AUGUSTINO CHIWINGA
JF-Expert Member
- Apr 23, 2017
- 220
- 689
Kasi ya ustawi wa maendeleo na ujenzi wa Taifa imara imeendelea kuonekana katika uongozi huu madhubuti wa Serikali ya awamu ya Sita ya Mama yetu Mh. Rais Samia Suluhu.
Ujenzi wa miundombinu katika sekta za barabara,maji, nishati elimu na afya imeendelea kupamba moto kote nchini.
Kazi hiyo ni ngumu sana ukizingatia jiografia ya ukubwa wa nchi kama Tanzaniai ilivyo. Hivyo kinachohitajika ni watanzania kushikamana pamoja na kumuunga mkono na kumtia nguvu ili aendelee kukamilisha kazi nzuri aliyokwisha kuianza ya ujenzi wa Taifa imara la Tanzania.
Sisi tulio na wananchi huku katika ngazi za chini ni mashuhuda wa jinsi kero sugu za wananchi anavyozitatua kwa viwango na kwa kasi kubwa, anayo dhamira ya dhati na uchungu mkubwa wa kuzishugulikia kero za watanzania.
kazi iendelee hakika Wazalendo wote tunaithamini na kuiona kazi yake kubwa yenye tija na umakini ya kuipaisha juu nchi uetu kimaendeleo.
Ujenzi wa miundombinu katika sekta za barabara,maji, nishati elimu na afya imeendelea kupamba moto kote nchini.
Kazi hiyo ni ngumu sana ukizingatia jiografia ya ukubwa wa nchi kama Tanzaniai ilivyo. Hivyo kinachohitajika ni watanzania kushikamana pamoja na kumuunga mkono na kumtia nguvu ili aendelee kukamilisha kazi nzuri aliyokwisha kuianza ya ujenzi wa Taifa imara la Tanzania.
Sisi tulio na wananchi huku katika ngazi za chini ni mashuhuda wa jinsi kero sugu za wananchi anavyozitatua kwa viwango na kwa kasi kubwa, anayo dhamira ya dhati na uchungu mkubwa wa kuzishugulikia kero za watanzania.
kazi iendelee hakika Wazalendo wote tunaithamini na kuiona kazi yake kubwa yenye tija na umakini ya kuipaisha juu nchi uetu kimaendeleo.