Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,237
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais Samia, amemteua Dkt. Abdul Rahman Mwanga kuwa Kamishna wa Madini.
Kabla ya uteuzi huu, Dkt. Mwanga alikuwa Mkurugenzi wa Ukaguzi wa Madini na Mazingira, Tume ya Madini, Dodoma.
Dk Mwanga Anachukua nafasi ya Mhandisi David Mulabwa.
Kabla ya uteuzi huu, Dkt. Mwanga alikuwa Mkurugenzi wa Ukaguzi wa Madini na Mazingira, Tume ya Madini, Dodoma.
Dk Mwanga Anachukua nafasi ya Mhandisi David Mulabwa.