Rais Samia amtembelea Mzee Warioba. Je, Katiba Mpya kupata kiki?

Anaenda kuwajulia hali si kupata maoni yao. Huwezi kumtembelea mtu lisaa limoja ukapata mawazo yake. Angekuwa serious kupata maoni angewaita ikulu na kufanya nao mikutano siku nzima.
 
Salaam Wakuu,

Leo rais Samia amemtembea Waziri Mstaafu Jaji Warioba na Mawaziri Wastaafu wengine.

Kwasababu Jaji Warioba anapigania Katiba Mpya, Je, rais kasikia kilio cha Watanzania? Jaji Warioba ataua ndege Wawili kwa Jiwe moja?

Mawaziri Wakuu wasitaafu wamekuwa Msitari wa Mbele kupambania Katiba Mpya.

Mwaka Ujao unaweza kuwa wa neema kwa Wapigania Katiba Mpya.

Aji Joseph Warioba alikuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba.

Hivi karibuni, August 09 2021 Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba aliwataka viongozi wa Serikali kutegua kitendawili cha lini mchakato wa mabadiliko ya Katiba utahitimishwa ili Taifa liwe na utulivu.

Pia soma alichokisema Waziri Mkuu Msitaafu Msuya: Mzee Cleopa Msuya: Suala la Katiba Mpya haliepukiki kwani Katiba siyo Jiwe au Amri ya Mungu
View attachment 2030589
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akizungumza na Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba mara baada ya kuwasili nyumbani kwake Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kumjulia hali leo tarehe 2 Desemba, 2021.
View attachment 2030593
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Waziri Mkuu Mstaafu Cleopa David Msuya mara baada ya kuwasili nyumbani kwake Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kumjulia hali leo tarehe 2 Desemba, 2021.
Very good but Msuya alisha okoka na kuachana na tabia ya wizi?
 
Blaza yawezekana mama anatafuta foundation ya kumwaga majanga kwenye ishu ya kina Urio. Kwamba kasikiliza ushauri na kuufanyia kazi
Hilo angeongea na Pinda, huyo anafahamiana vyema na Mbowe na wamefanya kazi pamoja bungeni.
 
Salaam Wakuu,

Leo rais Samia amemtembea Waziri Mstaafu Jaji Warioba na Mawaziri Wastaafu wengine.

Kwasababu Jaji Warioba anapigania Katiba Mpya, Je, rais kasikia kilio cha Watanzania? Jaji Warioba ataua ndege Wawili kwa Jiwe moja?

Mawaziri Wakuu wasitaafu wamekuwa Msitari wa Mbele kupambania Katiba Mpya.

Mwaka Ujao unaweza kuwa wa neema kwa Wapigania Katiba Mpya.

Aji Joseph Warioba alikuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba.

Hivi karibuni, August 09 2021 Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba aliwataka viongozi wa Serikali kutegua kitendawili cha lini mchakato wa mabadiliko ya Katiba utahitimishwa ili Taifa liwe na utulivu.

Pia soma alichokisema Waziri Mkuu Msitaafu Msuya: Mzee Cleopa Msuya: Suala la Katiba Mpya haliepukiki kwani Katiba siyo Jiwe au Amri ya Mungu
View attachment 2030589
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akizungumza na Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba mara baada ya kuwasili nyumbani kwake Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kumjulia hali leo tarehe 2 Desemba, 2021.
View attachment 2030593
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Waziri Mkuu Mstaafu Cleopa David Msuya mara baada ya kuwasili nyumbani kwake Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kumjulia hali leo tarehe 2 Desemba, 2021.
Rais wetu hana hiyana na wakosoaji wake
 
Katiba mpya hawezi kubali sababu itakuwa mwisho wake maana wananchi huku hawataki hata kumsikia kabisa
Ni kawaida kwa sababu uchumi bado haujatengamaa but cha muhimu mipango ya serikali inaenda vizuri..

Mambo yatatakapotengamaa hutosikia hizi maneno za sijui hawataki kumsikia.
 
Salaam Wakuu,

Leo rais Samia amemtembea Waziri Mstaafu Jaji Warioba na Mawaziri Wastaafu wengine.

Kwasababu Jaji Warioba anapigania Katiba Mpya, Je, rais kasikia kilio cha Watanzania? Jaji Warioba ataua ndege Wawili kwa Jiwe moja?

Mawaziri Wakuu wasitaafu wamekuwa Msitari wa Mbele kupambania Katiba Mpya.

Mwaka Ujao unaweza kuwa wa neema kwa Wapigania Katiba Mpya.

Aji Joseph Warioba alikuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba.

Hivi karibuni, August 09 2021 Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba aliwataka viongozi wa Serikali kutegua kitendawili cha lini mchakato wa mabadiliko ya Katiba utahitimishwa ili Taifa liwe na utulivu.

Pia soma alichokisema Waziri Mkuu Msitaafu Msuya: Mzee Cleopa Msuya: Suala la Katiba Mpya haliepukiki kwani Katiba siyo Jiwe au Amri ya Mungu
View attachment 2030589
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akizungumza na Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba mara baada ya kuwasili nyumbani kwake Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kumjulia hali leo tarehe 2 Desemba, 2021.
View attachment 2030593
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Waziri Mkuu Mstaafu Cleopa David Msuya mara baada ya kuwasili nyumbani kwake Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kumjulia hali leo tarehe 2 Desemba, 2021.
Kazi zimemshida kabaki kupiga misele,bei ya mafuta imepanda tanzania,gesi imepata yeye anapiga misele sababu anakula bure
 
Hii mizee Ni midabwada unadhani Kuna la maana amemwambia, inaangalia matumno Yao na Wana wao. All in all Warioba has shown to be principled and a firm conviction to what he believes to right!
 
Back
Top Bottom