Chifu Sanze
JF-Expert Member
- Jul 20, 2021
- 3,105
- 6,301
Siwezi kuwa na ugomvi na mtu mwenye faili milembe.Wewe wa sema-tueleze ugomvi wenu nini hasa ili tukuelewe
Siwezi kuwa na ugomvi na mtu mwenye faili milembe.Wewe wa sema-tueleze ugomvi wenu nini hasa ili tukuelewe
Mwenye jurisdiction ya kutoa maoni yake ambayo hayana nguvu ya kisheria ni raia yoyote wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kiwemo mimi mwenyewe na sio Mahakama kwa kuwa mahakama haitoi maoni bali inatoa uamuzi wenye nguvu ya kisheria. Raia wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania ana jurisdiction ya kutoa maoni yake chini ya masharti ya Ibara ya 18 (a) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ikiwemo kutoa maoni kuhusu sheria batili zinazokinzana na Katiba. Ni vizuri sana kutofautisha maoni ya raia na uamuzi wa mahahakama, mimi sijatoa uamuzi kuwa Kifungu cha 9 cha sheria tajwa ni batili bali nimetoa maoni kuwa Kifungu cha 9 cha sheria tajwa ni batili.Mwen
Mwenye jurisdiction ya kutangaza sheria fulani batili ni MAHAKAMA,siyo wewe
Wewe ni jaji mkuu au,acha kujipa kazi sio yakoRAIS SAMIA ANA MAMLAKA YA KUMTEUA MTENDAJI MKUU WA TANROADS.
Ndugu Mpinzire katika uzi wake hapa jamiiforums amejenga hoja nzito kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hana mamlaka ya kumteua Mtendaji Mkuu wa Tanroads na uzi huu una kichwa cha habari kifuatacho: "Executive Agencies Act No 30 inaelekeza Mtendaji Mkuu wa Tanroads kuteuliwa na Waziri wa Ujenzi na sio Rais.". Kwa heshima na taadhima, ninaomba kutofautiana na Ndugu Mpinzire.
Ni kweli kabisa kuwa mamlaka ya kumteua Mtendaji Mkuu wa Tanaroads (CEO) yapo mikononi mwa Waziri wa Ujenzi kwa mujibu wa Kifungu cha 9 cha Sheria ya Wakala wa Serikali, Sura ya 245 (Sheria No. 30 ya 1997) kama kilivyofanyiwa mabadiliko na Kifungu cha 7 cha Sheria ya Mabadiliko ya Wakala wa Serikali, 2009 yaani the Executive Agencies (Amendment) Act, 2009 (Sheria Na. 13 ya 2009) kama alivyojenga hoja Ndugu Mpinzire. Hatahivyo, ni muhimu kujua kuwa sheria za nchi ambazo zimetungwa na Bunge lazima zisomeke kwa pamoja (read in tandem) na Katiba ya nchi.
Masharti ya Kifungu cha 9 cha Sheria ya Wakala wa Serikali, Sura ya 245 ( the Executive Agencies Act, Cap. 245) yanakinzana na masharti ya Ibara ya 36 (2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977. Wakati Kifungu cha 9 cha Sheria ya Wakala wa serikali, Sura ya 254 kinaelekeza kuwa Mtendaji Mkuu wa Tanroads atateuliwa na Waziri ambaye taasisi au idara husika hiko chini ya Wizra yake huku Ibara ya 36 (2) ya Katiba inaelekeza kuwa mamlaka ya kuteua Watendaji Wakuu wa Idara na taasisi za Serikali katika utumishi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yako mikononi mwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Masharti ya Ibara ya 36 (2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977 yamenukuliwa neno kwa neno hapa chini kama ifuatavyo;
"36 (2) Rais atakuwa na madaraka ya kuteua watu wa kushika nafasi za madaraka ya viongozi wanaowajibika kuweka sera za idara na taasisi za Serikali, na watendaji wakuu wanaowajibika kusimamia utekelezaji wa sera za idara na taasisi hizo katika utumishi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano, nafasi ambazo zimetajwa katika Katiba hii au katika sheria mbalimbali zilizotungwa na Bunge kwamba zitajazwa kwa uteuzi unaofanywa na Rais." [Msisitizo ni wangu]
Ni Kunga (principle) ya Sheria bayana (it is a settled principle of law) kwamba iwapo sheria iliyotungwa na Bunge yaani Sheria Kuu (principal legislation) inakinzana na Katiba basi sheria iliyotungwa na bunge itakuwa batili tangia mwanzo (null et void ab initio) kwa kiwango ambacho inakinzana na katiba ya nchi, hii ni kwa mujibu wa masharti ya Ibara ya 64 (5) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977 kama yalivyotafsiriwa na Mahakama ya Rufaa katika kesi ya Kukutia Ole Pumbun & Another Vs Attorney General & Another [1993] TLR 159 , baina ya nyingine (among others).
Hivyo basi, masharti ya Kifungu cha 9 cha Sheria ya Wakala wa Serikali, Sura ya 254 ni batili tangia mwanzo ( null et void ab initio) kwa kuwa yanakinzana na masharti ya Ibara ya 36 (2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977. Kwa kuwa masharti ya Kifungu cha 9 cha Sheria ya Wakala wa Serikali, Sura ya 254 ni batili tangia mwanzo basi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ana mamlaka ya kuwateua Watendaji Wakuu wa Idara na Taasisi za Serikali katika utumishi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwemo Mtendaji Mkuu wa Tanroads chini ya masharti ya Ibara ya 36 (2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977.
Hivyobasi, maoni ya Ndugu Mpinzire sio sahihi kwa kuwa yameshindwa kuzingatia masharti ya Ibara ya 36 (2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977. The provisions of laws enacted by Parliament (principal legislation) should not be read in partial or total isolation of the provisions of the Constitution of United Republic of Tanzania in lieu thereof the laws enacted by Parliament should be read in tandem with the Constitution.
Imeandikwa na Matojo M. Cosatta.
Chadema turekebishe kwanza katiba yetu,ili kuondoa ukiritimba wa mwenyekiti kukaa zaidi ya miaka 25Unaonaje tutumie katiba ya nchi tu tuachane na sheria zilizotungwa na bunge?
Wewe ni jaji mkuu au,acha kujipa kaz
Tujenge utamaduni wa kuheshimu haki ya kila mtu kutoa maoni yake na hususani maoni ya kitaalamu (expert opinion). Uzi huu ni maoni yangu binafsi kadri ninavyozifahamu sheria za nchi pamoja na katiba na uzi huu sio uamuzi wa mahakama.Wewe ni jaji mkuu au,acha kujipa kazi sio yako
Mkuu, unaupiga mwingi sana.Mwenye jurisdiction ya kutoa maoni yake ambayo hayana nguvu ya kisheria ni raia yoyote wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kiwemo mimi mwenyewe na sio Mahakama kwa kuwa mahakama haitoi maoni bali inatoa uamuzi wenye nguvu ya kisheria. Raia wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania ana jurisdiction ya kutoa maoni yake chini ya masharti ya Ibara ya 18 (a) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ikiwemo kutoa maoni kuhusu sheria batili zinazokinzana na Katiba. Ni vizuri sana kutofautisha maoni ya raia na uamuzi wa mahahakama, mimi sijatoa uamuzi kuwa Kifungu cha 9 cha sheria tajwa ni batili bali nimetoa maoni kuwa Kifungu cha 9 cha sheria tajwa ni batili.
Pia ni muhimu kujua kuwa kila Wakili katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ana haki na wajibu wa kisheria (statutory right and duty) ambao ni bayana (express) ya kukosoa sheria chini ya Kanuni ya 130 ya Kanuni za Maadili ya Mawakili, 2018 yaani Regulation 130 of the Advocates (Professional Conduct and Etiquettes) Regulations, 2018 (G.N. No. 118 of 2018). Kanuni ya 130 ya Kanuni za Maadili ya Mawakili, 2018 tajwa hapo awali inaelekeza kama ilivyonukuliwa hapa chini;
"130. Every advocate has a duty to contribute to the development of the legal system by providing proposals for improvement and bona fide criticism to laws or enactments."
Kwahiyo, kila Wakili ana haki na wajibu wa kisheria kukosoa sheria. Mimi ni wakili hivyo nina haki na wajibu wa kisheria kukosoa sheria chini ya Kanuni ya 130 ya Kanuni za Maadili ya Mawakili, 2018 hususani sheria ambazo zinakinzana na Katiba. moma2k
Tuko pamoja kiongozi.Mkuu, unaupiga mwingi sana.
Ndio sheria hii imefanyiwa mabadiliko kadhaa baada ya mwaka 2009 lakini Kifungu cha 9 cha sheria hii bado kipo kama kilivyorekebishwa mwaka 2009 na hakijafanyiwa marekebesho yoyote yale.Asante mkuu- hawezekana pia hiyo sheria imeshafanyiwa mabadiriko pia?
Hii KATIBA ya mwaka 1977 hii? Hata CCM tumeichoka
Nimefurahi umenukuu sehemu husika ya Katiba. Huielewi. Maana yake ni kuwa Rais atateua wale tu waliotajwa hivyo na Katiba au Sheria. Kama Katiba au Sheria haikuwataja kuwa wateuliwe na Rais, ni makosa Rais kuwateua. Iko kwenye Mabadiliko ya 13 ya Katiba ya mwaka 2000, na yaliwekwa baada ya mjadala mkali kuwa Rais alikuwa na madaraka mengi kupitiliza ya kuteua.RAIS SAMIA ANA MAMLAKA YA KUMTEUA MTENDAJI MKUU WA TANROADS.
Ndugu Mpinzire katika uzi wake hapa jamiiforums amejenga hoja nzito kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hana mamlaka ya kumteua Mtendaji Mkuu wa Tanroads na uzi huu una kichwa cha habari kifuatacho: "Executive Agencies Act No 30 inaelekeza Mtendaji Mkuu wa Tanroads kuteuliwa na Waziri wa Ujenzi na sio Rais.". Kwa heshima na taadhima, ninaomba kutofautiana na Ndugu Mpinzire.
Ni kweli kabisa kuwa mamlaka ya kumteua Mtendaji Mkuu wa Tanaroads (CEO) yapo mikononi mwa Waziri wa Ujenzi kwa mujibu wa Kifungu cha 9 cha Sheria ya Wakala wa Serikali, Sura ya 245 (Sheria No. 30 ya 1997) kama kilivyofanyiwa mabadiliko na Kifungu cha 7 cha Sheria ya Mabadiliko ya Wakala wa Serikali, 2009 yaani the Executive Agencies (Amendment) Act, 2009 (Sheria Na. 13 ya 2009) kama alivyojenga hoja Ndugu Mpinzire. Hatahivyo, ni muhimu kujua kuwa sheria za nchi ambazo zimetungwa na Bunge lazima zisomeke kwa pamoja (read in tandem) na Katiba ya nchi.
Masharti ya Kifungu cha 9 cha Sheria ya Wakala wa Serikali, Sura ya 245 ( the Executive Agencies Act, Cap. 245) yanakinzana na masharti ya Ibara ya 36 (2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977. Wakati Kifungu cha 9 cha Sheria ya Wakala wa serikali, Sura ya 254 kinaelekeza kuwa Mtendaji Mkuu wa Tanroads atateuliwa na Waziri ambaye taasisi au idara husika hiko chini ya Wizra yake huku Ibara ya 36 (2) ya Katiba inaelekeza kuwa mamlaka ya kuteua Watendaji Wakuu wa Idara na taasisi za Serikali katika utumishi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yako mikononi mwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Masharti ya Ibara ya 36 (2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977 yamenukuliwa neno kwa neno hapa chini kama ifuatavyo;
"36 (2) Rais atakuwa na madaraka ya kuteua watu wa kushika nafasi za madaraka ya viongozi wanaowajibika kuweka sera za idara na taasisi za Serikali, na watendaji wakuu wanaowajibika kusimamia utekelezaji wa sera za idara na taasisi hizo katika utumishi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano, nafasi ambazo zimetajwa katika Katiba hii au katika sheria mbalimbali zilizotungwa na Bunge kwamba zitajazwa kwa uteuzi unaofanywa na Rais." [Msisitizo ni wangu]
Ni Kunga (principle) ya Sheria bayana (it is a settled principle of law) kwamba iwapo sheria iliyotungwa na Bunge yaani Sheria Kuu (principal legislation) inakinzana na Katiba basi sheria iliyotungwa na bunge itakuwa batili tangia mwanzo (null et void ab initio) kwa kiwango ambacho inakinzana na katiba ya nchi, hii ni kwa mujibu wa masharti ya Ibara ya 64 (5) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977 kama yalivyotafsiriwa na Mahakama ya Rufaa katika kesi ya Kukutia Ole Pumbun & Another Vs Attorney General & Another [1993] TLR 159 , baina ya nyingine (among others).
Hivyo basi, masharti ya Kifungu cha 9 cha Sheria ya Wakala wa Serikali, Sura ya 254 ni batili tangia mwanzo ( null et void ab initio) kwa kuwa yanakinzana na masharti ya Ibara ya 36 (2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977. Kwa kuwa masharti ya Kifungu cha 9 cha Sheria ya Wakala wa Serikali, Sura ya 254 ni batili tangia mwanzo basi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ana mamlaka ya kuwateua Watendaji Wakuu wa Idara na Taasisi za Serikali katika utumishi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwemo Mtendaji Mkuu wa Tanroads chini ya masharti ya Ibara ya 36 (2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977.
Hivyobasi, maoni ya Ndugu Mpinzire sio sahihi kwa kuwa yameshindwa kuzingatia masharti ya Ibara ya 36 (2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977. The provisions of laws enacted by Parliament (principal legislation) should not be read in partial or total isolation of the provisions of the Constitution of United Republic of Tanzania in lieu thereof the laws enacted by Parliament should be read in tandem with the Constitution.
Imeandikwa na Matojo M. Cosatta.
Wewe ndo unatafsiri vibaya Katiba na sheria za nchi, nitakuja kesho kufafanua.Nimefurahi umenukuu sehemu husika ya Katiba. Huielewi. Maana yake ni kuwa Rais atateua wale tu waliotajwa hivyo na Katiba au Sheria. Kama Katiba au Sheria haikuwataja kuwa wateuliwe na Rais, ni makosa Rais kuwateua. Iko kwenye Mabadiliko ya 13 ya Katiba ya mwaka 2000, na yaliwekwa baada ya mjadala mkali kuwa Rais alikuwa na madaraka mengi kupitiliza ya kuteua.
Kamanda, mtumie message basi umuulize yule jamaa anayeshikishwa ukuta na rob amster kule ubeleji kwa kuwa ni mwanasheria labda anaweza kuwa anajua.Itakuwa ilifanyiwa mabadiliko maana yule Mungu mtu asingekubali waziri ateuwe mkurugenzi badala ya yeye,moyo huo hakuwa nao kabisa.
Nimefurahi umenukuu sehemu husika ya Katiba. Huielewi. Maana yake ni kuwa Rais atateua wale tu waliotajwa hivyo na Katiba au Sheria. Kama Katiba au Sheria haikuwataja kuwa wateuliwe na Rais, ni makosa Rais kuwateua. Iko kwenye Mabadiliko ya 13 ya Katiba ya mwaka 2000, na yaliwekwa baada ya mjadala mkali kuwa Rais alikuwa na madaraka mengi kupitiliza ya kuteua.
nasikia tulicopy toka kwa mabeberu - kulikuwa hakuna ushirikiswaji wa wananchi what so ever. Leo ni ni miaka 44 hii sasa yatosha tupate katiba mpya itakayo tokana na wananchi wenyewe.Hii KATIBA ya mwaka 1977 hii? Hata CCM tumeichoka
Naunga mkono hoja.Nafikiri itakuwa ni busara kila uteuzi ukifanyika hati ya uteuzi iwe ina cite sheria mahususi kuondoa sintofahamu kama hii
Dahaaa!!!!Itakuwa ilifanyiwa mabadiliko maana yule Mungu mtu asingekubali waziri ateuwe mkurugenzi badala ya yeye,moyo huo hakuwa nao kabisa.