Rais Samia anatakiwa kuwa makini afanyapo teuzi

Bado nashindwa kuelewa ni either hajauzoea urais au ni kwamba hayupo tu makini.

Moja ya vitu ambavyo ni maajabu sani ni pale unapoona taarifa ya uteuzi kutoka Ikulu ikiwa na makosa kila Mara.

Taarifa yoyote inayotoka Ikulu inapaswa kuhakikiwa sana kabla ya kwenda kwenye public.

Au niseme ni kawaida yetu sisi ngozi nyeusi kukosa umakini sehemu ambayo tulipaswa kuwa makini.

Na bahati mbaya sana haya makosa hayaishii hapo tu huwa yanakwenda hadi kwenye masuala ambayo huligharimu taifa zima.

Chukulia mfano mikataba inayosainiwa, unabaki kujiuliza hawa viongozi wetu kabla ya kusaini waliisoma kweli?

Mama Samia ulipokosea Mara ya kwanza tuliona ni kawaida, Mara ya pili tukaona aah pengine umepitiwa tu, Mara ya tatu, Mara ya nne?

Shida ni nini huko mbona sisi tunaopenda hii nchi yetu tunapatwa na wasiwasi sana ikiwa jambo Kama hili mnakosa umakini? Au haituhusu?
Makosa kwenye uteuzi yalianza hivi
  • Ulipoteua wakuu wa mikoa
  • Ulipoteua wakurugenzi wa mashirika
  • Ulipoteua makatibu tawala mikoa na
  • Sasa kwenye uteuzi wa wakurugenzi wa halmashauri
Kwa lugha nyepesi raisi anapaswa kuteua tena wakurugenzi wawili, ili kuziba nafasi kwenye halmashauri mbili ambazo hazitakuwa na wakurugenzi

Bado sijajua Ikulu wanatumia programu gani ambayo inashindwa kuona duplicate kwenye majina.

Pia ni inaonesha wazi kuwa hakuna uhakiki unaofanyika kwenye taarifa inayoenda public.

Mimi nimetumia haki yangu Kikatiba kukosoa, hivyo Imani yangu umakini utakuwepo kwenye mambo yajayo.
Ndiyo maana unasikia madaraka ya rais ni makubwa mno. Hiyo idadi ya watu anaowateua ni kubwa sana kiasi inatia shaka sana iwapo anateua watu ambao ni sahihi. Makosa yanayotokea kwenye hizi teuzi ni kwasababu hiyohiyo.
Bila kubadilisha namna ya kuongoza hii nchi tutacheza makidamakida miaka nenda miaka rudi. Wengine wanafurahia tu kujaza supu kwenye vitambi vyao, hawajali kabisa maendeleo ya nchi.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Bado nashindwa kuelewa ni either hajauzoea urais au ni kwamba hayupo tu makini.

Moja ya vitu ambavyo ni maajabu sani ni pale unapoona taarifa ya uteuzi kutoka Ikulu ikiwa na makosa kila Mara.

Taarifa yoyote inayotoka Ikulu inapaswa kuhakikiwa sana kabla ya kwenda kwenye public.

Au niseme ni kawaida yetu sisi ngozi nyeusi kukosa umakini sehemu ambayo tulipaswa kuwa makini.

Na bahati mbaya sana haya makosa hayaishii hapo tu huwa yanakwenda hadi kwenye masuala ambayo huligharimu taifa zima.

Chukulia mfano mikataba inayosainiwa, unabaki kujiuliza hawa viongozi wetu kabla ya kusaini waliisoma kweli?

Mama Samia ulipokosea Mara ya kwanza tuliona ni kawaida, Mara ya pili tukaona aah pengine umepitiwa tu, Mara ya tatu, Mara ya nne?

Shida ni nini huko mbona sisi tunaopenda hii nchi yetu tunapatwa na wasiwasi sana ikiwa jambo Kama hili mnakosa umakini? Au haituhusu?
Makosa kwenye uteuzi yalianza hivi
  • Ulipoteua wakuu wa mikoa
  • Ulipoteua wakurugenzi wa mashirika
  • Ulipoteua makatibu tawala mikoa na
  • Sasa kwenye uteuzi wa wakurugenzi wa halmashauri
Kwa lugha nyepesi Rais anapaswa kuteua tena wakurugenzi wawili, ili kuziba nafasi kwenye halmashauri mbili ambazo hazitakuwa na wakurugenzi

Bado sijajua Ikulu wanatumia programu gani ambayo inashindwa kuona duplicate kwenye majina.

