Mwanahabari wa Taifa
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 1,450
- 799
Tunamuunga mkono 100%
Tunampenda
Tutamchagua tena 2025.
Tunampenda
Tutamchagua tena 2025.
Btw hivi na ile 'Tanzania Safari Channel' imefikia wapi.... wakati mwingine drama za matumizi mengine yasiyo na tija bongo, huwa haziishi na inabidi kuwa wapole tu....Mpaka hapo tayari ameshakosea kwa kujiinua; hivi utalii unahusu matajiri, watu maarufu na viongozi pekee ambao wanauwezo kulipia?
'The Royal Tour' maana yake isiyorasmi ni ziara ya kifalme au kimalkia....aibu sana
Huwezi kuutangaza utalii wa Tanzania ikiwemo utamaduni, mila na desturi zake kwa jukwaa la kifalme au kimalkia ambapo wataofuatilia zaidi ni wenye hadhi yako tu wengine watakaa pembeni
"Why can't we brand ourselves in the manner that really impresses who we are naturally blessed?
Channel ipo ila kuna mtua anataka kutengeneza 'legacy' yake kama alivyokuwa anafanya Nyalandu ambapo hata pamoja na jitihada hizo zene thamani hakluna mapato yoyote yaliyopatikana kwa nchi.Btw hivi na ile 'Tanzania Safari Channel' imefikia wapi.... wakati mwingine drama za matumizi mengine yasiyo na tija bongo, huwa haziishi na inabidi kuwa wapole tu....
Acha dharau, hiyo ni sawa kusema baba yako alipendwa nini kwa mama yako, huo ni ukosefu wa adabu kwa kiwango cha lamiHope anatumia vizuri yale macho yake na sauti kuvutia hao watalii.
Ningekuwa mimi ni mshauri, wala nisingemshauri afanye mambo haya. Hizo pesa angepeleka kujenga chuo cha kimataifa cha teknolojia.Rais wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameanza kurekodi kipindi maarufu cha 'The Royal Tour' kwa lengo la kuitangaza Tanzania kwenye Sekta ya Utalii, Biashara na Uwekezaji.
Faida ya Mhe. Rais kurekodi Kipindi cha 'The Royal Tour'
● Kipindi kitarushwa kwenye Mabara na Nchi Kubwa kama Marekani, Ulaya, Asia na Afrika hivyo Tanzania itapata Watalii wengi kutoka maeneo hayo.
● Taasisi nyingi za Masuala ya Utalii na Uwekezaji za Kimataifa zenye wafuasi wengi watapata kuijua vizuri Tanzania na dira ya kiongozi Mkuu wa Nchi kwenye masuala ya biashara na uwekezaji.
● Itatambulisha Utamaduni na Mila za Makabila yaliyopo Tanzania.
● Kipindi hicho kitakua kikirushwa kwenye Ndege za Kimataifa ambazo husafirisha abiria Duniani kote.
● Viongozi mbalimbali walishawahi kurekodi kipindi cha 'The Royal Tour' akiwemo Rais Paul Kagame, Waziri Mkuu wa New Zealand Hellen Clark, Rais wa Mexico Felipe Calderon na Rais Samia ni sehemu ya viongozi hao.
Hakika Tanzania Yetu sasa Inaenda Kimataifa kwa Maono haya aliyonayo Mhe. Rais sasa tutafikia lengo la kupata Watalii Milioni 5 kwa mwaka.
#TanzaniaSalamaNaSamia
Naunga mkono hojaRais wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameanza kurekodi kipindi maarufu cha 'The Royal Tour' kwa lengo la kuitangaza Tanzania kwenye Sekta ya Utalii, Biashara na Uwekezaji.
Faida ya Mhe. Rais kurekodi Kipindi cha 'The Royal Tour'
● Kipindi kitarushwa kwenye Mabara na Nchi Kubwa kama Marekani, Ulaya, Asia na Afrika hivyo Tanzania itapata Watalii wengi kutoka maeneo hayo.
● Taasisi nyingi za Masuala ya Utalii na Uwekezaji za Kimataifa zenye wafuasi wengi watapata kuijua vizuri Tanzania na dira ya kiongozi Mkuu wa Nchi kwenye masuala ya biashara na uwekezaji.
● Itatambulisha Utamaduni na Mila za Makabila yaliyopo Tanzania.
● Kipindi hicho kitakua kikirushwa kwenye Ndege za Kimataifa ambazo husafirisha abiria Duniani kote.
● Viongozi mbalimbali walishawahi kurekodi kipindi cha 'The Royal Tour' akiwemo Rais Paul Kagame, Waziri Mkuu wa New Zealand Hellen Clark, Rais wa Mexico Felipe Calderon na Rais Samia ni sehemu ya viongozi hao.
Hakika Tanzania Yetu sasa Inaenda Kimataifa kwa Maono haya aliyonayo Mhe. Rais sasa tutafikia lengo la kupata Watalii Milioni 5 kwa mwaka.
#TanzaniaSalamaNaSamia