Rais Samia ana moyo mweupe kwenu Watumishi wa umma. Mumpe muda ili awaondolee hii kadhia

Fatma-Zehra

Senior Member
Oct 18, 2020
192
1,062
Public servants wanalia kila kona. Na ni kweli waliumizwa kwa sababu ya roho ya yule mzee kuamini kila mtu ni mwizi. Samia is good katika hili. I can read her well. You guys will be promoted. Ataongeza tu mishahara.

Poleni sana kwa kuteseka. Ninawahurumia sana ingawa wengi wa watumishi wa umma huwa tukija kwenye ofisi zenu huwa tunatamani tuwafundishe njia rahisi ya kufanya kazi zenu.

Baadhi yenu ni incompetent. Kitu pekee ambacho ninakiita "upuuzi" wa JPM ni kuamua kuja na hiyo miaka minne since last promotion. Hiyo ni kuwaonea na ni roho mbaya.

Unfortunately, my brother Moh'd baada ya kuwa minister amtembea humohumo. May be he inherited "upuuzi" unintentionally. Moh'd please mshauri Mama awaondolee public servants hayo mambo ya four years since last promotion.

Hajapewa salary increment for years halafu promotion tena umrundikie miaka tena?. Ondoeni kabisa huu "upuuzi" na roho ya kwanini ya JPM.
 
... Mataga unateseka kweli kweli! Nayaona maumivu yako japo hakuna namna jifunze kuishi nayo for the rest of your life!
 
Mtoa mada una shida hao incompetent kwenye fani ipi kwamba we upo kila idara,napinga hoja mkuu.
 
Tatizo la watanzania sio watumishi wa umma kuongezewa mishahara
Watumishi wa umma hawazidi laki 5 , Ni sawa na 0.06% ya watanzania wote. Mama Samia anatakiwa ku-deal Sana na kundi kubwa la watanzania ambao ni wakulima na wapo zaidi ya mil 40,sawa na zaidi ya 65% ya watanzania wote
Ubaya wa Hawa wakulima ambao ni zaidi ya mil 40 ni kuwa hawana smartphone za kuingilia mitandaoni ili kuja kulalamika Kama nyie kundi dogo
 
Public servants wanalia kila kona. Na ni kweli waliumizwa kwa sababu ya roho ya yule mzee kuamini kila mtu ni mwizi. Samia is good katika hili. I can read her well. You guys will be promoted. Ataongeza tu mishahara.

Poleni sana kwa kuteseka. Ninawahurumia sana ingawa wengi wa watumishi wa umma huwa tukija kwenye ofisi zenu huwa tunatamani tuwafundishe njia rahisi ya kufanya kazi zenu.

Baadhi yenu ni incompetent. Kitu pekee ambacho ninakiita "upuuzi" wa JPM ni kuamua kuja na hiyo miaka minne since last promotion. Hiyo ni kuwaonea na ni roho mbaya.

Unfortunately, my brother Moh'd baada ya kuwa minister amtembea humohumo. May be he inherited "upuuzi" unintentionally. Moh'd please mshauri Mama awaondolee public servants hayo mambo ya four years since last promotion.

Hajapewa salary increment for years halafu promotion tena umrundikie miaka tena?. Ondoeni kabisa huu "upuuzi" na roho ya kwanini ya JPM.
Wao as top leaders earn a lot of money, hawagusi mishahara yao, lakini hawafikirii kama kuna wanaoumia for four years without increament, utu umewatoka kabisa!!!
 
Mama na kidogo namuelewa ila kwa WATUMISHI kachemka Sana na wenda kwa hili la WATUMISHI nitagombana na mama ,NCHI HII HAINA USAWA,na aelewe hivyo
Public servants wanalia kila kona. Na ni kweli waliumizwa kwa sababu ya roho ya yule mzee kuamini kila mtu ni mwizi. Samia is good katika hili. I can read her well. You guys will be promoted. Ataongeza tu mishahara.

Poleni sana kwa kuteseka. Ninawahurumia sana ingawa wengi wa watumishi wa umma huwa tukija kwenye ofisi zenu huwa tunatamani tuwafundishe njia rahisi ya kufanya kazi zenu.

Baadhi yenu ni incompetent. Kitu pekee ambacho ninakiita "upuuzi" wa JPM ni kuamua kuja na hiyo miaka minne since last promotion. Hiyo ni kuwaonea na ni roho mbaya.

Unfortunately, my brother Moh'd baada ya kuwa minister amtembea humohumo. May be he inherited "upuuzi" unintentionally. Moh'd please mshauri Mama awaondolee public servants hayo mambo ya four years since last promotion.

Hajapewa salary increment for years halafu promotion tena umrundikie miaka tena?. Ondoeni kabisa huu "upuuzi" na roho ya kwanini ya JPM.
 
Huyu mama ni MTU mwema na muungwana sana, kwa wanaoelewa wanajua amepokea nchi ikiwa katika changamoto
 
Asante kwa taarifa, tunaomba umtaarifu kuwa mwezi huu kuna baadhi ya watumishi wamekuta mishahara yao imepunguzwa % flani ndogo lakini...wapo waliokatwa elfu 10, elfu 7, elfu 8 nk...tuulizie kwa mama kama ni mchango wa mwenge?
 
Public servants wanalia kila kona. Na ni kweli waliumizwa kwa sababu ya roho ya yule mzee kuamini kila mtu ni mwizi. Samia is good katika hili. I can read her well. You guys will be promoted. Ataongeza tu mishahara.

