Atashusha nani ulivyo pimbi? Bei zinapangwa na Serikali? Aisee nadhani watu hawakunyoka vizuri bora aje katili kuzidi Mwendazake na akae miaka ya kuzidi ndio akili zitakaa sawa .Atuachie kwanza nchi yetu halafu la katiba mpya lifuate. Hana huruma na wananchi. Bidhaa muhimu zote zimepanda bei!!
1 sukari
2. Mafuta ya kula
3. Vifurushi
4. Nondo
5. Cement
6. Mabati
7. Misumali
8. Rangi za nyumba
9. Chakula
10. Ugolo/ Tumbaku
Halafu wala hazumgumzii tatizo hili la mfumuko wa bei.
Hatuombei huo muujiza unaoutaka. Tutamvumilia mpaka 2025. Lakini cha moto tutakiona.Lini sasa aichie nchi wakati kwanza ndio miezi 9 tu tangu aichukue. Labda muujiza utokee tena. Usiniulize muujiza gani nitakunasa kofi.
Msekwa hayumo kwenye listNawajua wote hao wako straight kama rula na wanazeeka na misimamo yao. Muongeze hapo na Mzee Msekwa.
Kwani lazima wayaseme?Kazi tunayo na tutaendelea nayo. Warioba amesema hawajajadili mambo ya katiba. Mh. Rais SSH aliendatu kumjulia hali