Rais Samia amwagiwa sifa kwenye Bunge la Ulaya

Tundu Lissu kamlisha matango pori mzungu
Ki ukweli Mwanasheria Tundu Lisu na baadhi ya Wana CDM wanaichafua sana nchi nje. Wanalazimisha hoja zao ambazao zinaenda kinyume na sheria za nchi. Wakikamatwa na kushtakiwa wamekuwa wakikimbilia kwa Wazungu kuichafua nchi.
 
Wakoloni bana. Yaani etu mambo ya Tanzania yanawahusu watu wa Ulaya, kama siyo hangover ya ukoloni kwamba aliyewahi kuwa mtumwa wako atabaki mtumwa wako milele, ni kitu gani hiki?

Sema tu kuna mitanzania kibao ambayo raha yao ni kuolewaolewa na mkoloni tu basi.
Acheni kuchukua fedha zao sasa, it's simple. Wanasema fedha zao hawataki zitumike kukandamiza watu na kuuwa demokrasia..
 
the worst mistake chadema is making is to think EU ni wakombozi wao, Mungu ndio mkombozi wa hili taifa, sio wazungu wala wachina. mw
Moja kati ya mijadala iliyojadiliwa kwenye Bunge la Ulaya ni hali ya Tanzania hususan katika eneo la Demokrasia. Mbunge wa Bunge hilo David McAllister alionekana kupotosha Bunge hilo kwa makusudi baada ya kueleza mambo ambayo alionekana hana ufahamu nayo.

David McAllister, alipotosha kwamba viongozi wengi wa upinzani wamekamwta na kuwekwa katika magereza tofauti tofauti, wakati inafahamika kwamba tangu Rais Samia Samia Suluhu aingie madarakani kesi nyingi zilizokuwa zikipigiwa kelele na vyama vya upinzani zilifutwa ( Septemba 22,2021 Tundu Lissu alifutiwa kesi ya uchochezi, June 28,2021 Mdude Nyangali aliachiwa huru kisha akatoka na kwenda kumtukana Rais hadharani lakini yuko huru hadi leo, bila kusahau kuachiwa huru kwa Mashekhe wa Uamsho ambalo lilikuwa ombi la Wapinzani kwa miaka mingi).

David MacAllister ambaye amekiri kufahamiana na watu kadhaa ndani ya Tanzania, huku kukiwa na ushahidi kwamba Rafiki yake ni Tundu Lissu anayefahamika kwa kutunga uwongo mwingi dhidi ya Tanzania, alijiegemeza katika kesi ya Freeman Mbowe. Alitumia maneno mengi, lakini hiyo pekee ndiyo ilikuw ahoja yake, huku akilazimisha kwamba Rais wa Tanzania akiuke misingi ya Kidemokrasia na kuingilia uhuru wa Mahakama.

Hoja za kubumba za David McAllister ziligonga mwamba baada ya ukweli kuelezwa ndani ya Bunge hilo , baada ya ukweli wa mabo kusemwa.

Mbunge Rita Laranjinha alieleza kwamba, Rasis Samia Suluhu Hassan ameleta tumaini jipya ndani ya Tanzania katika kipindi kifupi alichoingia madarakani.

Tanzania imepongezwa kwa namna ilivyofaulu kubadilisha uongozi kwa amani na kufuata Katiba kufuatia kifoi cha Hayati Magufuli aliyekuwa Rais.

Lakini pia Bunge la Ulaya limeelezwa kuhusu hatua zinazochukuliwa na Rais Samia Suluhu katika kuimarisha Demokrasia, bila kusahau maamuzi yake ya kukabiliana na janga la Corona kwa njia za kisayansi zinazokubalika duniani kote.

Kung’ara huko kwa Tanzania katika Bunge la Ulaya ni muendelezo wa mema yanayoendelea kuchipua ndani ya Tanzania baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuifungua nchi kupitia diplomasia, na kulinda misingi ya demokrasia ambapo hivi sasa vyama vya siasa vinaendelea kufanya shughuli zao za ndani kwa uhuru mkubwa.
shida moja kwa chadema wanaamini EU ni mkombozi wa taifa hili atakayewakomboa kwenye siasa. Mungu ndiye atakayeliponya taifa hili, sio mzungu wala mchina. mwenye jicho la kiroho ameshanielewa. piga goti tu, wala usipige domo.
 
