Rais Samia anayoyafanya yanaimarisha nchi yetu

Kasegela

Senior Member
Mar 24, 2019
127
261
Wana bodi.

Kama wale watafiti wakija kuwahoji wananchi kuhusu furaha yao kwa sasa,hakika hatutakuwa wa mwisho tena,tutakuwa miongoni mwa nchi tano zenye furaha Duniani.

Sasa kwa maoni yangu,Huu muhula Rais Samia kaudakia katikati,lakini ni.moja ya Viongozi bora kuwahi kutokea.

Hapendi ujinga,sio mshamba,leo NGOs zimeanza kuimarika,watumishi wanamatumaini makubwa,Chama cha Mapinduzi kwa sasa kimepata kiongozi bora na anaewasikiliza wanachama.

Rais Kaagiza vyombo vya habari vifunguliwe, na sasa tunaona aia Mwema na Magazeti mengine yanafanya kazi kwa uhuru ,hata Magazeti yaliyofungiwa leo yamefunguliwa.

Vyama vya siasa vitaanza kufanya mikutano ya hadhara pamoja na shughuli za kisiasa bila vikwazo kama ilivyokuwa kabla

Rais Samia aongezewe muda ili aweze kutekeleza mikakati yake,anatupeleka kuzuri kuliko ilivyokuwa.

Leo Account zote zilizofungwa na Mamlaka kwa baraka kutoka juu Rais Samia kakataa,haamini katika Dhulma.

Rais Samia kalifungua Bunge Minyororo,na kuwakemea wabunge kuacha tabia ya kujadili watu na badala yake wajabdili maswala ya wananchi,yote haya Rais anaelekeza kwa maslahi ya taifa.

Rais anavuka mstari na kuwataka wabunge kuishughulikia Serikali yake bila woga,wabunge wasikubali majibu yasiyoridhisha ya Mawaziri wake,leo kila Mmoja ni shuhuda wa namna wabunge wanavyoanza kuusema ukweli walioishi nao vifuani kwa miaka 6 iliyopita.

Hata Spika wa Bunge anathubutu kukosoa Serikali wakati ni yeye alietumika kuwanyamanzisha wabunge kwa kuwafukuza Bungeni.

Haya yote yanahalalisha Madai ya Rais Samia kuongezewa muda wa kusalia Madarakani kwa Spirit ileile ya Mwendazake kuongezewa muda.

Wote walioshupalia Mwendazake Kuongezewe Muda wa switch kwa Samia Kuongezewa muda.

Hata hivyo tunashauri teuzi za Rais Samia zizingatie uwezo wa mtu na sio kulipa fedhila,Wapo wakuu wengi wa Wilaya hawajui hata uongozi ni nini lakini waliteuliwa kwakuwa wanavaa nguo za Kijani.

Rais Samia unayo support kubwa ,tutumikie kwa uadilifu.
 
Kabisa!

Belgiji na genge lake waendelee kusubiri kwanza huko kwa amsterdam hadi 2100.

Mama milele! Tuko vizuri chini ya ccm ya Samia.

Hata wenzetu wa chadema wanatuunga mkono mama anaipeleka nchi pazuri. Kero zote wanasema kaenda nazo mwenda zake. Tuendelee kudemka
 
Wana bodi.
Kama wale watafiti wakija kuwahoji wananchi kuhusu furaha yao kwa sasa,hakika hatutakuwa wa mwisho tena,tutakuwa miongoni mwa nchi tano zenye furaha Duniani.

Sasa kwa maoni yangu,Huu muhula Rais Samia kaudakia katikati,lakini ni.moja ya Viongozi bora kuwahi kutokea.

Hapendi ujinga,sio mshamba,leo NGOs zimeanza kuimarika,watumishi wanamatumaini makubwa,Chama cha Mapinduzi kwa sasa kimepata kiongozi bora na anaewasikiliza wanachama.

Rais Kaagiza vyombo vya habari vifunguliwe, na sasa tunaona aia Mwema na Magazeti mengine yanafanya kazi kwa uhuru ,hata Magazeti yaliyofungiwa leo yamefunguliwa.

Vyama vya siasa vitaanza kufanya mikutano ya hadhara pamoja na shughuli za kisiasa bila vikwazo kama ilivyokuwa kabla

Rais Samia aongezewe muda ili aweze kutekeleza mikakati yake,anatupeleka kuzuri kuliko ilivyokuwa.

Leo Account zote zilizofungwa na Mamlaka kwa baraka kutoka juu Rais Samia kakataa,haamini katika Dhulma.

Rais Samia kalifungua Bunge Minyororo,na kuwakemea wabunge kuacha tabia ya kujadili watu na badala yake wajabdili maswala ya wananchi,yote haya Rais anaelekeza kwa maslahi ya taifa.

Rais anavuka mstari na kuwataka wabunge kuishughulikia Serikali yake bila woga,wabunge wasikubali majibu yasiyoridhisha ya Mawaziri wake,leo kila Mmoja ni shuhuda wa namna wabunge wanavyoanza kuusema ukweli walioishi nao vifuani kwa miaka 6 iliyopita.

Hata Spika wa Bunge anathubutu kukosoa Serikali wakati ni yeye alietumika kuwanyamanzisha wabunge kwa kuwafukuza Bungeni.

Haya yote yanahalalisha Madai ya Rais Samia kuongezewa muda wa kusalia Madarakani kwa Spirit ileile ya Mwendazake kuongezewa muda.

Wote walioshupalia Mwendazake Kuongezewe Muda wa switch kwa Samia Kuongezewa muda.

Hata hivyo tunashauri teuzi za Rais Samia zizingatie uwezo wa mtu na sio kulipa fedhila,Wapo wakuu wengi wa Wilaya hawajui hata uongozi ni nini lakini waliteuliwa kwakuwa wanavaa nguo za Kijani.

Rais Samia unayo support kubwa ,tutumikie kwa uadilifu.
Mimi napendekeza hata uchaguzi usiwepo kabisa. Iwe ka ma Saudia. Halfau Mama aongezewe na mamlaka ya kuteua Wabunge I'll wabunge wawe wale wanaojua kutafsir mahitaji ya Mama na sio kama akina Musukuma!
 
Wana bodi.

Kama wale watafiti wakija kuwahoji wananchi kuhusu furaha yao kwa sasa,hakika hatutakuwa wa mwisho tena,tutakuwa miongoni mwa nchi tano zenye furaha Duniani.

Sasa kwa maoni yangu,Huu muhula Rais Samia kaudakia katikati,lakini ni.moja ya Viongozi bora kuwahi kutokea.

Hapendi ujinga,sio mshamba,leo NGOs zimeanza kuimarika,watumishi wanamatumaini makubwa,Chama cha Mapinduzi kwa sasa kimepata kiongozi bora na anaewasikiliza wanachama.

Rais Kaagiza vyombo vya habari vifunguliwe, na sasa tunaona aia Mwema na Magazeti mengine yanafanya kazi kwa uhuru ,hata Magazeti yaliyofungiwa leo yamefunguliwa.

Vyama vya siasa vitaanza kufanya mikutano ya hadhara pamoja na shughuli za kisiasa bila vikwazo kama ilivyokuwa kabla

Rais Samia aongezewe muda ili aweze kutekeleza mikakati yake,anatupeleka kuzuri kuliko ilivyokuwa.

Leo Account zote zilizofungwa na Mamlaka kwa baraka kutoka juu Rais Samia kakataa,haamini katika Dhulma.

Rais Samia kalifungua Bunge Minyororo,na kuwakemea wabunge kuacha tabia ya kujadili watu na badala yake wajabdili maswala ya wananchi,yote haya Rais anaelekeza kwa maslahi ya taifa.

Rais anavuka mstari na kuwataka wabunge kuishughulikia Serikali yake bila woga,wabunge wasikubali majibu yasiyoridhisha ya Mawaziri wake,leo kila Mmoja ni shuhuda wa namna wabunge wanavyoanza kuusema ukweli walioishi nao vifuani kwa miaka 6 iliyopita.

