Rais Samia anatamani gwaride la 9 Desemba huku akiwahofia wazungu waliompa pesa za Covid-19

jitombashisho

JF-Expert Member
Jun 11, 2020
667
2,242
Huku akitamani kukagua gwaride la 9 December Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameingiwa na wasiwasi wa ni namna gani wazungu waliompa pesa za Covid watamchukulia endapo ataandaa kusanyiko takatifu la kiwango kile la watu.

Duru za kweli kabisa zinatabanaisha kuwa huenda maadhimisho ya sherehe za uhuru wa Tanzania yasiwapo kwa hofu ya waliofadhili mabilioni ya shilingi ili Tanzania ipambane na Covid wataghadhabishwa kwalo.

Maoni yangu;
Cha mtu ni mavi!
 
Huku akitamani kukagua gwaride la 9 December Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameingiwa na wasiwasi wa ni namna gani wazungu waliompa pesa za Covid watamchukulia endapo ataandaa kusanyiko takatifu la kiwango kile la watu.

Duru za kweli kabisa zinatabanaisha kuwa huenda maadhimisho ya sherehe za uhuru wa Tanzania yasiwapo kwa hofu ya waliofadhili mabilioni ya shilingi ili Tanzania ipambane na Covid wataghadhabishwa kwalo.

Maoni yangu;
Cha mtu ni mavi!
Mkuu ,tafuta HELA.

Tumebakiza siku 53 mwaka uishe.

Ustangukize mihemko sana kwenye vitu usivyo vijua.
 
Huku akitamani kukagua gwaride la 9 December Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameingiwa na wasiwasi wa ni namna gani wazungu waliompa pesa za Covid watamchukulia endapo ataandaa kusanyiko takatifu la kiwango kile la watu.

Duru za kweli kabisa zinatabanaisha kuwa huenda maadhimisho ya sherehe za uhuru wa Tanzania yasiwapo kwa hofu ya waliofadhili mabilioni ya shilingi ili Tanzania ipambane na Covid wataghadhabishwa kwalo.

Maoni yangu;
Cha mtu ni mavi!
Acha hizi mambo...za udaku!
 
Huku akitamani kukagua gwaride la 9 December Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameingiwa na wasiwasi wa ni namna gani wazungu waliompa pesa za Covid watamchukulia endapo ataandaa kusanyiko takatifu la kiwango kile la watu.

Duru za kweli kabisa zinatabanaisha kuwa huenda maadhimisho ya sherehe za uhuru wa Tanzania yasiwapo kwa hofu ya waliofadhili mabilioni ya shilingi ili Tanzania ipambane na Covid wataghadhabishwa kwalo.

Maoni yangu;
Cha mtu ni mavi!
Sukuma gang mna wakati mgumu sana.
 
Back
Top Bottom