02 December 2021


Human rights outside the EU​

Respect for human rights is a fundamental part of all EU relations with non-EU countries and international institutions.

For example, all treaties and agreements signed by the EU need to be compliant with human rights as defined by the EU charter. This means that all Council bodies dealing with foreign affairs need to incorporate human rights into their work.

In addition to this, the promotion of human rights is also a priority in itself. The guiding reference for the EU's work in this area is the action plan on human rights and democracy, adopted in November 2020 for the period 2020-2024.
At the Council, a specialised body, the Working Party on Human Rights (COHOM), focuses on international affairs directly related to human rights.
Some of the main aspects of Council work on fundamental rights include:
  • setting EU priorities at UN human rights fora
  • the adoption of thematic guidelines to support EU external action
  • the opening of dialogues with non-EU countries on human rights
  • the adoption of an annual report on human rights and democracy

Setting EU priorities at UN fora​

The Council also agrees on the EU priorities at the UN General Assembly.
In July 2020, the Council adopted the EU priorities for the 75th session of the UN General Assembly, including several points on human rights.
The Council is in charge of defining the strategic priorities for the European Union at UN human rights fora. To this end, it adopts conclusions once a year setting the main lines of action for the EU in the coming months.
In 2021, the EU continues to:

Adoption of thematic guidelines​

The Council also draws up and adopts thematic guidelines. These guidelines support EU external action and provide EU officials with practical information on how to help promote specific rights.

Opening of human rights dialogues​

The European Union, through its External Action Service, holds regular dialogues with non-EU countries on human rights. Each dialogue is established in accordance with the EU guidelines on human rights dialogues, adopted by the Council in 2001 and last updated in 2008.
According to these guidelines, any decision to initiate a dialogue first requires an assessment of the human rights situation in the country concerned. This assessment is done by the the Working Party on Human Rights, in coordination with other relevant working parties.
After the definition of the goals to be achieved and a series of exploratory talks with the country, a final decision on the opening of the dialogue is taken by the Council, through the adoption of conclusions.

Reporting: human rights and democracy​

All the EU's work and achievements in the advancement of human rights through its external action are detailed in the report on human rights and democracy, which is adopted by the Council once a year.

On 15 June 2020, the Council adopted the EU's annual report on human rights and democracy in the world in 2019.

Global human rights sanctions regime​

In December 2020, the Council adopted a decision and a regulation establishing a global human rights sanctions regime. For the first time, the EU will be able to target individuals, entities and bodies responsible for, involved in or associated with serious human rights violations and abuses worldwide, no matter where they occurred.
The framework for targeted restrictive measures applies to acts such as genocide, crimes against humanity and other serious human rights violations or abuses


Related documents​


See also​

Topics:
Source : Protection and promotion of human rights
 
Moja kati ya mijadala iliyojadiliwa kwenye Bunge la Ulaya ni hali ya Tanzania hususan katika eneo la Demokrasia. Mbunge wa Bunge hilo David McAllister alionekana kupotosha Bunge hilo kwa makusudi baada ya kueleza mambo ambayo alionekana hana ufahamu nayo.

David McAllister, alipotosha kwamba viongozi wengi wa upinzani wamekamwta na kuwekwa katika magereza tofauti tofauti, wakati inafahamika kwamba tangu Rais Samia Samia Suluhu aingie madarakani kesi nyingi zilizokuwa zikipigiwa kelele na vyama vya upinzani zilifutwa ( Septemba 22,2021 Tundu Lissu alifutiwa kesi ya uchochezi, June 28,2021 Mdude Nyangali aliachiwa huru kisha akatoka na kwenda kumtukana Rais hadharani lakini yuko huru hadi leo, bila kusahau kuachiwa huru kwa Mashekhe wa Uamsho ambalo lilikuwa ombi la Wapinzani kwa miaka mingi).

David MacAllister ambaye amekiri kufahamiana na watu kadhaa ndani ya Tanzania, huku kukiwa na ushahidi kwamba Rafiki yake ni Tundu Lissu anayefahamika kwa kutunga uwongo mwingi dhidi ya Tanzania, alijiegemeza katika kesi ya Freeman Mbowe. Alitumia maneno mengi, lakini hiyo pekee ndiyo ilikuw ahoja yake, huku akilazimisha kwamba Rais wa Tanzania akiuke misingi ya Kidemokrasia na kuingilia uhuru wa Mahakama.

Hoja za kubumba za David McAllister ziligonga mwamba baada ya ukweli kuelezwa ndani ya Bunge hilo , baada ya ukweli wa mabo kusemwa.

Mbunge Rita Laranjinha alieleza kwamba, Rasis Samia Suluhu Hassan ameleta tumaini jipya ndani ya Tanzania katika kipindi kifupi alichoingia madarakani.

Tanzania imepongezwa kwa namna ilivyofaulu kubadilisha uongozi kwa amani na kufuata Katiba kufuatia kifoi cha Hayati Magufuli aliyekuwa Rais.

Lakini pia Bunge la Ulaya limeelezwa kuhusu hatua zinazochukuliwa na Rais Samia Suluhu katika kuimarisha Demokrasia, bila kusahau maamuzi yake ya kukabiliana na janga la Corona kwa njia za kisayansi zinazokubalika duniani kote.

Kung’ara huko kwa Tanzania katika Bunge la Ulaya ni muendelezo wa mema yanayoendelea kuchipua ndani ya Tanzania baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuifungua nchi kupitia diplomasia, na kulinda misingi ya demokrasia ambapo hivi sasa vyama vya siasa vinaendelea kufanya shughuli zao za ndani kwa uhuru mkubwa.
Hujui Kiingereza
 
Moja kati ya mijadala iliyojadiliwa kwenye Bunge la Ulaya ni hali ya Tanzania hususan katika eneo la Demokrasia. Mbunge wa Bunge hilo David McAllister alionekana kupotosha Bunge hilo kwa makusudi baada ya kueleza mambo ambayo alionekana hana ufahamu nayo.

David McAllister, alipotosha kwamba viongozi wengi wa upinzani wamekamwta na kuwekwa katika magereza tofauti tofauti, wakati inafahamika kwamba tangu Rais Samia Samia Suluhu aingie madarakani kesi nyingi zilizokuwa zikipigiwa kelele na vyama vya upinzani zilifutwa ( Septemba 22,2021 Tundu Lissu alifutiwa kesi ya uchochezi, June 28,2021 Mdude Nyangali aliachiwa huru kisha akatoka na kwenda kumtukana Rais hadharani lakini yuko huru hadi leo, bila kusahau kuachiwa huru kwa Mashekhe wa Uamsho ambalo lilikuwa ombi la Wapinzani kwa miaka mingi).

David MacAllister ambaye amekiri kufahamiana na watu kadhaa ndani ya Tanzania, huku kukiwa na ushahidi kwamba Rafiki yake ni Tundu Lissu anayefahamika kwa kutunga uwongo mwingi dhidi ya Tanzania, alijiegemeza katika kesi ya Freeman Mbowe. Alitumia maneno mengi, lakini hiyo pekee ndiyo ilikuw ahoja yake, huku akilazimisha kwamba Rais wa Tanzania akiuke misingi ya Kidemokrasia na kuingilia uhuru wa Mahakama.

Hoja za kubumba za David McAllister ziligonga mwamba baada ya ukweli kuelezwa ndani ya Bunge hilo , baada ya ukweli wa mabo kusemwa.

Mbunge Rita Laranjinha alieleza kwamba, Rasis Samia Suluhu Hassan ameleta tumaini jipya ndani ya Tanzania katika kipindi kifupi alichoingia madarakani.

Tanzania imepongezwa kwa namna ilivyofaulu kubadilisha uongozi kwa amani na kufuata Katiba kufuatia kifoi cha Hayati Magufuli aliyekuwa Rais.

Lakini pia Bunge la Ulaya limeelezwa kuhusu hatua zinazochukuliwa na Rais Samia Suluhu katika kuimarisha Demokrasia, bila kusahau maamuzi yake ya kukabiliana na janga la Corona kwa njia za kisayansi zinazokubalika duniani kote.

