benzemah
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 1,504
- 3,034
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Bw. Habibu Juma Said Suluo kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (LATRA). Bwana Suluo anachukua nafasi ya Bw. Gilliard W. Ngewe ambave amemaliza Mkataba wake.
Kabla ya uteuzi huo Bw. Suluo alikuwa Mkurugenzi wa Fedha na Uhasibu, Shirika la Wakala wa Meli za Tanzania. (TASAC).
Uteuzi huu unaanza mara moja.
Imetolewa na Kurugenzi wa Mawasiliano ya Rais. Ikulu
Kabla ya uteuzi huo Bw. Suluo alikuwa Mkurugenzi wa Fedha na Uhasibu, Shirika la Wakala wa Meli za Tanzania. (TASAC).
Uteuzi huu unaanza mara moja.
Imetolewa na Kurugenzi wa Mawasiliano ya Rais. Ikulu