Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,312
- 24,171
Ha ha ha!What a beautiful news!!!!
Mungu anaendelea kusafisha SUKUMA GANG
What goes around comes around!
Ha ha ha!What a beautiful news!!!!
Mungu anaendelea kusafisha SUKUMA GANG
Unamaanisha nini katika mustakabali wa mkuu wa Wilaya na rais?kuna dokta wa vichaa siku moja aliletewa kichaa alieshindikana ili amtibu...daktari alifanikiwa kumtibu kichaa akapona ila ajabu yeye dokta ndo akawa chizi
AmenHapa ndo inapokuja maana ya Mtetezi wangu yu Hai...Kuna namna Mungu kawashindia walikua wanateswa na huyu mkaka....Mungu kawajibu maombi yao
Ha ha ha haWhat a beautiful news!!!!
Mungu anaendelea kusafisha SUKUMA GANG
Hahahaha amesimamishwa? Ili afanyeje? Aimbe mapambio? Usitufanye Wajinga, hakuna DC aliyewahi kusimamishwa kupisha uchunguzi kwa aibu kama huyu
Jicho lingine lilikuwa busy likifuatilia CAMERA
Tenaa aendelee hivi hivi...unataka msikilize na nani na sisi ndo serikali....mama chomeka hapo hapo usiachie🤣🤣Huyu Madam SSH anafanya kazi au anafanya maamuzi kwa kusikiliza kelele na porojo za mitandaoni.
Ni hatari sana kuwa na Rais anayesikiliza umbea, udaku na mihemuko ya mitandaoni kisha anachukua maamuzi ili kuwaridhisha followers wake.
Kaaazi kweli kweli!!!
Hii inastahili kabisa kuitwa zawadi ya Idd kwa watanzania
Nimecheka kwa sauti.Hii itakuwa ni zawadi ya Idd bado gule asiyejua process za kifo
Na kwa pamoja wote tuseme AHSANTE MAMAHii inastahili kabisa kuitwa zawadi ya Idd kwa watanzania
Wewe sio wa kutufundisha! Maisha ni haya haya! Tulia, anachunguzwa sio ametengukiwa tu, usitufanye wakinga!Haya.
Ndo maana nimewaambia bakisheni akiba ya maneno..
Kusimamishwa.
Kutenguliwa haya NI MANENO mawili tofauti.
Muwe mnaelewa.
Ongezea na alikuwa CHAWA aliyevuka damu ya Kunguni kwa mwendazake yaani ni Mmasai asiyefaa kabisa akahamia kabila la SUKUMA GANG tena akasafishe makaburi huko ChattleWhat a beautiful news!!!!
Mungu anaendelea kusafisha SUKUMA GANG
Alimkata kijana wa watu masikio ,akaulizwa hiyo swali Clouds hajaikanusha kajibu indirect ila ilionyesha ni kweli ,alikuwa na kiburi sana ,inshort jamaa hafai kabisaKuna jamaa mmoja anadai walimlawiti na kisha kumvunja miguu.