NashangaaaKwani umepingwa?
NashangaaaKwani umepingwa?
Vichokochoko hajitambui she is talking by using both sides of her mouth.
Mimi nilikuwa namaanisha mchakato wa urais kupitia chama chake cha CCM. Kwa desturi ya CCM rais aliye madarakari huwa hana mpinzani kwenye chama chake.Bro nisamehe lakini kuna vitu vimeashiria kuwa ubongo wako unahitaji msaada wa chakula chake.
1. Kila Mtanzania ana haki kuutaka urais hii ni HAKI kuwaita wana uchu unakosea.
2. 2025 iko wazi kwa wana ccm na upinzani...mama Hangaya hana ile amalizie 10 ya ccm kwasababu anamalizia awamu ya 5, na yeye amekiri ni rais wa katiba, hivyo atahitaji kupitia mchakato wa chama chake...je atashinda ccm?
Mnampa moyo lakini safari ni ngumu zaidi ya kudra iliyomdondokea
Mama anafaa kabisa.Nimefurahishwa sana na kitendo cha Rais wetu mpendwa cha kutangaza bayana azma yake ya kukalia kiti cha urais kwa muhula mwingine.
Binafsi nafikiri amefanya kitu cha msingi kwa kuwakatisha tamaa wale wenye uchu wa madaraka ili wapate kuendelea na shughuli zao za kawaida.
Bila shaka sasa watu wataanza kufanya kazi za kujenga nchi na kuachana na mawazo ya kugombea urais 2025.
Ni kweli lakini huyu yuko mafarakani ki chama iko kama huyu ni rais wa mpito tu, amekiri mwenyewe jana kuwa Bado hajachaguliwa rais mwanamke, huyu ni rais kwa kukidhi matakwa ya sheria tu....yeye akaita ni kudraMimi nilikuwa namaanisha mchakato wa urais kupitia chama chake cha CCM. Kwa desturi ya CCM rais aliye madarakari huwa hana mpinzani kwenye chama chake.
Binafsi nafikiri amefanya kitu cha msingi kwa kuwakatisha tamaa wale wenye uchu wa madaraka ili wapate kuendelea na shughuli zao za kawaida.
Kwahiyo hajiamini au kuna kitu anahofia?Nimefurahishwa sana na kitendo cha Rais wetu mpendwa cha kutangaza bayana azma yake ya kukalia kiti cha urais kwa muhula mwingine.
Binafsi nafikiri amefanya kitu cha msingi kwa kuwakatisha tamaa wale wenye uchu wa madaraka ili wapate kuendelea na shughuli zao za kawaida.
Bila shaka sasa watu wataanza kufanya kazi za kujenga nchi na kuachana na mawazo ya kugombea urais 2025.
Mama yanguMama kanogewa anataka cha pili tena... ila ni kawaida yao wanawake hawaridhiki.
Hulka ya chama chaoSema amekula matapishi yake kibabe.
Hii ni kama vile tungo tata? Wataalamu wa Kiswahili naomba mdadavue!Mama kanogewa anataka cha pili tena... ila ni kawaida yao wanawake hawaridhiki.
Kibatala :unachanja au huchanjiii???Mmekosa vya kujadili, kwani kuna asiyenanihiii dunia hii?
Mama tunaye sana panapouhai...
Hii njia nyeupe kwa vyama vya upinzani,katika nafasi ya madiwani na ubunge..mama hauziki kwenye majukwaa itakuwa ngumu sana kuwa beba madiwani na wabunge wake katika kipindi cha campaign.Kuna maeneo bado mama hakubariki kuwa rais wanaamin walimpigia kura JPM na sio mama.
Bado system haimkubali mama kuwa rais kwa maamuzi mengine anayoyafanya.
Lets wait until election
Labda aende kule kwao Makunduchi.. Hatuwezi tena tawaliwa na Wazanzibar sisiNimefurahishwa sana na kitendo cha Rais wetu mpendwa cha kutangaza bayana azma yake ya kukalia kiti cha urais kwa muhula mwingine.
Binafsi nafikiri amefanya kitu cha msingi kwa kuwakatisha tamaa wale wenye uchu wa madaraka ili wapate kuendelea na shughuli zao za kawaida.
Bila shaka sasa watu wataanza kufanya kazi za kujenga nchi na kuachana na mawazo ya kugombea urais 2025.
Wewe unajiongelea peke yako. Ilimradi katiba inamruhusu tutampa mitano tena. Kazi iendelee!!Labda aende kule kwao Makunduchi.. Hatuwezi tena tawaliwa na Wazanzibar sisi