Pia ni inaonesha wazi kuwa hakuna uhakiki unaofanyika kwenye taarifa inayoenda public.

Mimi nimetumia haki yangu Kikatiba kukosoa, hivyo Imani yangu umakini utakuwepo kwenye mambo yajayo.
Hii ni hasira ya kukosa uteuzi hapa naona...
ikichagizwa na mapungufu yaliyopo
 
Hivi jamana mnampa mzigo.mama yetu kwa hiyo hayo.majina yeye ndio alikuwa na Fanya typing
Kuna kitu hujaelewa. Wakurugenzi wanapaswa kuwa 184 lakini kutokana na majina kujirudia wapo 182
Hivyo inaoanyesha mteuaji ambae ni raisi ndio mwenye kosa na ndio maana muda mfupi uliopita waziri ummy mwalimu kasema uteuzi wa hao wawili wengine utafanyika tena
 
Hii ni hasira ya kukosa uteuzi hapa naona...
ikichagizwa na mapungufu yaliyopo
Uteuzi mimi? Sijawahi kuwaza kwa kuwa nipo mbali sana na hizo teuzi hakuna namna ambayo itanifanya niteuliwe.
 
Tulishasema kwa katiba hii , hii nchi hata tumpe malaika, lazima alete uvundo tu, kwani kila kitu kinaendeshwa kutegemea hisani ya kiongozi!!mtu ana teuliwa from no where.Ndio ufikirie mambo madogo madogo tu hayo, yanashindikana, ije mambo makubwa?!!mtu anateuliwa kuwa RC, jina linatangazwa kabisa heee, wanakuja kushituka kumbe ni form 4!!wanaengue?na mbona hii hali imejitokeza sana kuanzia awamu ya tano na sasa ya sita?!!huko nyuma sidhani kama iliwahi tokea!!!
Teuzi zimekuwa Kama faza krisimasi anagawa popukoni
 
Kuna kitu hujaelewa. Wakurugenzi wanapaswa kuwa 184 lakini kutokana na majina kujirudia wapo 182
Hivyo inaoanyesha mteuaji ambae ni raisi ndio mwenye kosa na ndio maana muda mfupi uliopita waziri ummy mwalimu kasema uteuzi wa hao wawili wengine utafanyika tena
Unaelimisha hao mazwaga watakuelewa? Tanzania watu wana ushabiki wa kijinga sana. Makosa kama haya ni tip of the iceberg tu. Kuna yale makubwa na yenye madhara mabaya sana ambayo hayaonekani physicaly lakini athari zake zinaacha alama kwa miaka mingi. Kwa hii katiba hakuna kitakachobadilika, na pengine hali inaweza kuwa mbaya zaidi.
 
Vimemo anatumiwa. Watu wanapiga hela sana hizi teuzi. Wapo watu special wa kupeleka Vimemo vya uteuzi. Tuna kazi sana yaani
Tamisemi iliyokuwa awamu ya 4 ilikuwa ina uza nafasi
 
Sijui shida nini kwa wenzetu huko, makosa Kama haya mbona yanaepukika?
Kwenye hili la wakurugenzi anaweza kuwa sio yeye Ila kwenye lile la wakuu wa mikoa ni yeye anahusika na Yale makosa
Hakitumia akili yake mtasema hashauriki
 
Bado nashindwa kuelewa ni either hajauzoea urais au ni kwamba hayupo tu makini.

Moja ya vitu ambavyo ni maajabu sani ni pale unapoona taarifa ya uteuzi kutoka Ikulu ikiwa na makosa kila Mara.

Taarifa yoyote inayotoka Ikulu inapaswa kuhakikiwa sana kabla ya kwenda kwenye public.

Au niseme ni kawaida yetu sisi ngozi nyeusi kukosa umakini sehemu ambayo tulipaswa kuwa makini.

Na bahati mbaya sana haya makosa hayaishii hapo tu huwa yanakwenda hadi kwenye masuala ambayo huligharimu taifa zima.

Chukulia mfano mikataba inayosainiwa, unabaki kujiuliza hawa viongozi wetu kabla ya kusaini waliisoma kweli?

