RWANDES
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,604
- 3,846
Uzinduzi wa maghala ya chakula si suluhishi ya kutatua matatizo yanayokumba nchi hivi sasa mfumuko wa bei wa bidhaa mbalimbali ndiyo kitu pekee mama ambacho hivi sasa angekaa na viongozi wake nini wafanye kwa wananchi ili kupunguza ukali wa maisha.
Changamoto ya umeme na maji imekuwa shida kubwa kwa wananchi nachojiuliza serikali baada ya kutangaza kina cha maji kimeshuka kwa hiyo hakuna mbadala wa suluhisho la tatizo hilo, je ni wazi wananchi tunaendelea kuisoma namba
Mama kwa sasa ilitakuwa ajue ni kero zipi wananchi wanalalamikia ndiyo aanze nazo uzinduzi wa maghala hayo ni ziada kwa hali iliyopo nchini nachojiuliza wasaidizi wake sijui huwa wabamwambia nini ! pamoja na miradi mingi kuendelea kutekelezwa angeangalia kero zilizopo hivi sasa.
Huduma mbovu kwenye ofisi za umma vimeshamili kwa sasa kitu kinachoitwa haki katika mahakama zetu ni ndoto ya mchana kweupe, Mama panga mda angalau ukae hata miezi mitatu nchini na kufanya mukoa mbslimbali utajionea madudu yanayoendelea nchini.
Kwa sasa aliyeshiba hamkumbuki mwenye njaa, hadi kupata barua yoyote ya utambulisho kutoka kwa wenye viti wa mitaa ni hela zaidi ya hapo utazungushwa mda wote na kinachofuata nikuchukiwa.
Changamoto ya umeme na maji imekuwa shida kubwa kwa wananchi nachojiuliza serikali baada ya kutangaza kina cha maji kimeshuka kwa hiyo hakuna mbadala wa suluhisho la tatizo hilo, je ni wazi wananchi tunaendelea kuisoma namba
Mama kwa sasa ilitakuwa ajue ni kero zipi wananchi wanalalamikia ndiyo aanze nazo uzinduzi wa maghala hayo ni ziada kwa hali iliyopo nchini nachojiuliza wasaidizi wake sijui huwa wabamwambia nini ! pamoja na miradi mingi kuendelea kutekelezwa angeangalia kero zilizopo hivi sasa.
Huduma mbovu kwenye ofisi za umma vimeshamili kwa sasa kitu kinachoitwa haki katika mahakama zetu ni ndoto ya mchana kweupe, Mama panga mda angalau ukae hata miezi mitatu nchini na kufanya mukoa mbslimbali utajionea madudu yanayoendelea nchini.
Kwa sasa aliyeshiba hamkumbuki mwenye njaa, hadi kupata barua yoyote ya utambulisho kutoka kwa wenye viti wa mitaa ni hela zaidi ya hapo utazungushwa mda wote na kinachofuata nikuchukiwa.