Hata Spika wa Bunge anathubutu kukosoa Serikali wakati ni yeye alietumika kuwanyamanzisha wabunge kwa kuwafukuza Bungeni.

Haya yote yanahalalisha Madai ya Rais Samia kuongezewa muda wa kusalia Madarakani kwa Spirit ileile ya Mwendazake kuongezewa muda.

Wote walioshupalia Mwendazake Kuongezewe Muda wa switch kwa Samia Kuongezewa muda.

Hata hivyo tunashauri teuzi za Rais Samia zizingatie uwezo wa mtu na sio kulipa fedhila,Wapo wakuu wengi wa Wilaya hawajui hata uongozi ni nini lakini waliteuliwa kwakuwa wanavaa nguo za Kijani.

Rais Samia unayo support kubwa ,tutumikie kwa uadilifu.
Huku mitaani kuna furaha imeanza kuonekana,ingawa bado watu hawana fedha lakini kuna matumaini ya amani kutamalaki.Hata kama ataruhusu katiba mpya;wananchi tumeanza kuwa na imani naye; labda wabunge ndo sina uhakika lakini yeye(5 tena)
 
Wana bodi.

Kama wale watafiti wakija kuwahoji wananchi kuhusu furaha yao kwa sasa,hakika hatutakuwa wa mwisho tena,tutakuwa miongoni mwa nchi tano zenye furaha Duniani.

Sasa kwa maoni yangu,Huu muhula Rais Samia kaudakia katikati,lakini ni.moja ya Viongozi bora kuwahi kutokea.

Hapendi ujinga,sio mshamba,leo NGOs zimeanza kuimarika,watumishi wanamatumaini makubwa,Chama cha Mapinduzi kwa sasa kimepata kiongozi bora na anaewasikiliza wanachama.

Rais Kaagiza vyombo vya habari vifunguliwe, na sasa tunaona aia Mwema na Magazeti mengine yanafanya kazi kwa uhuru ,hata Magazeti yaliyofungiwa leo yamefunguliwa.

Vyama vya siasa vitaanza kufanya mikutano ya hadhara pamoja na shughuli za kisiasa bila vikwazo kama ilivyokuwa kabla

Rais Samia aongezewe muda ili aweze kutekeleza mikakati yake,anatupeleka kuzuri kuliko ilivyokuwa.

Leo Account zote zilizofungwa na Mamlaka kwa baraka kutoka juu Rais Samia kakataa,haamini katika Dhulma.

Rais Samia kalifungua Bunge Minyororo,na kuwakemea wabunge kuacha tabia ya kujadili watu na badala yake wajabdili maswala ya wananchi,yote haya Rais anaelekeza kwa maslahi ya taifa.

Rais anavuka mstari na kuwataka wabunge kuishughulikia Serikali yake bila woga,wabunge wasikubali majibu yasiyoridhisha ya Mawaziri wake,leo kila Mmoja ni shuhuda wa namna wabunge wanavyoanza kuusema ukweli walioishi nao vifuani kwa miaka 6 iliyopita.

Hata Spika wa Bunge anathubutu kukosoa Serikali wakati ni yeye alietumika kuwanyamanzisha wabunge kwa kuwafukuza Bungeni.

Haya yote yanahalalisha Madai ya Rais Samia kuongezewa muda wa kusalia Madarakani kwa Spirit ileile ya Mwendazake kuongezewa muda.

Wote walioshupalia Mwendazake Kuongezewe Muda wa switch kwa Samia Kuongezewa muda.

Hata hivyo tunashauri teuzi za Rais Samia zizingatie uwezo wa mtu na sio kulipa fedhila,Wapo wakuu wengi wa Wilaya hawajui hata uongozi ni nini lakini waliteuliwa kwakuwa wanavaa nguo za Kijani.

Rais Samia unayo support kubwa ,tutumikie kwa uadilifu.
huo ni mtazamo wako.......
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom