darcity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2009
- 8,719
- 16,929
Ki ukweli Mwanasheria Tundu Lisu na baadhi ya Wana CDM wanaichafua sana nchi nje. Wanalazimisha hoja zao ambazao zinaenda kinyume na sheria za nchi. Wakikamatwa na kushtakiwa wamekuwa wakikimbilia kwa Wazungu kuichafua nchi.Tundu Lissu kamlisha matango pori mzungu