Rais Samia anatamani gwaride la 9 Desemba huku akiwahofia wazungu waliompa pesa za Covid-19

Huku akitamani kukagua gwaride la 9 December Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameingiwa na wasiwasi wa ni namna gani wazungu waliompa pesa za Covid watamchukulia endapo ataandaa kusanyiko takatifu la kiwango kile la watu.

Duru za kweli kabisa zinatabanaisha kuwa huenda maadhimisho ya sherehe za uhuru wa Tanzania yasiwapo kwa hofu ya waliofadhili mabilioni ya shilingi ili Tanzania ipambane na Covid wataghadhabishwa kwalo.

Maoni yangu;
Cha mtu ni mavi!
Very simple kila mtu avae barakora,,, hata wao wazungu wanakutana kwenye mipira disco, etc
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom