Rais Samia anapaswa kujua kuwa bila Magufuli asingekuwa Rais

Daah kumbeee basi JPM alikuwa ni chuma kwelikweli kama alikuwa anakopa na kutengeneza miradi mikubwa kama hii ni mfano wa kuigwa kuliko kukopa then mzigo unatafunwa bila kufanya chochote
Angekuwa chuma angekufa kwa kamasi za corona? Au hujui maana ya chuma!!
 
Kumekuwa na mfululizo wa mashambulizi makali ya maneno ya kisiasa kutoka kwa Rais Samia na wasaidizi wake wa karibu dhidi ya mtangulizi wake marehemu Magufuli.

Binafsi sifurahishwi nayo kwa kuwa yamemlenga mtu aliyekufa (Magufuli) na yanasemwa na waliokuwa wasaidizi wa marehemu Magufuli, ambao waliibuliwa na kubebwa kwa 100% na Magufuli mwenyewe. Kumkana sasa Magufuli na siasa zake kabla ya kuwaomba radhi watanzania waliomizwa na utawala wa Magufuli huku Samia akiwa msaidizi na mshauri mkuu wa Magufuli, ni jambo la fedheha sana.

Yaani mabaya yote ya utawala wa Magufuli (kama ubabe, unyanyasaji, utesaji, wizi) wanasema yalikuwa ya Magufuli mwenyewe, lakini mema yote ya Magufuli (kama ujenzi, miradi, usimamizi, uwajibikaji) wanasema yalikuwa ya wote kwa umoja wao! Huu ni unafiki mkubwa.

Sote tunajua kuwa uchaguzi wa 2015 ulichezewa ili Magufuli aingie madarakani, na uchaguzi wa 2020 ulichezewa na Magufuli mwenyewe kwa 100% ili aendelee kukaa madarakani. Na Magufuli aliyafanya hayo yote kwa maslahi yake binafsi, maslahi ya CCM na maslahi ya wasaidizi wake. Leo hii watu wale wale kumkaanga Magufuli kisiasa ni jambo la ajabu sana.
Kwanini hawakusema hayo wakati Magufuli akiwa bado hai?
Kwanini hawakukaa hata pembeni ili kukwepa kushiriki dhuluma aliyotendwa na Magufuli?

Yaani leo hii Magufuli amegeuzwa na CCM ya mama Samia kuwa dampo la kufichia uchafu wote wa kisiasa unaonuka wa CCM uliofanywa na CCM na serikali yake tangu 2015-2021. Hii hatari sasa.

Ilitosha sana kwa mama Samia na CCM yake kuja kwanza hadharani kuwaomba radhi watanzania kwa utawala mbovu wa Magufuli uliokosa aibu, utu na haki, kisha kutafuta maridhiano ili ukurasa mbovu wa utawala wa Magufuli ufungwe milele katika taifa letu.
Daaah... Muda mrefu sana Jamiiforums ilikosa watu wenye akili kama hivi. Unajua mimi binafsi nlikuwa mpingaji sana wa Magufuli akiwa hai. But nlipoona sasa kila baya anatupiwa yeye na watu ambao hapo awali walikuwa wanamuunga mkono nikagundua tatizo halikuwa yeye.... Ni waliomzunguka. Watanzania wanafiki sana. Mpaka wanaogopesha. Naanza kuona kuwa haya wanayoyasema sasa si sawa. Kama walikuwa wanapenda haki wangeyakataa toka mwanzo. Akina Nape walienda mpaka kupiga magoti kwa kuogopa wasikose ubunge... Samia alikuwa makamu wa Rais. Mbona hakuwahi pinga ? Anyway... Siasa za kinafik zinasababisha watu wasiwe wanawajibishwa.
 
Kumekuwa na mfululizo wa mashambulizi makali ya maneno ya kisiasa kutoka kwa Rais Samia na wasaidizi wake wa karibu dhidi ya mtangulizi wake marehemu Magufuli.

Binafsi sifurahishwi nayo kwa kuwa yamemlenga mtu aliyekufa (Magufuli) na yanasemwa na waliokuwa wasaidizi wa marehemu Magufuli, ambao waliibuliwa na kubebwa kwa 100% na Magufuli mwenyewe. Kumkana sasa Magufuli na siasa zake kabla ya kuwaomba radhi watanzania waliomizwa na utawala wa Magufuli huku Samia akiwa msaidizi na mshauri mkuu wa Magufuli, ni jambo la fedheha sana.

Yaani mabaya yote ya utawala wa Magufuli (kama ubabe, unyanyasaji, utesaji, wizi) wanasema yalikuwa ya Magufuli mwenyewe, lakini mema yote ya Magufuli (kama ujenzi, miradi, usimamizi, uwajibikaji) wanasema yalikuwa ya wote kwa umoja wao! Huu ni unafiki mkubwa.

Sote tunajua kuwa uchaguzi wa 2015 ulichezewa ili Magufuli aingie madarakani, na uchaguzi wa 2020 ulichezewa na Magufuli mwenyewe kwa 100% ili aendelee kukaa madarakani. Na Magufuli aliyafanya hayo yote kwa maslahi yake binafsi, maslahi ya CCM na maslahi ya wasaidizi wake. Leo hii watu wale wale kumkaanga Magufuli kisiasa ni jambo la ajabu sana.
Kwanini hawakusema hayo wakati Magufuli akiwa bado hai?
Kwanini hawakukaa hata pembeni ili kukwepa kushiriki dhuluma aliyotendwa na Magufuli?

Yaani leo hii Magufuli amegeuzwa na CCM ya mama Samia kuwa dampo la kufichia uchafu wote wa kisiasa unaonuka wa CCM uliofanywa na CCM na serikali yake tangu 2015-2021. Hii hatari sasa.

Ilitosha sana kwa mama Samia na CCM yake kuja kwanza hadharani kuwaomba radhi watanzania kwa utawala mbovu wa Magufuli uliokosa aibu, utu na haki, kisha kutafuta maridhiano ili ukurasa mbovu wa utawala wa Magufuli ufungwe milele katika taifa letu.
Ooh kumbe bwana yuke alijiuwa mwenyewe ili Mama Samia ashike Urais?
 
Kumekuwa na mfululizo wa mashambulizi makali ya maneno ya kisiasa kutoka kwa Rais Samia na wasaidizi wake wa karibu dhidi ya mtangulizi wake marehemu Magufuli.

Binafsi sifurahishwi nayo kwa kuwa yamemlenga mtu aliyekufa (Magufuli) na yanasemwa na waliokuwa wasaidizi wa marehemu Magufuli, ambao waliibuliwa na kubebwa kwa 100% na Magufuli mwenyewe. Kumkana sasa Magufuli na siasa zake kabla ya kuwaomba radhi watanzania waliomizwa na utawala wa Magufuli huku Samia akiwa msaidizi na mshauri mkuu wa Magufuli, ni jambo la fedheha sana.

Yaani mabaya yote ya utawala wa Magufuli (kama ubabe, unyanyasaji, utesaji, wizi) wanasema yalikuwa ya Magufuli mwenyewe, lakini mema yote ya Magufuli (kama ujenzi, miradi, usimamizi, uwajibikaji) wanasema yalikuwa ya wote kwa umoja wao! Huu ni unafiki mkubwa.

Sote tunajua kuwa uchaguzi wa 2015 ulichezewa ili Magufuli aingie madarakani, na uchaguzi wa 2020 ulichezewa na Magufuli mwenyewe kwa 100% ili aendelee kukaa madarakani. Na Magufuli aliyafanya hayo yote kwa maslahi yake binafsi, maslahi ya CCM na maslahi ya wasaidizi wake. Leo hii watu wale wale kumkaanga Magufuli kisiasa ni jambo la ajabu sana.
Kwanini hawakusema hayo wakati Magufuli akiwa bado hai?
Kwanini hawakukaa hata pembeni ili kukwepa kushiriki dhuluma aliyotendwa na Magufuli?

Yaani leo hii Magufuli amegeuzwa na CCM ya mama Samia kuwa dampo la kufichia uchafu wote wa kisiasa unaonuka wa CCM uliofanywa na CCM na serikali yake tangu 2015-2021. Hii hatari sasa.

Ilitosha sana kwa mama Samia na CCM yake kuja kwanza hadharani kuwaomba radhi watanzania kwa utawala mbovu wa Magufuli uliokosa aibu, utu na haki, kisha kutafuta maridhiano ili ukurasa mbovu wa utawala wa Magufuli ufungwe milele katika taifa letu.
Kwa hiyo Magufuli aliamua mwenyewe kufa ili Samia awe Rais? hovyo kabisa
 
Crap

Mawazo mgando na ya walevi

Ukweli lazima usemwe

Nasema pwi pwi kwi kwi

DJ lete mambo, DJ lete mambo

CCM ina wenyewe

CCM, ccm, ccm ohooo ccm ni nambari one

Kuna watu walikubali kufa na Wengine walikufa kwa nchi hii

JPM Yeye amekuta minara ya Mashujaa hata maana yake alikuwa hajui

JPM alitaka aitwe shujaa, Hivi hajui akina Mkwawa walipambana sana

Hivi JPM hakujua chief Songea alipambana sana hapa Tanzania

Hata siku moja Nyerere hakujisifu zaidi ya Mkwawa au chief Songea bali Akifika huko Iringa na Songea alijifanya bwege na aliwaita wazee wa mila kumpa ushauri

Sasa huyo Mwamba wenu alijifanya Yeye ni shujaa kuliko Mkwawa, chief Songea na Mtemi isike... kweli??
I
Mwambieni walikuwepo wapambanaji siyo yeye

Marehamu Capt John Komba aliimba nyimbo za ushindi za hamasa na akatoweka

JPM nani ndani ya ccm?

Wenzake akina kinana, Makamba na Kikwete walikuwa wanajeshi walijitolea kufa kwa nchi hii kabla ya Magufuli

JPM nani bwana?

Historia ya nchi hii ni ngumu sana, Nyerere aliongea na Machief kuwa tuwe wamoja bila hivyo kuna maeneo Machief wao walikuwa watu wa vita na kupambana

Huko Iringa, Songea na Tabora watu walikuwa na tawala za vita na ujasiri lakini busara za nyerere watu wakamuunga mkono

Skadi moja ya mtwara JPM wenu hoi, Je ingekuwa enzi hizo kuna uchawi wa kutisha angetoboa kama Nyerere kweli

Unakumbuka ule mwanga kule kwa Majaliwa, Sasa Jiulize enzi hizo Nyerere ilikuwa Je? siku hizi hakuna uchawi bwana
Mimi sikubaliani na msemo wako kwamba Kinana, Makamba na Kikwete walikuwa wanajeshi na walijitolea kufa kwa nchi hii. Naomba ufahamu kwamba kuwa mwanajeshi ni kazi kama kazi zingine tu watu wanaajiriwa na kulipwa mshahara sasa wamejitolea nini? Wangefanya kazi bure bila kulipwa hapo tungesema wamejitolea!!!! Eti Kujitolea kufa "kuna wanamgambo lukuki walikufa vitani na hawakuwa wanajeshi"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom