Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,498
- 9,279
Rais Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi wa dini kutoa elimu kwa waumini juu ya umuhimu wa kupata chanjo ya uviko – 19 pamoja na kushiriki katika sensa inayotarajiwa kuanza mwaka 2022.
“Niwaombe viongozi wa dini kujumuisha masuala ya sensa kwenye mahubiri yenu, kawaida serikali ikitoa matamko ya sera anatokea kiongozi wa dini kwenda kupinga na bado maamrisho kwenye kitabu chake hayamtumi hivyo, pia mpige kampeni ya kutosha kwenye suala la corona,”
“Ukweli ni kwamba chanjo zinapunguza vifo lakini pia inapunguza makali ya maumivu ya ugonjwa wa corona, wale wambao hamjawahi kupata maumivu ya lile gonjwa hamuwezi kuelewa lakini wale ambao yameshawafika wanaelewa,”
“Niwaombe viongozi wa dini muwaelimishi waumini ili wakubali kupata chanjo ya corona, tumesema sio lazima kuchanja lakini wengine hawajui akichanja anapata nini na asipofanya hivyo anakosa nini,”
“Niwaombe viongozi wa dini kujumuisha masuala ya sensa kwenye mahubiri yenu, kawaida serikali ikitoa matamko ya sera anatokea kiongozi wa dini kwenda kupinga na bado maamrisho kwenye kitabu chake hayamtumi hivyo, pia mpige kampeni ya kutosha kwenye suala la corona,”
“Ukweli ni kwamba chanjo zinapunguza vifo lakini pia inapunguza makali ya maumivu ya ugonjwa wa corona, wale wambao hamjawahi kupata maumivu ya lile gonjwa hamuwezi kuelewa lakini wale ambao yameshawafika wanaelewa,”
“Niwaombe viongozi wa dini muwaelimishi waumini ili wakubali kupata chanjo ya corona, tumesema sio lazima kuchanja lakini wengine hawajui akichanja anapata nini na asipofanya hivyo anakosa nini,”