Rais Samia anafanya kazi nzuri kuiongoza Tanzania

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Apr 9, 2021
2,080
2,688
Mpaka sasa sijaona kosa alilofanya. Mambo yote aliyofanya ni sahihi.

Ni muhimu kwamba usimkejeli rais kwa sababu ya maneno aliyosema huyu au yule.

WEWE ndio uwe mwamuzi. Usikubali mtu akuambie rais hafai. Wasikilize watu wengine lakini uamuzi lazima uwe wako.

Matatizo ya Katiba nadhani rais anaongea kuhusu GHARAMA ya kutengeneza Katiba. Lakini kwa nini watu wasiruhusiwe kuijadili Katiba hayo Mambo ya gharama yakafikiriwa baadaye? Kwa sababu rais amezungumza maneno dhidi ya mjadala wa Katiba. Kwa hiyo analeta taharuki, mpaka abadili usemi wake. Kwa sababu sasa hivi watu wakitaka kuijadili Katiba,P olisi watatafuta kisingizio kuwazuia, kwa sababu rais amekataza.

Kuhusu Mbowe kupelekwa mahakamani, haionekani kama kuna Jambo lolote la maana wanalotaka kulijadili huko mahakamani. Ingekuwa bora kama Mbowe angeachiwa huru sasa hivi. Kama mimi ndio ningekuwa namshauri rais, ningemshauri amwachie huru Mbowe.

Mwisho, ningependa kulaani kile kitendo kilichofanyika Tanga wiki iliyopita. Nimeona ile video. Watu wamemkamata mwizi wa bodaboda, wakamfunga na kamba kwenye miguu, wakamburuza kwenye barabara ya vumbi. Nalaani kile kitendo kwamba ni kibaya sana, siyo kwamba nawaombea dua mbaya waliotenda.

Pia nimpongeze Kamanda Sirro kwa kukemea ubakaji na udhalilishaji alipokwenda Unguja juzi. Kukemea ubakaji na udhalilishaji siyo tu Unguja Ila Tanzania kote.
 
Neno Rais lina heshima yake.Kuuita upupu kuwa ni Rais ni kukosa heshima.Umekosa heshima.Rais gani anashindwa hata kutoa muongozo wa maziko ya watu wanaokufa kwa Corona?Wewe unaona ni sawa?Ule ni upupu.Hamna Rais mule.
 
Screenshot_20210811-220907.png
 
Mpaka sasa sijaona kosa alilofanya. Mambo yote aliyofanya ni sahihi.

Ni muhimu kwamba usimkejeli rais kwa sababu ya maneno aliyosema huyu au yule.

WEWE ndio uwe mwamuzi. Usikubali mtu akuambie rais hafai. Wasikilize watu wengine lakini uamuzi lazima uwe wako.

Matatizo ya Katiba nadhani rais anaongea kuhusu GHARAMA ya kutengeneza Katiba. Lakini kwa nini watu wasiruhusiwe kuijadili Katiba hayo Mambo ya gharama yakafikiriwa baadaye? Kwa sababu rais amezungumza maneno dhidi ya mjadala wa Katiba. Kwa hiyo analeta taharuki, mpaka abadili usemi wake. Kwa sababu sasa hivi watu wakitaka kuijadili Katiba,P olisi watatafuta kisingizio kuwazuia, kwa sababu rais amekataza.

Kuhusu Mbowe kupelekwa mahakamani, haionekani kama kuna Jambo lolote la maana wanalotaka kilijadili huko mahakamani. Ingekuwa bora kama Mbowe angeachiwa huru sasa hivi. Kama mimi ndio ningekuwa namshauri rais, ningemshauri amwachie huru Mbowe.

Mwisho, ningependa kulaani kile kitendo kilichofanyika Tanga wiki iliyopita. Nimeona ile video. Watu wamemkamata mwizi wa bodaboda, wakamfunga na kamba kwenye miguu, wakamburuza kwenye barabara ya vumbi. Nalaani kile kitendo kwamba ni kibaya sana, siyo kwamba nawaombea dua mbaya waliotenda.

Pia nimpongeze Kamanda Sirro kwa kukemea ubakaji na udhalilishaji alipokwenda Unguja juzi. Kukemea ubakaji na udhalilishaji siyo tu Unguja Ila Tanzania kote.
Rais Samia, unahitaji pongezi za dhati kwa uliyoanza nayo, Juzi kumekuwa na mjadala wa kuhusu kurudi shuleni kwa watoto wetu wajawazito au waliojifungua. UAMUZI ULIOUFANYA NI WA BUSARA.
Nia ya kuwarejesha shuleni ni kuwasaidia kimaisha na kubwa zaidi ni kufuta ujinga, je kwanini tuwaadhibu kwa kutowaruhusu wasiendelee na shule kama wengine wanavyopanua midomo yao bila aibu kuwakataza wasiendelee na waendelee kuwa wajinga....Hivi hawa watu ni binadaamu wa kawaida kweli?
Nimeona bungeni huyo mbunge wa kupendelewa SALMA KIKWETE akitoa mapovu kuwa watoto waliopata ujauzito wasiruhusiwe kurudi shuleni? Hivi huyo SALMA KIKWETE yupo sawa? Yeye si alikuwa ameanzisha WAMA ambayo ilikuwa imekaa kidini na kikanda zaidi wakati pesa nyingi wakitoa nchi za magharibi, na leo bila aibu anapanua domo lake kupinga watoto wasipewe elimu? Hivi huyo SALMA KIKWETE ni mzazi wa namna gani? Hata huruma hana, kwa akili anaona ni vizuri pia hao watoto wakipata mimba wapewe adhabu ya kuwakomoa kimaisha? Kweli huyo SALMA na mumwe Kikwete ni wauaji wasio na huruma, namkumbuka Kikwete akiwaambia kuwa Diaspora wasipewe uraia wa nchi mbili kwa sababu watakula huko na huku....Yaani uswahili wa Lindi na Chalinze, wanachowaza ni negativity. Kikwete, urais wake ulikuwa wa ovyo kupita kiasi, na leo yeye na mkewe wanaingilia ingilia serikali kwa mawazo yao finyu.

