Rais Samia amtembelea Mzee Warioba. Je, Katiba Mpya kupata kiki?

Mimi nina imani Samia anaweza kutupa Katiba Mpya ila amezungukwa na Mbweha.

Na kama tunavyojua anasapoti kubwa ya Jen Mabeyo mambo yatakuwa sawia tu.
 
Atuachie kwanza nchi yetu halafu la katiba mpya lifuate. Hana huruma na wananchi. Bidhaa muhimu zote zimepanda bei!!

1 sukari
2. Mafuta ya kula
3. Vifurushi
4. Nondo
5. Cement
6. Mabati
7. Misumali
8. Rangi za nyumba
9. Chakula
10. Ugolo/ Tumbaku

Halafu wala hazumgumzii tatizo hili la mfumuko wa bei.
Atashusha nani ulivyo pimbi? Bei zinapangwa na Serikali? Aisee nadhani watu hawakunyoka vizuri bora aje katili kuzidi Mwendazake na akae miaka ya kuzidi ndio akili zitakaa sawa .

Hapo tutaona kama maskini watatoka kwenye umaskini
 
Lini sasa aichie nchi wakati kwanza ndio miezi 9 tu tangu aichukue. Labda muujiza utokee tena. Usiniulize muujiza gani nitakunasa kofi.
Hatuombei huo muujiza unaoutaka. Tutamvumilia mpaka 2025. Lakini cha moto tutakiona.
 
Back
Top Bottom