Unajichanganya sasa. Mpare anaweza kuwa mzanzibari kama atakuwa na sifa hizo lakini yaye hana hizo sifa. Naamini hajawahi kusema "straight" yeye mzanzibari, fuatilia vizuri. Amesema anahusiana hukohuko. Mnyamwezi mwenzenu huyo msimbague
Unapata shida sana mkuu