Kung’ara huko kwa Tanzania katika Bunge la Ulaya ni muendelezo wa mema yanayoendelea kuchipua ndani ya Tanzania baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuifungua nchi kupitia diplomasia, na kulinda misingi ya demokrasia ambapo hivi sasa vyama vya siasa vinaendelea kufanya shughuli zao za ndani kwa uhuru mkubwa.
Siku hizi kuna mazuzu wengi jf.
Unamdanganya nani wakati watu wanapata taarifa za kweli kuhusu Bunge la Ulaya na tathmini yake kuhusu Tanzania?
 
Moja kati ya mijadala iliyojadiliwa kwenye Bunge la Ulaya ni hali ya Tanzania hususan katika eneo la Demokrasia. Mbunge wa Bunge hilo David McAllister alionekana kupotosha Bunge hilo kwa makusudi baada ya kueleza mambo ambayo alionekana hana ufahamu nayo.

David McAllister, alipotosha kwamba viongozi wengi wa upinzani wamekamwta na kuwekwa katika magereza tofauti tofauti, wakati inafahamika kwamba tangu Rais Samia Samia Suluhu aingie madarakani kesi nyingi zilizokuwa zikipigiwa kelele na vyama vya upinzani zilifutwa ( Septemba 22,2021 Tundu Lissu alifutiwa kesi ya uchochezi, June 28,2021 Mdude Nyangali aliachiwa huru kisha akatoka na kwenda kumtukana Rais hadharani lakini yuko huru hadi leo, bila kusahau kuachiwa huru kwa Mashekhe wa Uamsho ambalo lilikuwa ombi la Wapinzani kwa miaka mingi).

David MacAllister ambaye amekiri kufahamiana na watu kadhaa ndani ya Tanzania, huku kukiwa na ushahidi kwamba Rafiki yake ni Tundu Lissu anayefahamika kwa kutunga uwongo mwingi dhidi ya Tanzania, alijiegemeza katika kesi ya Freeman Mbowe. Alitumia maneno mengi, lakini hiyo pekee ndiyo ilikuw ahoja yake, huku akilazimisha kwamba Rais wa Tanzania akiuke misingi ya Kidemokrasia na kuingilia uhuru wa Mahakama.

Hoja za kubumba za David McAllister ziligonga mwamba baada ya ukweli kuelezwa ndani ya Bunge hilo , baada ya ukweli wa mabo kusemwa.

Mbunge Rita Laranjinha alieleza kwamba, Rasis Samia Suluhu Hassan ameleta tumaini jipya ndani ya Tanzania katika kipindi kifupi alichoingia madarakani.

Tanzania imepongezwa kwa namna ilivyofaulu kubadilisha uongozi kwa amani na kufuata Katiba kufuatia kifoi cha Hayati Magufuli aliyekuwa Rais.

Lakini pia Bunge la Ulaya limeelezwa kuhusu hatua zinazochukuliwa na Rais Samia Suluhu katika kuimarisha Demokrasia, bila kusahau maamuzi yake ya kukabiliana na janga la Corona kwa njia za kisayansi zinazokubalika duniani kote.

Kung’ara huko kwa Tanzania katika Bunge la Ulaya ni muendelezo wa mema yanayoendelea kuchipua ndani ya Tanzania baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuifungua nchi kupitia diplomasia, na kulinda misingi ya demokrasia ambapo hivi sasa vyama vya siasa vinaendelea kufanya shughuli zao za ndani kwa uhuru mkubwa.
Dunia inakukubali mama yetu piga kazi. EU wamempuuza Lissu na yule rafiki yake McAllister wa Kamati ya Bunge ambaye anatoka chama cha CDU cha Ujerumani.

