.

Ubalozi uli huo ulifuta post hiyo baada ya wananchi kuonyesha hasira zao kwa maneno makali na matusi hali iliyopelekea kufutwa kwa post hiyo.
Huyu mama inaonyesha ni kiongozi asiye na msimamo,asiyeeleweka na hajui anataka nini. Yajayo yanafurahisha
 
Hajatembelea mradi hata mmoja wa kimaendeleo toka aingie madarakani kama kiongozi mkuuu, hajakutana na wananchi hata mmoja zaidi ya wale wazee ambao walikuwa wanamsikiliza tu ! si kusema shida zao dah kutwa yupo juu ya Ndege tu mwenzie alikuwa anatumia gari huku anatatua kero za wananchi njiani dah 37/5 itatutesa sana
 
Alinunua nguo zake nyiingi na handbags na viatu sasa atavivaa lini? Wacha aende, Leo sijui atabadili Mara ngapi kwa siku! Nenda Mama, wanateseka huku! Usisahau kurudi na mbegu za kitu cha India
Hiyo mbegu tunaambiwa sasahivi inapatikana hata hapo DRC.
 
Dah...hizi Safari mnaandika lakini? Maana za JK tulizihesabu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona akiwa VP ndio alikuwa ana Safiri badala ya Yule Mwendazake aliyekuwa na Phobia ya Ndege.
Jiwe sio Kwamba alikuwa hapendi Kusafiri, alikuwa na Plane phobia, ndio akawa anazuga kuwa eti yeye ni Mzalendo, Hasafiri kupunguza Gharama, wakati Safari zake za Ndani zenye Msafara wa V8 zaidi ya 70 Gharama yake ni Sawa sawa na Safari.50 za JK a.k.a Vasco Dagama
 
Mama naona hataki kukaimisha safari za nje kabisa


Naanza kumwelewa sasa Bi Mkubwa aliposema eti Bulldozer ni mwalimu wake, alimfundisha akafundishika --- kumbe alikuwa anamaanisha alielewa na kupenda zile heko za safari alizokuwa akipewa kuhudhuria ziara mbalimbali ughaibuni. Safari (safari tuuu, regardless of faida husika) is arguably the best and the only thing Bi Mkubwa can perform VERY well.
 
Sasa sijui jema ni kipi kwa wa Tz, yule alikuwa hataki kabisa kusafiri mkamuona mbaya sana, Sasa huyu ananitumia vzr fursa ya kusafiri nako mnalalamika,


Tunataka akatembeleee miradi ya SGR na Bwawa la Rufiji. Mbona huko haendi!??? Au ni mbali!??? Akumbuke pia kuwarudishia wananchi hela zao walizokwepuliwa juzi kati tarehe 8 pale mechini, sawa!???
 
Kumbuka Trump alifunika faili la Jamali kashoggi sababu ya maslahi mapana anayopata Saudi Arabia
So tuna maslahi makubwa sana na Uganda siku za usoni hatuwezi kumkataa
Hiyo inaitwa diplomasia ya kinafiki
So Mama yuko sahihi kabisa.
Ukishindwa unafiki kaa mbali na siasa
Magufuli alishindwa unafiki akafell kila kitu
Kwani Magufuli na Mu- 7 tofauti yao ya kiutawala ilikuwa ipi
Wote wabakaji wa Katiba
Na Chaguzi za kibabe
Mihimili yote pamoja na mahakama zimefanya kazi kwa maelekezo yake
Yeye ni Jaji, Hakimu, DPP, Msimamizi wa uchaguzi,
 
Alizikosa sana na sasa ni wakati wake kufanya utalii wa kimataifa
Mbona jiwe alikuwa anamtuma yeye kumwakilisha? Hadi UN alikuwa anaenda yeye. Ajabu sasa kawa Rais hataki kutuma wenzake. Ziara zote anakaba.
 
Back
Top Bottom