Poleni sana kwa kuteseka. Ninawahurumia sana ingawa wengi wa watumishi wa umma huwa tukija kwenye ofisi zenu huwa tunatamani tuwafundishe njia rahisi ya kufanya kazi zenu.

Baadhi yenu ni incompetent. Kitu pekee ambacho ninakiita "upuuzi" wa JPM ni kuamua kuja na hiyo miaka minne since last promotion. Hiyo ni kuwaonea na ni roho mbaya.

Unfortunately, my brother Moh'd baada ya kuwa minister amtembea humohumo. May be he inherited "upuuzi" unintentionally. Moh'd please mshauri Mama awaondolee public servants hayo mambo ya four years since last promotion.

Hajapewa salary increment for years halafu promotion tena umrundikie miaka tena?. Ondoeni kabisa huu "upuuzi" na roho ya kwanini ya JPM.
Hadi lini sasa?

Mama keshawakatisha taama watumishi wa Umma. Hawana mzuka wa kazi tena. Yaani sasa hivi ni mwendo wa kudemka tu.
Enzi za mwenda zake watumishi walikuwa na mzuka wa kazi balaa. Ukiingia ofcin unakuta watu wako tayari kuhudumia. Nenda sasa hivi utazungushwa hadi ukome.
 
Ondoa shaka,hata msimu wa korosho,ufuta,mbaazi bei itakuwa nzuri wingu jeusi limeondoka,tumeipata furaha yetu
 
Ngoja Mimi nimtume Gerson Msigwa Nina uhakika anaperuzi humu kuwa; mke wangu yaani shemeji yake alipanda daraja mwaka 2018 na alirekebishiwa mshahara wa daraja Hilo 2020 Hadi leo hii hajalipwa malimbikizo ya mafeni ya mshahara yaani arrears zake japo kila Mara Kuna maagizo ya kuwa walipwe!
Ni Nani huyo hapo utumishi au hazina anayezuia kulipa salary arrears wakati wameagizwa kulipa?
Au huyo paymaster anapimana ubavu na mh. Rais aliyeagiza malipo hayo kufanyika Mara moja?
Niwakumbushe tu kuwa fedha hushuka thamani, je, watakuwa tayari kulipa na riba endapo watashitakiwa? Shemeji Msigwa hebu sukuma Hilo swala kwa madame President ikibidi amchomoe huyo paymaster hapo hazina!
 
Hadi lini sasa?

Mama keshawakatisha taama watumishi wa Umma. Hawana mzuka wa kazi tena. Yaani sasa hivi ni mwendo wa kudemka tu.
Enzi za mwenda zake watumishi walikuwa na mzuka wa kazi balaa. Ukiingia ofcin unakuta watu wako tayari kuhudumia. Nenda sasa hivi utazungushwa hadi ukome.
Mwongo
 
Public servants wanalia kila kona. Na ni kweli waliumizwa kwa sababu ya roho ya yule mzee kuamini kila mtu ni mwizi. Samia is good katika hili. I can read her well. You guys will be promoted. Ataongeza tu mishahara.

Poleni sana kwa kuteseka. Ninawahurumia sana ingawa wengi wa watumishi wa umma huwa tukija kwenye ofisi zenu huwa tunatamani tuwafundishe njia rahisi ya kufanya kazi zenu.

Baadhi yenu ni incompetent. Kitu pekee ambacho ninakiita "upuuzi" wa JPM ni kuamua kuja na hiyo miaka minne since last promotion. Hiyo ni kuwaonea na ni roho mbaya.

Unfortunately, my brother Moh'd baada ya kuwa minister amtembea humohumo. May be he inherited "upuuzi" unintentionally. Moh'd please mshauri Mama awaondolee public servants hayo mambo ya four years since last promotion.

Hajapewa salary increment for years halafu promotion tena umrundikie miaka tena?. Ondoeni kabisa huu "upuuzi" na roho ya kwanini ya JPM.
Umetumwa umsemee? Binafsi nimepoteza imani nae.
 
Tatizo la watanzania sio watumishi wa umma kuongezewa mishahara
Watumishi wa umma hawazidi laki 5 , Ni sawa na 0.06% ya watanzania wote. Mama Samia anatakiwa ku-deal Sana na kundi kubwa la watanzania ambao ni wakulima na wapo zaidi ya mil 40,sawa na zaidi ya 65% ya watanzania wote
Ubaya wa Hawa wakulima ambao ni zaidi ya mil 40 ni kuwa hawana smartphone za kuingilia mitandaoni ili kuja kulalamika Kama nyie kundi dogo
Mawazo ya Jiwe haya,na ni ya
kishamba sana.
Kila mtu katika nafasi yake,
apate haki yake.
Mkulima apate haki yake,
Mvuvi apate haki yake,
Mfanyakazi apate haki yake,
Mfanyabiashara vilevile,
Etcetera etcetera.....
 
Mtoa mada una shida hao incompetent kwenye fani ipi kwamba we upo kila idara,napinga hoja mkuu.
Mkuu conduct an informal survey halafu uone. Yaani public servants wengi cannot construct a four or five paragraph English letter. Hawa ndiyo wanakutana na investors imagine!Yaani kuna siku ilinibidi nikae kwenye computer yake ku-draft letter. At the end of the game, yeye aliweka sahihi na header tu!Trust me. Wa namna hii ni wengi. Alinishukuru na akaniambia anai-save kabisa hiyo barua ili awe ana-edit tu!!!
 
Back
Top Bottom