Rais Samia angalia Wakurugenzi wa Halmashauri wana kiburi cha awamu ya tano

Mawematatu

JF-Expert Member
Apr 8, 2021
468
602
Sio kwa ubaya ni kwa mapenzi ya wanaonyanyaswa. Hawa wateule wamejisahau na hawana nia ya kubadilika. Kuna mwanamke mwenzangu nikimsikililiza inatia aibu.

Anaendesha Halmashauri kama nyumba yake. Watumishi kwake ni kama vikaragosi. Kwa ufupi kama haijatosha itakuja kutosha. Niliwashawahi kusikika ana bifu na MH Mkuu wa Wilaya...huyu arobain yake ipo

Mamlaka zimelala hazifanyi yake hasta hili kuendelea na ubadhirifu wa haki na maadili ya utu heshima kwa watumishi. Ukimtafakari hata Yaya wake anakazi kubwa..Hana sifa ya kuwa kiongoz...

Huyu anahamu ya kuondoka kwa kuwa anakiburi yumkini alikitoa enzo za mwendazake..
 
Si ndiyo wengi wao walipewa shavu baada ya kushindwa kwenye mchakato wa kura za maoni ndani ya chama chao mwaka 2015! Huwezi kutegemea la maana kutoka kwa aina hii ya watu.
 
Mkuu mbona umesahau ma-Rc hasa wa Mwanza na Mbeya
Ma RC hapana huko kwenye Halmashauri hakufai....hawa wateule Kuna kitu hakikuzingatiwa....kukosa kuheshimu Mtumishi ni utomvu wa nidhamu..na maadili yanaelekeza hivyo????

Kingine sisi wamama tuanzie kuheshimu ndoa zetu...yule sina hakika kama ameolewa...waache kuteua single single hawa hawana hekima.
 
Ma RC hapana huko kwenye Halmashauri hakufai....hawa wateule Kuna kitu hakikuzingatiwa....kukosa kuheshimu Mtumishi ni utomvu wa nidhamu..na maadili yanaelekeza hivyo????

Kingine sisi wamama tuanzie kuheshimu ndoa zetu...yule sina hakika kama ameolewa...waache kuteua single single hawa hawana hekima.
Ukada ndo sifa pekee ya mtu kupata cheo hasa nafasi za teuzi weledi sio sifa bainifu za mtu kupewa nafasi
 
Kuna binti wa mwendazake ni top mkoa fulani akapewa ulinzi kabisa kiburi nyodo kama zote ofisini nzima inamuogopa leo wameloa tuli kama barafu
 
Back
Top Bottom