Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 23,499
- 70,300
Gwaride la Uganda ni bovu sijawahi ona. Bora hata la hawa madogo wa scout hapa shule ya jirani.
Anaogopa kuondoka asije akashindwa kurudi. Anyways M7 atampa hata ukuu wa majeshi tena.Mama anatakiwa kusafiri safari zenye tija kwa taifa kwenda Uganda ni kete nzuri kibiashara kati ya Tanzania na Uganda kwa jicho la mbali tumeshawateka Kenya sasa tunatakiwa kuwateka Uganda Rwanda na Burundi then Congo na zambia.
Mama ashauriwe vizuri aanze kuwashawishi Rwanda kuunganisha reli ya SGR na kigari kutoka mpakani.
Msumbiji tayari maana mradi wa gesi waaamishia mtwara.
Katika kipindi ambacho tunatakiwa kujikita kwenye ujasusi wa kiuchumi na kuachana na ujasusi wa kidora ni sasa.
Baada ya miaka 10 tukijipanga kiuchumi na kiuwekezaji tutakuwa ndio nchi yenye uchumi mkubwa east and central Africa.
Wapinzani wapi....??Mbadala wa ccm ni vyama vya upinzani.
Mbona unauliza swali utadhani unaishi koromitje?
Hao hao waliopoWapinzani wapi....??
Kumbe Yoweri alikuwa hajaapishwa? Mbona imechukua muda mrefu sana?
Wasukuma Mtateseka sanaAlinunua nguo zake nyiingi na handbags na viatu sasa atavivaa lini? Wacha aende, Leo sijui atabadili Mara ngapi kwa siku! Nenda Mama, wanateseka huku! Usisahau kurudi na mbegu za kitu cha India.
Mgosi Shetemba!Wasukuma Mtateseka sana
Huyo ni mwanamke lazima apendezeOkey
Nakumbuka niliona bango pahala kuwa atakuwa mgeni rasmi kwenye siku ya kitaifa ya wauguzi nafkiria n manyara Tena itakuwa tar 12 sijui au nimekosea ndugu zangu?
Ni Mkwere amerudi kwa sura nyingine
Manyara hakuna kiwanja ya kutua air buss, we vipi aisee!