Yaani Salma Kikwete, yeye anatumia style ya jino kwa jino ya kukata shingo kwa masuala madogo ya mimba kwa watoto ili waadhibiwe na maisha yao yaharibike kwa ajili ya imani yake ya kidini, amesema kwenye Biblia na Qurani imesema? Je ni aya ipi ya Qurani au Biblia iliyosema mtoto akipata mimba asiendelee na shule? Mbona anahukumu kwa kutumia hisia zake? Yeye ni kwamba hakubahatika kupata ujauzito wakati anasoma (maana yeye elimu yake nayo ni ya kuunga unga), au alipata...hatujui?
Mbona kuna wanawake wengi walifanya vizuri baada ya kukaa nyumbani baada ya ujauzito na wakarudi shule, wengine tunajua historia zao, ni maprofesa wazuri. Salma Kikwete uwe basi na huruma, pia ujue si kila mtu ana dini nchi hii, na pia wakristo tuna toba ikiwa kuna mtu
kaf
anya makosa, halafu vilevile ujue kuwa na mtoto ni jambo jema
.
Huko Lindi wataendelea kubaki nyuma sana kama kuna watu kama SALMA KIKWETE wasiojua wanachofanya.

Mama yetu, Samia Suluhu Hassan, tunakupa pongezi kwa nia yako ya dhati ya kunyanyua maisha ya watanzania, naona wakati wako, ujinga katika nchi yetu utafutika kwa kiasi kikubwa, mama Samia tunakusapoti. Achana kuwasikiliza watu wenye mawazo ya mgando kama Salma Kikwete, Mangula, Polepole na Bashiru. Mama Samia ikiwezekana wafute ubunge na mtu kama Polepole na Bashiru washitakiwe kwa maovu waliyoyafanya kwa
 
Mpaka sasa sijaona kosa alilofanya. Mambo yote aliyofanya ni sahihi.

Ni muhimu kwamba usimkejeli rais kwa sababu ya maneno aliyosema huyu au yule.

WEWE ndio uwe mwamuzi. Usikubali mtu akuambie rais hafai. Wasikilize watu wengine lakini uamuzi lazima uwe wako.

Matatizo ya Katiba nadhani rais anaongea kuhusu GHARAMA ya kutengeneza Katiba. Lakini kwa nini watu wasiruhusiwe kuijadili Katiba hayo Mambo ya gharama yakafikiriwa baadaye? Kwa sababu rais amezungumza maneno dhidi ya mjadala wa Katiba. Kwa hiyo analeta taharuki, mpaka abadili usemi wake. Kwa sababu sasa hivi watu wakitaka kuijadili Katiba,P olisi watatafuta kisingizio kuwazuia, kwa sababu rais amekataza.

Kuhusu Mbowe kupelekwa mahakamani, haionekani kama kuna Jambo lolote la maana wanalotaka kilijadili huko mahakamani. Ingekuwa bora kama Mbowe angeachiwa huru sasa hivi. Kama mimi ndio ningekuwa namshauri rais, ningemshauri amwachie huru Mbowe.

Mwisho, ningependa kulaani kile kitendo kilichofanyika Tanga wiki iliyopita. Nimeona ile video. Watu wamemkamata mwizi wa bodaboda, wakamfunga na kamba kwenye miguu, wakamburuza kwenye barabara ya vumbi. Nalaani kile kitendo kwamba ni kibaya sana, siyo kwamba nawaombea dua mbaya waliotenda.

Pia nimpongeze Kamanda Sirro kwa kukemea ubakaji na udhalilishaji alipokwenda Unguja juzi. Kukemea ubakaji na udhalilishaji siyo tu Unguja Ila Tanzania kote.
Mama anafanya vizuri sana ndio ukweli
 
Maingizo mapya ya Shaka(mwenezi wa CCM) yanaivuruga JF hadi moderators wanapata kizunguzungu. Nasikia yeye analipa buku 10 badala ya bk 7 walizokuwa wanalipwa wale wa Polepole aliowarithi toka kwa Nape. Tofauti na wale wa zamani waliokuwa wanapambania chama, hawa kazi yao ni kumsifia Hangaya tu 24/7 na wengi ni wakojani.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom