Son of Gamba
JF-Expert Member
- Oct 26, 2012
- 4,358
- 6,077
Sabaya amesimamishwa kazi sababu ya tuhuma. Na wanaofurahia kusimamishwa kwake kazi ni wanachama wa CHADEMA. Watu wenye upeo wa kufikiri tunajiuliza maswali mengi na machache kati ya hayo ni haya :
1- tuhuma zinazomkabili Sabaya sio za leo wala jana, ni tuhuma za kuanzia mwaka jana kurudi nyuma. Sasa je, wakati Sabaya anatuhumiwa, huyu Madam SSH yeye hakuwa Makamu wa Rais? Alichukua hatua zipi dhidi ya Sabaya kwa nafasi aliyokuwa nayo?
2- Madam SSH akisema kipindi hicho hakuwa na sauti, Je, sasa hivi akiwa kama Rais yuko tayari kuchukua hatua dhidi ya kila tuhuma zilizokuwa zikielekezwa kwa viongozi au Serikali anayoiongoza sasa hivi?
Hata chama chake CCM kinatuhumiwa sana kwa udanganyifu na wizi wa kura kwenye uchaguzi mkuu uliopita, Je, Madam SSH yuko tayari kufanyia kazi hizo tuhuma kwa kuruhusu uchunguzi huru dhidi ya chama chake na ikiwa itathibitika kuwa kweli waliiba kura, Je, atakuwa tayari kujiuzulu na kupisha uchaguzi mwingine ufanyike?
3- Spika wa Bunge, Job Ndugai anatuhumiwa sana kuisigina katiba ya nchi, Je, Madam SSH yuko tayari kulivunja Bunge na kuitisha uchaguzi mwingine maana mamlaka hayo anayo.
4- Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda anatuhumiwa kudhulumu haki za kuishi za baadhi ya watu, Je, Madam SSH yupo tayari kupisha uchunguzi huru dhidi ya Makonda?
5- Usalama wa Taifa wanatuhumiwa kuhusika na tukio la kupigwa risasi Tundu Lissu, Je, Madam SSH yupo tayari kuruhu FBI wafanye uchunguzi wao kama walivyotaka kufanya baada ya tukio na kuzuiliwa?
Ikiwa Madam anasikiliza tuhuma za mitandaoni, Je, sio sahihi kwa yeye kusikiliza na kuchukua maamuzi dhidi ya tuhuma hizo nilizoziainisha hapo juu??
Na hapo sijataja tuhuma za utekaji watu, kupotea kwa baadhi ya watu kama Azory n.k.
Au Watanzania mnapenda sana kushabikia vitu pasipo kufikiri kwa kina? Hamjui kwamba wanasiasa wote wamejaa unafiki?
Madam SSH yeye siyo MALAIKA, yeye ni Mwanadamu tena mwanasiasa. Hana tofauti na aina za wanasiasa tuwajuao.
1- tuhuma zinazomkabili Sabaya sio za leo wala jana, ni tuhuma za kuanzia mwaka jana kurudi nyuma. Sasa je, wakati Sabaya anatuhumiwa, huyu Madam SSH yeye hakuwa Makamu wa Rais? Alichukua hatua zipi dhidi ya Sabaya kwa nafasi aliyokuwa nayo?
2- Madam SSH akisema kipindi hicho hakuwa na sauti, Je, sasa hivi akiwa kama Rais yuko tayari kuchukua hatua dhidi ya kila tuhuma zilizokuwa zikielekezwa kwa viongozi au Serikali anayoiongoza sasa hivi?
Hata chama chake CCM kinatuhumiwa sana kwa udanganyifu na wizi wa kura kwenye uchaguzi mkuu uliopita, Je, Madam SSH yuko tayari kufanyia kazi hizo tuhuma kwa kuruhusu uchunguzi huru dhidi ya chama chake na ikiwa itathibitika kuwa kweli waliiba kura, Je, atakuwa tayari kujiuzulu na kupisha uchaguzi mwingine ufanyike?
3- Spika wa Bunge, Job Ndugai anatuhumiwa sana kuisigina katiba ya nchi, Je, Madam SSH yuko tayari kulivunja Bunge na kuitisha uchaguzi mwingine maana mamlaka hayo anayo.
4- Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda anatuhumiwa kudhulumu haki za kuishi za baadhi ya watu, Je, Madam SSH yupo tayari kupisha uchunguzi huru dhidi ya Makonda?
5- Usalama wa Taifa wanatuhumiwa kuhusika na tukio la kupigwa risasi Tundu Lissu, Je, Madam SSH yupo tayari kuruhu FBI wafanye uchunguzi wao kama walivyotaka kufanya baada ya tukio na kuzuiliwa?
Ikiwa Madam anasikiliza tuhuma za mitandaoni, Je, sio sahihi kwa yeye kusikiliza na kuchukua maamuzi dhidi ya tuhuma hizo nilizoziainisha hapo juu??
Na hapo sijataja tuhuma za utekaji watu, kupotea kwa baadhi ya watu kama Azory n.k.
Au Watanzania mnapenda sana kushabikia vitu pasipo kufikiri kwa kina? Hamjui kwamba wanasiasa wote wamejaa unafiki?
Madam SSH yeye siyo MALAIKA, yeye ni Mwanadamu tena mwanasiasa. Hana tofauti na aina za wanasiasa tuwajuao.
Huna ujualo mkuu kaa kwa kutulia mjomba wa sabaya wewe
Huna akili hata kidogo.kwani samia anaishi ndani ya kibuyu kiasi kwamba hana analosikia au kuona kwa macho yake? Hilo bichwa tumia kufikiri siyo kufugia nywele.
Acha useng. e wewe
Kwahiyo unaona huu ni umbea
Kumbuka serikali ni kwa ajili ya watu
Unahisi kakosea kukutoa
Kasimamishwa kazi kupisha uchunguzi kama hana hatia siatarudishwa kwenyekiti chake? Nchi hii ni yetu wote hakuna mwenye uhuru wa kufanya atakalo. Haki itendeke.
Kuna clip toka hotel ya Mbowe akiwa na mabunduki akitesa wafanyakazi na kufanya uahlifu.
By the way source yoyote ya information kama wewe ni kiongozi mzuri ifanyie kazi. Mitandaoni mbona mnawafunga watu kwa taarifa za mitandaoni?
Genge la chato akili zenu bana
Kwa hiyo unasema rais hana vyanzo vya habari kuyajua majambazi?
Hadi lile genge lote la kabila letu pendwa lisambaratike lote. Kwani hamjijui?
CCM wanajua Watanzania wengi wamejeruhiwa na Mwendazake, kilichopo saizi wanawaponya majeraha...2025 wanakuja na gia nyingine.
Kwa Hali hii ccm itatawala miaka mingi ijayo, maana wanajua kula na vipofu.
Ni Jambo kua na rais anayesikiliza,
Mama katumia busara Sana, kasema kasimamishwa kupisha uchunguzi.
Hajafukuzwa, atafukuzwa zikithibitishwa tuhuma zake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni Jambo zuri Sana mama anafanya, kiongozi ni kusikiliza...