Kama ni sahihi ninafikiri basi katika ngazi zote hizo za uongozi watu waanze kufunguka! Ni muda muafaka akina Mwigulu, Polepole, Lusinde, Musukuma, na wapenda madaraka wengine kujitangaza kuwa watagombea mwaka 2025. Au ninakosea waungwana?

"Mie ni MCCM lakini nina uhakika Mbowe sio Gaidi!"
Suala wasizuie mikutano ya kisiasa kwa vyama vyote hata kama kuna tishio la UVIKO-19 haijarishi mbona wao wanakusanyana mpaka wanapakazana majasho?

Huyo mama ameanzisha vita ambayo ndio itakayo mfanya aone jua linatokea magharibi kuelekea mashariki
 
... kwa Rais anayeendelea huwa inachapishwa fomu moja tu! Ndio uataratibu wa chama.
 
Mama amepandisha mabega, anaamini ameshalidhibiti Sukuma Gang na kwa msaada wa Msoga Gang anaweza kufanya lolote sasa.
 
Kutafuta uhalali wa kisiasa kwa kutumia kabila lako ni Ubaguzi, kutafuta uhalali wa kisiasa kwa kutumia dini yako ni ubaguzi. Kutafuta uhalali wa kisiasa kwa kutumia maumbile yako ni ubaguzi. Na dhambi ya ubaguzi dawa yake ni kukemewa kwa nguvu na kulaaniwa.
 
Kuna wakati katika moja ya hotuba zake, aliwaasa wanaCCM waache kuwaza 2025 na badala yake wachape kazi kipindi hicho kikifika basi mambo yatajijibu yenyewe.

Lakini sasa, ameamua kupakimbilia mwenyewe huku alishawakataza wenzie.

Ni uhuni.
 
Hili li mtu lishajisahau
Hivi madaraka yana nini?? Mbona kama huwachanganya watu wakaacha kufikiri..
Huyu anajuaje atakuwepo 2025!!
 
Rais ametangaza rasmi kwamba wanawake watakuwa na kazi yakumpata Rais mwanamke 2025 means kwa kauli hii amewaambia chama chake kwamba mgombe atakuwa mwanamke aidha yeye au mwanamke mwingine. Hii inatoa tafsiri ya wazi kwamba wanaume kwa upande wake awataruhusiwa kupambana na mwanamke atakayepitishwa hivyo kwa kukuwa yeye ni Mwenyekiti wa chama mapinduzi, wanaume wote waliotamani kugombea nafasi ya Urais 2025 kupitia chama hicho waanze kutafuta kazi nyingine yakufanya vinginevyo Mwenyenzi Mungu afanye miujiza.

Kwa upande wa pili, kauli hii haiwezi kuwa na nguvu upande wa upinzani kwa sababu wao bado wanao mfumo wao wakupata wagombea Urais. Mfumo huo haufungwi na kauli za Rqis, lakini pia kwakuwa ametangaza adharani na kwa nafasi yake maana yake kampeni za uchaguzi 2025 zimeanza rasmi leo.

Nasema zimeanza rasmi leo kwa sababu muda si mrefu kila atakayekuwa anasimama jukwaani atakuwa anampigia chapuo mwanamke wa 2025, hii kauli ni maelekezo kwa Mawaziri ,wabunge wa CCM na wengine wote ambao wanaishi kwa kasababuu ya uteuzi qa Rais na serikali iliyopo. Kampeni hizi naamini na natabiri zitamabtana na nyimbo, zitaambatana na matangazo kwenye vyombo vya habari na zitaambatana pia wale wanaopinga agizo hili au wanaoonekana kutaka kuwa na nguvu zaidi ya mwanamke kuwajibishwa.

Ni muda Sasa vyama vya upinzani navyo kuanza KUJIANDAA kuanzia ngazi ya mtaa kuwashawoshi wapiga kura ambao kwao wao hawachagui jinsia Bali wanachagua kiongozi. Kwamba tuchague jinsia hii haitaweza kuwa agenda kwa wananchi 2025 Bali agenda itakuwa maji, elimu, demokrasia, katiba, afya na mapambano ya tozo zinazouma.

Kuendelea na kauli mbiu ya kuacha siasa tufanye maendeleo wakati upande mmoja unafanya siasa na kuandaa wagombea pamoja na kuwanadi nikuendeleza ukandamizaji ambao haitakuwa na tija kwa Taifa Bali utakuwa na tija kwa huyo Mwanamke anayeamini kupata urais bila democracy.
Si vizuri kwa vyama vya siasa kufanya mikutano wakati huu ambao nchi inakabiliwa na ugaidi.
 
Kama ni sahihi ninafikiri basi katika ngazi zote hizo za uongozi watu waanze kufunguka! Ni muda muafaka akina Mwigulu, Polepole, Lusinde, Musukuma, na wapenda madaraka wengine kujitangaza kuwa watagombea mwaka 2025. Au ninakosea waungwana?

"Mie ni MCCM lakini nina uhakika Mbowe sio Gaidi!"
Kipenga ndio kimeshapulizwa hivyo ..haijatokea kwa bahati mbaya iyo... Hata February kurudishwa kundini ni kwa ajili ya kumpunguza nguvu na hatimaye kumdhibiti madelu
February na bimkubwa mentor wao ni mmoja...!
 
Nimemsikia mama akisema 2025 atagombea urais na mwaka huo ndiyo wanawake wanaenda kumchagua Rais mwanamke.

Mimi sina matatizo na msimamo wake huo, matatizo yanakuja wakati yeye kama mkuu wa nchi anapotumia platform ya kitaifa kujipigia upatu ilihali wapinzani wake wakiwa wamezibwa midomo na kufungwa mikono.

Rais alitangaza mikutano ya kisiasa hairuhusiwi na wasubiri uchumi uimarike. Hakuna taifa lililosubiri uchumi ukaimarika ndipo likaanza kutenda haki, halipo na huenda halitakuja kuwepo. Kiongozi mkuu wa nchi anapokoswa uwezo wa kupambanua mambo ni hasara kwa taifa.

Kama Rais Samia ataendelea na tabia ya kuwanyanyasa wapinzani wake kisiasa atakiona cha mtema kuni. Mungu wetu yu hai na ataendelea kutupigania.

Mithali 19:1 Afadhali maskini aendaye katika unyofu wake, kuliko mpotofu wa midomo aliye mpumbavu.
 
Ila CCM wahuni sana. Wamemfunga Mbowe, si kwa sababu ya madai ya katiba mpya au ugaidi. Wamemfunga kwa sababu kwa jinsi CCM walivyogawanyika, CHADEMA walikuwa wanaenda kuzoa wafuasi wengi sana.

Samia hana base yoyote ya kisiasa. Anategemea calculations za Kikwete aweze kuendesha nchi.
 
Back
Top Bottom