Mama Samia ulipokosea Mara ya kwanza tuliona ni kawaida, Mara ya pili tukaona aah pengine umepitiwa tu, Mara ya tatu, Mara ya nne?

Shida ni nini huko mbona sisi tunaopenda hii nchi yetu tunapatwa na wasiwasi sana ikiwa jambo Kama hili mnakosa umakini? Au haituhusu?
Makosa kwenye uteuzi yalianza hivi
  • Ulipoteua wakuu wa mikoa
  • Ulipoteua wakurugenzi wa mashirika
  • Ulipoteua makatibu tawala mikoa na
  • Sasa kwenye uteuzi wa wakurugenzi wa halmashauri
Kwa lugha nyepesi Rais anapaswa kuteua tena wakurugenzi wawili, ili kuziba nafasi kwenye halmashauri mbili ambazo hazitakuwa na wakurugenzi

Bado sijajua Ikulu wanatumia programu gani ambayo inashindwa kuona duplicate kwenye majina.

Pia ni inaonesha wazi kuwa hakuna uhakiki unaofanyika kwenye taarifa inayoenda public.

Mimi nimetumia haki yangu Kikatiba kukosoa, hivyo Imani yangu umakini utakuwepo kwenye mambo yajayo.
Mkuu mwenyewe alisema ile taasisi huwa haikoseagi; kwa mambo kama haya ndio upime uwezo wa yeye mwenyewe na watu wanaomzunguka naona ni mwendo wa kupuyanga tu zakhia meghji aliwai sema wanamuonea kwasababu mwanamke akiwa waziri wa fedha wa mkwere
 
.
IMG_20210802_200258.jpg
 
Bado nashindwa kuelewa ni either hajauzoea urais au ni kwamba hayupo tu makini.

Moja ya vitu ambavyo ni maajabu sani ni pale unapoona taarifa ya uteuzi kutoka Ikulu ikiwa na makosa kila Mara.

Taarifa yoyote inayotoka Ikulu inapaswa kuhakikiwa sana kabla ya kwenda kwenye public.

Au niseme ni kawaida yetu sisi ngozi nyeusi kukosa umakini sehemu ambayo tulipaswa kuwa makini.

Na bahati mbaya sana haya makosa hayaishii hapo tu huwa yanakwenda hadi kwenye masuala ambayo huligharimu taifa zima.

Chukulia mfano mikataba inayosainiwa, unabaki kujiuliza hawa viongozi wetu kabla ya kusaini waliisoma kweli?

Mama Samia ulipokosea Mara ya kwanza tuliona ni kawaida, Mara ya pili tukaona aah pengine umepitiwa tu, Mara ya tatu, Mara ya nne?

Shida ni nini huko mbona sisi tunaopenda hii nchi yetu tunapatwa na wasiwasi sana ikiwa jambo Kama hili mnakosa umakini? Au haituhusu?
Makosa kwenye uteuzi yalianza hivi
  • Ulipoteua wakuu wa mikoa
  • Ulipoteua wakurugenzi wa mashirika
  • Ulipoteua makatibu tawala mikoa na
  • Sasa kwenye uteuzi wa wakurugenzi wa halmashauri
Kwa lugha nyepesi Rais anapaswa kuteua tena wakurugenzi wawili, ili kuziba nafasi kwenye halmashauri mbili ambazo hazitakuwa na wakurugenzi

Bado sijajua Ikulu wanatumia programu gani ambayo inashindwa kuona duplicate kwenye majina.

Pia ni inaonesha wazi kuwa hakuna uhakiki unaofanyika kwenye taarifa inayoenda public.

Mimi nimetumia haki yangu Kikatiba kukosoa, hivyo Imani yangu umakini utakuwepo kwenye mambo yajayo.
Umeandika vyema sana ndugu. Wasaidizi wa rais wanamharibia sana. Mara nne zote!! Enough is enough. Wazembe wote wanaomzunguka rais nawatumbua katika ulimwengu wa kiroho kwa imani.
 
Bado nashindwa kuelewa ni either hajauzoea urais au ni kwamba hayupo tu makini.

Moja ya vitu ambavyo ni maajabu sani ni pale unapoona taarifa ya uteuzi kutoka Ikulu ikiwa na makosa kila Mara.

Taarifa yoyote inayotoka Ikulu inapaswa kuhakikiwa sana kabla ya kwenda kwenye public.

Au niseme ni kawaida yetu sisi ngozi nyeusi kukosa umakini sehemu ambayo tulipaswa kuwa makini.

Na bahati mbaya sana haya makosa hayaishii hapo tu huwa yanakwenda hadi kwenye masuala ambayo huligharimu taifa zima.

Chukulia mfano mikataba inayosainiwa, unabaki kujiuliza hawa viongozi wetu kabla ya kusaini waliisoma kweli?

Mama Samia ulipokosea Mara ya kwanza tuliona ni kawaida, Mara ya pili tukaona aah pengine umepitiwa tu, Mara ya tatu, Mara ya nne?

Shida ni nini huko mbona sisi tunaopenda hii nchi yetu tunapatwa na wasiwasi sana ikiwa jambo Kama hili mnakosa umakini? Au haituhusu?
Makosa kwenye uteuzi yalianza hivi
  • Ulipoteua wakuu wa mikoa
  • Ulipoteua wakurugenzi wa mashirika
  • Ulipoteua makatibu tawala mikoa na
  • Sasa kwenye uteuzi wa wakurugenzi wa halmashauri
Kwa lugha nyepesi Rais anapaswa kuteua tena wakurugenzi wawili, ili kuziba nafasi kwenye halmashauri mbili ambazo hazitakuwa na wakurugenzi

Bado sijajua Ikulu wanatumia programu gani ambayo inashindwa kuona duplicate kwenye majina.

Pia ni inaonesha wazi kuwa hakuna uhakiki unaofanyika kwenye taarifa inayoenda public.

Mimi nimetumia haki yangu Kikatiba kukosoa, hivyo Imani yangu umakini utakuwepo kwenye mambo yajayo.
Kwani hao hawajadungwa?
 
Teuzi zimekuwa Kama faza krisimasi anagawa popukoni
Yaani ni hatari sana!!ni sandakalawe ndio maana unakuta wengine majina yanaonekana mala mbili mbili!!na kinaonekana ni kitu cha kawaida tu, ki ukweli kuja kujinasua na hali hii labda wajukuu wetu!!!
 
Bado nashindwa kuelewa ni either hajauzoea urais au ni kwamba hayupo tu makini.

Moja ya vitu ambavyo ni maajabu sani ni pale unapoona taarifa ya uteuzi kutoka Ikulu ikiwa na makosa kila Mara.

Taarifa yoyote inayotoka Ikulu inapaswa kuhakikiwa sana kabla ya kwenda kwenye public.

Au niseme ni kawaida yetu sisi ngozi nyeusi kukosa umakini sehemu ambayo tulipaswa kuwa makini.

Na bahati mbaya sana haya makosa hayaishii hapo tu huwa yanakwenda hadi kwenye masuala ambayo huligharimu taifa zima.

Chukulia mfano mikataba inayosainiwa, unabaki kujiuliza hawa viongozi wetu kabla ya kusaini waliisoma kweli?

Mama Samia ulipokosea Mara ya kwanza tuliona ni kawaida, Mara ya pili tukaona aah pengine umepitiwa tu, Mara ya tatu, Mara ya nne?

Shida ni nini huko mbona sisi tunaopenda hii nchi yetu tunapatwa na wasiwasi sana ikiwa jambo Kama hili mnakosa umakini? Au haituhusu?
Makosa kwenye uteuzi yalianza hivi
  • Ulipoteua wakuu wa mikoa
  • Ulipoteua wakurugenzi wa mashirika
  • Ulipoteua makatibu tawala mikoa na
  • Sasa kwenye uteuzi wa wakurugenzi wa halmashauri
Kwa lugha nyepesi Rais anapaswa kuteua tena wakurugenzi wawili, ili kuziba nafasi kwenye halmashauri mbili ambazo hazitakuwa na wakurugenzi

Bado sijajua Ikulu wanatumia programu gani ambayo inashindwa kuona duplicate kwenye majina.

Pia ni inaonesha wazi kuwa hakuna uhakiki unaofanyika kwenye taarifa inayoenda public.

Mimi nimetumia haki yangu Kikatiba kukosoa, hivyo Imani yangu umakini utakuwepo kwenye mambo yajayo.
Unategemea nini wakati mkurugenzi wa usalama wa taifa ni ndugu diwani? Na huyo jaffar apo amepwaya anafanya makosa mengi mengi sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom