Hii ni habari njema sana kwa Watanzania wote.
Uongozi wa Rais Samia Suluhu ni uongozi ambao Watanzania wengi tulitamani kuwa nao, ni uongozi tuliokuwa tunauota kwa zaidi ya miaka 5. Tulitamani sana kuwa na uongozi unaofanya shughuli zote kwa uwazi lakini haikuwezekana kwa zaidi ya miaka 5, sijui serikali ilikuwa inaficha maovu gani.
Lakini sasa tupo katika uongozii wenye neema, Tanzania inarudi katika Mpango wa Uendeshaji Serikali kwa Uwazi (Open Government Partnership) baada ya kujitoa mwaka 2017.
Rais Samia Suluhu ni mfano mzuri wa kiongozi bora na sasa amefanikiwa kuimarisha Demokrasia, haki za binadamu na utawala bora.
Uongozi wa Rais Samia Suluhu ni uongozi ambao Watanzania wengi tulitamani kuwa nao, ni uongozi tuliokuwa tunauota kwa zaidi ya miaka 5. Tulitamani sana kuwa na uongozi unaofanya shughuli zote kwa uwazi lakini haikuwezekana kwa zaidi ya miaka 5, sijui serikali ilikuwa inaficha maovu gani.
Lakini sasa tupo katika uongozii wenye neema, Tanzania inarudi katika Mpango wa Uendeshaji Serikali kwa Uwazi (Open Government Partnership) baada ya kujitoa mwaka 2017.
Rais Samia Suluhu ni mfano mzuri wa kiongozi bora na sasa amefanikiwa kuimarisha Demokrasia, haki za binadamu na utawala bora.