Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,708
- 12,789
Kwahiyo Mbowe ni gaidi?Nilimuomba Mama awe mkali kidogo hili genge la hawa Chadema lina hitaji kwenda nalo kwa akili kubwa kadili wao wanavyoleta uhuni.
Tupo katika mapambano na Covid 19 na wao wamekuwa wakihimiza serikali kuchukua hatua za kupambana na ugonjwa, serikali inawapa maelekezo wanakaidi sasa uhuni unatakiwa kudhibitiwa kwa namna yake.
Safi Mama sana Mama ni mwendo wa long balls sasa hakuna cha mwingi tutapoteza mechi Watanzania.