JongoSalehe
Member
- May 11, 2022
- 20
- 19
Hapo safi sana exactly kiongozi katiba muhimu sana..Ni kodi za watanzania ndizo zinazojenga!
Anaendelea utekelezaji wa ilani ya Mwenyekiti wa CHAMA Tawala aliemrithi na huyo alikuwa mwanzilishi wa speed iliopo!!
Achana na hayo kazia hii Hapa;-
"Mzee Warioba arudishwe kwenye kikosi kazi cha mkandala mchakato ukamilike"