Kwa wasiofahamu, chama cha CDU ndicho kinadhamini Chadema na ni mbia mkubwa wa Chadema. Hivyo kumuona huyo jamaa McAllister anatokwa povu kwa masuala ya Chadema ni kawaida. I

Hata hivyo, EU Commission ambacho ndicho chombo kikuu cha Utebdaji ndani ya EU mara zote wanampuuza. Wanajua itikadi yake na maslahi yake binafsi ndani ya Chadema . Viva Rais Samia
 
Moja kati ya mijadala iliyojadiliwa kwenye Bunge la Ulaya ni hali ya Tanzania hususan katika eneo la Demokrasia. Mbunge wa Bunge hilo David McAllister alionekana kupotosha Bunge hilo kwa makusudi baada ya kueleza mambo ambayo alionekana hana ufahamu nayo.

David McAllister, alipotosha kwamba viongozi wengi wa upinzani wamekamwta na kuwekwa katika magereza tofauti tofauti, wakati inafahamika kwamba tangu Rais Samia Samia Suluhu aingie madarakani kesi nyingi zilizokuwa zikipigiwa kelele na vyama vya upinzani zilifutwa ( Septemba 22,2021 Tundu Lissu alifutiwa kesi ya uchochezi, June 28,2021 Mdude Nyangali aliachiwa huru kisha akatoka na kwenda kumtukana Rais hadharani lakini yuko huru hadi leo, bila kusahau kuachiwa huru kwa Mashekhe wa Uamsho ambalo lilikuwa ombi la Wapinzani kwa miaka mingi).

David MacAllister ambaye amekiri kufahamiana na watu kadhaa ndani ya Tanzania, huku kukiwa na ushahidi kwamba Rafiki yake ni Tundu Lissu anayefahamika kwa kutunga uwongo mwingi dhidi ya Tanzania, alijiegemeza katika kesi ya Freeman Mbowe. Alitumia maneno mengi, lakini hiyo pekee ndiyo ilikuw ahoja yake, huku akilazimisha kwamba Rais wa Tanzania akiuke misingi ya Kidemokrasia na kuingilia uhuru wa Mahakama.

Hoja za kubumba za David McAllister ziligonga mwamba baada ya ukweli kuelezwa ndani ya Bunge hilo , baada ya ukweli wa mabo kusemwa.

Mbunge Rita Laranjinha alieleza kwamba, Rasis Samia Suluhu Hassan ameleta tumaini jipya ndani ya Tanzania katika kipindi kifupi alichoingia madarakani.

Tanzania imepongezwa kwa namna ilivyofaulu kubadilisha uongozi kwa amani na kufuata Katiba kufuatia kifoi cha Hayati Magufuli aliyekuwa Rais.

Lakini pia Bunge la Ulaya limeelezwa kuhusu hatua zinazochukuliwa na Rais Samia Suluhu katika kuimarisha Demokrasia, bila kusahau maamuzi yake ya kukabiliana na janga la Corona kwa njia za kisayansi zinazokubalika duniani kote.

Kung’ara huko kwa Tanzania katika Bunge la Ulaya ni muendelezo wa mema yanayoendelea kuchipua ndani ya Tanzania baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuifungua nchi kupitia diplomasia, na kulinda misingi ya demokrasia ambapo hivi sasa vyama vya siasa vinaendelea kufanya shughuli zao za ndani kwa uhuru mkubwa.
Maneno mazuri kabisa,asante kwa kutujulisha.
 
02 December 2021
Brussels, EU

HABARI TOKA
Makao ya Bunge la Ulaya / EP

Mwenyekiti wa Kamati ya Mambo ya Nje wa Bunge la ulaya akataa ripoti iliyoonesha matumaini ya mabadiliko ktk utawala wa awamu ya sita



David James McAllister MEP ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya Bunge la Ulaya ametoa hotuba nzito na kuwalaumu wataalum wa Umoja wa Ulaya waliotoa ripoti mbele ya kamati hiyo ya Bunge yenye ushawishi mkubwa pamoja na kuaminika kusimamia values / desturi na makubaliano ya kuheshimu haki za binadamu na utawala bora .

Mwenyekiti David James McAllister MEP akakumbushia barua yake aliyoandika kuwaonya wataalamu wa Umoja wa Ulaya EEAS About the European External Action Service (EEAS) mwaka jana mwezi November 2020 kuhusu "kuubeba" utawala dhalimu usiofuata haki za msingi za kibinadamu. Akiwasilisha Ripoti, mmoja wa wataalamu wa EEAS Ms. Rita Laranjinha EEAS: High Representative Josep Borrell announces senior appointments | Press Club Brussels Europe alinukuu taarifa ya EEAS ilisema kuna maendeleo 'makubwa' nchini Tanzania mbali ya changamoto ndogo ndogo.

Mwenyekiti wa Kamati ya Mambo ya Nje ya Bunge la Ulaya akakumbushia hicho kinachoitwa 'changamoto ndogo ndogo' kwa hakika ni kikubwa na hakipaswi kutupiliwa mbali ikiwa watu wanakamatwa ovyo, kutupwa mahabusu, kufunguliwa mashtaka, kutishiwa haki ya kuishi n.k mambo ambayo ndiyo msingi mkubwa wanaousimamia Umoja wa Ulaya wakati wa kutoa msaada kwa nchi yoyote ulimwenguni

Mwenyekiti wa Kamati hiyo ya Bunge la Ulaya amesema mfano wataalamu hao je wameweza kukutana ndani ya Tanzania na mwenyekiti wa CHADEMA au makamu mwenyekiti wa CHADEMA? Ambao ni viongozi wa chama kikuu cha upinzani, mmoja akiwa rumande kwa kesi ya kutunga huku mwingine akiwa uhamishoni Belgium halafu wataalamu hao wanasema ni changamoto ndogo ndogo?

Pia kuna raia wanaoshiriki siasa Tanzania wenye mtizamo mbadala walio wanachama, wapenzi na wafadhili wazalendo wa KiTanzania wanabaguliwa kushiriki ktk vyombo vya maamuzi ngazi zote, wanaoozea ktk jela mbalimbali Tanzania au biashara zao kuhujumiwa je hayo ni mambo madogo ? Amehoji David James McAllister mwenyekiti huyo makini wa kamati ya Bunge la ulaya.

Hivyo amewataka wataalamu hao waliotumwa na bunge la Umoja wa Ulaya kuwabebeleza watawala wa Tanzania kuacha ukandamizaji, kujitathmini kama wanataka kulimwa barua nyingine kali ya karipio kuhusu ripoti yao iliyozua maswali mengi ndani ya Bunge la Ulaya na miongoni mwa wabunge wa Bunge hilo la Ulaya mwaka 2020 na vivyo hivyo pia mwaka huu mwezi November 2021 inayojadiliwa na Kamati hiyo ya Bunge la Ulaya.

Mwenyekiti wa Kamati hiyo ya Bunge la ulaya amewataka wataalamu hao kuja na majibu mujarabu ya kuibana serikali ya Tanzania kwa kuwa inatumia misaada ya Umoja wa Ulaya itokanayo na kodi za raia wa nchi wanachama zinazoamini katika utawala bora, haki za binadamu kulindwa na demokrasia hivyo haiwezekani nchi viongozi wa nchi walio wakandamizaji kama wa Tanzania kufaidi jasho na nguvu wa walipa kodi wa Ulaya wanaoamini katika uhuru, haki na Maendeleo ya kweli ya watu ktk demokrasia inayozingatia utu.

amesema yeye na wajumbe wabunge wa kamati ya mambo ya nje wanajiandaa kupendekeza hatua "kali" dhidi ya utawala unaoendekeza udhalimu waziwazi na kwa kificho.

David James McAllister mwenyekiti wa Kamati Ya Bunge la Ulaya ya Mambo ya Nje anasema mbali na ripoti hiyo ya wataalamu wake pia wanapata habari kupitia balozi za Marekani, Canada , Uingereza na balozi wa nchi wanachama wanaohudhuria kesi namba 16 ya mwaka 2021 ya tuhuma nzito za kupikwa dhidi ya Mbowe na wenzie 3, na kesi hiyo ni kichekesho dhidi ya Umoja wa Ulaya na raia wa wa Umoja wa Ulaya ambao wote wanaamini ktk haki mbele ya sheria, demokrasia na kutokuwepo ugandamizaji wa haki za kibinadamu za aina yoyote.

