Rais Samia anasubiri nini kumshughulikia Humphrey? Urais wake unayumbishwa na huyu? Asijesema hatukumwambia!

Nadhani ni wakati sasa Mama Samia ajionyeshe kwamba yeye ni Rais na Mwenyekiti wa CCM, kama Humphrey anaweza kumdharau waziwazi na hachukui hatua, basi anajipalilia mazingira ya kuonyesha anaweza kudharauliwa na yeyote, Urais na Rais lazima uonyeshe uimara wake, haiwezekani watu wanakodi vipindi katika TV ili watukane halafu hakuna kinachofanyika.

Wasaidizi was Samia wajitafakari kama wanatosha kumshauri, Kolimba alijaribu kuhujumu CCM, kama Polepole, usalama wa hadhi ya Rais ni Usalama wa Taifa, huyu muhuni amefanya aliyofanya, sasa imetosha
Wala samia hayumbishwi na huyo mpuuzi

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Mama arudi kwenye maagizo 18 ya wenye nchi walipo mkabidhi!!asihangaike na viroboto kwani viroboto wakuu wanamcheki tu ajichanganye wafanye yao!!
 
Nyugunyugu wa mamaa eyaaa, nyugunyugu wa babaaa eyaaa, nuugunyu sanga malema eyaaa, ati wababaaa ...konjela katoooo
 
Nadhani ni wakati sasa Mama Samia ajionyeshe kwamba yeye ni Rais na Mwenyekiti wa CCM, kama Humphrey anaweza kumdharau waziwazi na hachukui hatua, basi anajipalilia mazingira ya kuonyesha anaweza kudharauliwa na yeyote, Urais na Rais lazima uonyeshe uimara wake, haiwezekani watu wanakodi vipindi katika TV ili watukane halafu hakuna kinachofanyika.

Wasaidizi was Samia wajitafakari kama wanatosha kumshauri, Kolimba alijaribu kuhujumu CCM, kama Polepole, usalama wa hadhi ya Rais ni Usalama wa Taifa, huyu muhuni amefanya aliyofanya, sasa imetosha
Mtazamo wangu nii

Pole pole anatolewa Kwenye system, kabisa sasa hana kinga ya bunge ataongelea wapii keisha habari yake
 
Mtazamo wangu nii

Pole pole anatolewa Kwenye system, kabisa sasa hana kinga ya bunge ataongelea wapii keisha habari yake
Sasa Yuko chini ya mama, nashauri pale ibalozini atafutiwe kesi ya kuhujumu uchumi na utakatishaji, anarudishwa, anaanza kunyea ndoo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom