Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 10,354
- 17,898
Angekuwa chuma angekufa kwa kamasi za corona? Au hujui maana ya chuma!!Daah kumbeee basi JPM alikuwa ni chuma kwelikweli kama alikuwa anakopa na kutengeneza miradi mikubwa kama hii ni mfano wa kuigwa kuliko kukopa then mzigo unatafunwa bila kufanya chochote