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge anataka kuona wataalamu hao wanakuja na mkakati gani wa kuibana serikali ya Tanzania inapotaka misaada na mikopo, kwani sasa siyo muda tena wa maongezi / dialogue yasiyo na kikomo kuhusu hali hii mbaya ya kisiasa nchini Tanzania, bali ni wakati wa Umoja wa Ulaya kufanya matendo kwani muda wa maneno umekwisha, ili ujumbe uwaingie watawala dhalimu.
Naona timu mwanakwenda na wachumia tumbo walitaka kutupiga changa la macho. Halafu sijui ni kwa faida ya nani. Wajinga kabisa
 
Kumbe Samia amefanikiwa haswa kuinyamazisha Chadema kisiasa na kuwaparanganyisha wapinzani wake ili atawale kwa amani. Usisahau kuwa wote wanaoshitakiwa katika kesi ya ugaidi ni watumishi wa serikali. Mbinu kuu inayotumika ni kushughulika na kesi ndogo katika kesi kuu. Hii ndiyo siasa tukutane 2025!
Huu ndio ujinga, mnawaza kushughulika na chadema badala ya kuleta maendeleo ya wanachi. Ndio maana hamuachi kupitia na kura za wizi
 
Moja kati ya mijadala iliyojadiliwa kwenye Bunge la Ulaya ni hali ya Tanzania hususan katika eneo la Demokrasia. Mbunge wa Bunge hilo David McAllister alionekana kupotosha Bunge hilo kwa makusudi baada ya kueleza mambo ambayo alionekana hana ufahamu nayo.

David McAllister, alipotosha kwamba viongozi wengi wa upinzani wamekamwta na kuwekwa katika magereza tofauti tofauti, wakati inafahamika kwamba tangu Rais Samia Samia Suluhu aingie madarakani kesi nyingi zilizokuwa zikipigiwa kelele na vyama vya upinzani zilifutwa ( Septemba 22,2021 Tundu Lissu alifutiwa kesi ya uchochezi, June 28,2021 Mdude Nyangali aliachiwa huru kisha akatoka na kwenda kumtukana Rais hadharani lakini yuko huru hadi leo, bila kusahau kuachiwa huru kwa Mashekhe wa Uamsho ambalo lilikuwa ombi la Wapinzani kwa miaka mingi).

David MacAllister ambaye amekiri kufahamiana na watu kadhaa ndani ya Tanzania, huku kukiwa na ushahidi kwamba Rafiki yake ni Tundu Lissu anayefahamika kwa kutunga uwongo mwingi dhidi ya Tanzania, alijiegemeza katika kesi ya Freeman Mbowe. Alitumia maneno mengi, lakini hiyo pekee ndiyo ilikuw ahoja yake, huku akilazimisha kwamba Rais wa Tanzania akiuke misingi ya Kidemokrasia na kuingilia uhuru wa Mahakama.

Hoja za kubumba za David McAllister ziligonga mwamba baada ya ukweli kuelezwa ndani ya Bunge hilo , baada ya ukweli wa mabo kusemwa.

Mbunge Rita Laranjinha alieleza kwamba, Rasis Samia Suluhu Hassan ameleta tumaini jipya ndani ya Tanzania katika kipindi kifupi alichoingia madarakani.

Tanzania imepongezwa kwa namna ilivyofaulu kubadilisha uongozi kwa amani na kufuata Katiba kufuatia kifoi cha Hayati Magufuli aliyekuwa Rais.

Lakini pia Bunge la Ulaya limeelezwa kuhusu hatua zinazochukuliwa na Rais Samia Suluhu katika kuimarisha Demokrasia, bila kusahau maamuzi yake ya kukabiliana na janga la Corona kwa njia za kisayansi zinazokubalika duniani kote.

Kung’ara huko kwa Tanzania katika Bunge la Ulaya ni muendelezo wa mema yanayoendelea kuchipua ndani ya Tanzania baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuifungua nchi kupitia diplomasia, na kulinda misingi ya demokrasia ambapo hivi sasa vyama vya siasa vinaendelea kufanya shughuli zao za ndani kwa uhuru mkubwa.
Endeleeni kumpamba kea nyimbo na mapambio huku mnatuibia kwa kusaini mikataba mibovu maana ndiyo zenu kujifanya mnmtetea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom