Rais Samia amekuwa mzito sana wa kufanya maamuzi

Kila kitu kinachofanyika, kutendeka au kutendwa, kinapaswa kuwa katika kiwango ambacho hakipungui sana au kuzidi sana(kiwe within reasonable limits).

Kwa msingi huo, hata viongozi wetu katika kufanya maamuzi, wanapaswa kuzingatia hilo ili wasiharubu, na pia ili wasionee watu.

Mwendazake katika kufanya maamuzi, kuna wakati ni wazi alipitiliza na alionea sana watu, na ndio maana tuliona baadhi ya aliowaondoa katika nafasi zao, baadae aliwarudisha(inaonyesha aligundua makosa yake).

Sasa huyu Mama yetu anaonekana kuwa ni kinyume cha Mwendazake kwa kuwa mzito kuchukua maamuzi kwa viwango nachosema ni cha kupitiliza(it is getting too much).

Mfano sahihi ni jinsi anavyokuwa mzito kumuondoa huyu Bosi wa Mapolisi ambae sasa anapigiwa kelele karibu kila kona ila Mama bado haoni kuwa huyu mtu ni tatizo (anapaswa kuondolewa).

Kama anapokea maagizo kutoka juu, njia mowajawapo ya kurekebisha hali hii bado itabaki kuwa ni kumuondoa tu na kumpangia kazi nyingine, na mrithi wake asiingiliwe, vinginevyo hatua ya kumuondoa itakuwa haina maana.

Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu, hivyo kama Mama ataendelea kupuuza hizi sauti, basi awe tayari kukubaliana na matokeo, na sijui kama kuna binadamu wa kushindana na Mungu.

Hata Mwendazake alimlinda sana Bashite na kupuuza sauti ya walio wengi, ila mwisho wa siku yalimshinda.

Too much of everything is harmful-Mama utajionea siku si nyingi

Time will tell.
Hata Chadema mngeungana wote hamzidi hata asilimia 1 ya watanzania wote. Hiyo ndiyo sauti ya wengi?
 
Kila kitu kinachofanyika, kutendeka au kutendwa, kinapaswa kuwa katika kiwango ambacho hakipungui sana au kuzidi sana(kiwe within reasonable limits).

Kwa msingi huo, hata viongozi wetu katika kufanya maamuzi, wanapaswa kuzingatia hilo ili wasiharubu, na pia ili wasionee watu.

Mwendazake katika kufanya maamuzi, kuna wakati ni wazi alipitiliza na alionea sana watu, na ndio maana tuliona baadhi ya aliowaondoa katika nafasi zao, baadae aliwarudisha(inaonyesha aligundua makosa yake).

Sasa huyu Mama yetu anaonekana kuwa ni kinyume cha Mwendazake kwa kuwa mzito kuchukua maamuzi kwa viwango nachosema ni cha kupitiliza(it is getting too much).

Mfano sahihi ni jinsi anavyokuwa mzito kumuondoa huyu Bosi wa Mapolisi ambae sasa anapigiwa kelele karibu kila kona ila Mama bado haoni kuwa huyu mtu ni tatizo (anapaswa kuondolewa).

Kama anapokea maagizo kutoka juu, njia mowajawapo ya kurekebisha hali hii bado itabaki kuwa ni kumuondoa tu na kumpangia kazi nyingine, na mrithi wake asiingiliwe, vinginevyo hatua ya kumuondoa itakuwa haina maana.

Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu, hivyo kama Mama ataendelea kupuuza hizi sauti, basi awe tayari kukubaliana na matokeo, na sijui kama kuna binadamu wa kushindana na Mungu.

Hata Mwendazake alimlinda sana Bashite na kupuuza sauti ya walio wengi, ila mwisho wa siku yalimshinda.

Too much of everything is harmful-Mama utajionea siku si nyingi.

Tukumbuke hata Mama mwenyewe anawalalamikia hawa jamaa.

Time will tell.
Subirini mtakapochukua serikali mfanye vile inafaa mwaona...jpm anakurupuka kufanya maamuzi, huyu mzito sana kufanya maamuzi. Sasa hamueleweki. Yaonekana kiasi sahihi cha ufanyaji maamuzi ninyi ndio mnacho. Hivyo subirini tu zamu yenu.
 
Chief kila tatizo lina mzizi, tatizo la jeshi la polisi sio Siro...Matatizo ya jeshi la polisi ni matatizo kila taasisi ya nchi hii.... Mzizi huko chini ndio umeleta matawi mabovu na limti lenyewe kuwa hivi lilivyo...kifupi Watanzania wote tunashida maana ni sehemu ya huu mzizi...

Elimu ya hovyo itolewayo shuleni, Uhuru ulipopatikana 1961 tulishindwa kuwa na uelekeo sahihi, Dini fulani kuiteka nchi na kuifanya ni yake matokeo yake ni kifungo cha milele... TUACHE UNAFIKI...
 
Maelezo yako Kwa watanzania yanaeleweka. Pale kile kitabu Cha mwaka 1977, kilipoandikwa Rais akifa Makamu wake anachukua nafasi bila kuwekwa kipindi Cha mpito Cha kumpima then ufanyike uchaguzi mkuu hapo ndipo mliliwa. Sasa haijulikani atatawala Hadi lini so vumilieni na muisome namba sawa sawa .
 
Maelezo yako Kwa watanzania yanaeleweka. Pale kile kitabu Cha mwaka 1977, kilipoandikwa Rais akifa Makamu wake anachukua nafasi bila kuwekwa kipindi Cha mpito Cha kumpima then ufanyike uchaguzi mkuu hapo ndipo mliliwa. Sasa haijulikani atatawala Hadi lini so vumilieni na muisome namba sawa sawa .
Kama haumpendi Hama tu nchi shoga yangu, Samia ndio kashakuwa Rais hadi 2030
 
Kama haumpendi Hama tu nchi shoga yangu, Samia ndio kashakuwa Rais hadi 2030
Hili la kumpenda linaanzia Kwenye kitabu cha mwaka 1977 au Kwa kura aliyokuomba na kumpa Kwa kusikiliza sera zake? TaTizo siasa za huko kwetu ni za uswahili na ushabiki usio na masilahi Kwa wananchi Bali Kwa kundi Fulani.
 
Naomba kutofautiana na wewe, Mama sio mzito bali ni mtu utulivu mwenye subra na hakurupuki wala hana maamuzi ya papara. Kufuatia watu kuzoeshwa kupelekwa mchaka mchaka, kuperekeshwa na maamuzi ya pupa, papa na kukurupuka, watu mnakuwa mmeizoea hali hiyo, hivyo inapotokea ameondoka ghafla na kuingia mtu mstaarabu, mtaratibu, muungwa, mnamuona kama ni mzito. Tulieni tuu mtazoea!.

Au mnataka Mama aanze kufanya mambo ya hivi...
P

Hukutaja majina lakini ni wazi unamnanga mtu fulani! Wale wakubwa wako hawapendi utumiw maneno pupa, papara na kukurupuka, mchakamchaka nk. Kwao yule mwingine hakuwa hivo!

Natumaini hutapata tatizo!
 
Kila kitu kinachofanyika, kutendeka au kutendwa, kinapaswa kuwa katika kiwango ambacho hakipungui sana au kuzidi sana(kiwe within reasonable limits).

Kwa msingi huo, hata viongozi wetu katika kufanya maamuzi, wanapaswa kuzingatia hilo ili wasiharubu, na pia ili wasionee watu.

Mwendazake katika kufanya maamuzi, kuna wakati ni wazi alipitiliza na alionea sana watu, na ndio maana tuliona baadhi ya aliowaondoa katika nafasi zao, baadae aliwarudisha(inaonyesha aligundua makosa yake).

Sasa huyu Mama yetu anaonekana kuwa ni kinyume cha Mwendazake kwa kuwa mzito kuchukua maamuzi kwa viwango nachosema ni cha kupitiliza(it is getting too much).

Mfano sahihi ni jinsi anavyokuwa mzito kumuondoa huyu Bosi wa Mapolisi ambae sasa anapigiwa kelele karibu kila kona ila Mama bado haoni kuwa huyu mtu ni tatizo (anapaswa kuondolewa).

Kama anapokea maagizo kutoka juu, njia mowajawapo ya kurekebisha hali hii bado itabaki kuwa ni kumuondoa tu na kumpangia kazi nyingine, na mrithi wake asiingiliwe, vinginevyo hatua ya kumuondoa itakuwa haina maana.

Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu, hivyo kama Mama ataendelea kupuuza hizi sauti, basi awe tayari kukubaliana na matokeo, na sijui kama kuna binadamu wa kushindana na Mungu.

Hata Mwendazake alimlinda sana Bashite na kupuuza sauti ya walio wengi, ila mwisho wa siku yalimshinda.

Too much of everything is harmful-Mama utajionea siku si nyingi.

Tukumbuke hata Mama mwenyewe anawalalamikia hawa jamaa.

Time will tell.
Mama anatupeleka siko tuwe makini!
 
Naomba kutofautiana na wewe, Mama sio mzito bali ni mtu utulivu mwenye subra na hakurupuki wala hana maamuzi ya papara. Kufuatia watu kuzoeshwa kupelekwa mchaka mchaka, kuperekeshwa na maamuzi ya pupa, papa na kukurupuka, watu mnakuwa mmeizoea hali hiyo, hivyo inapotokea ameondoka ghafla na kuingia mtu mstaarabu, mtaratibu, muungwa, mnamuona kama ni mzito. Tulieni tuu mtazoea!.

Au mnataka Mama aanze kufanya mambo ya hivi...
P
Mbona kwenye tozo hakuonyesha huo utulivu na subra?
Wewe mjinga sana
 
Ripoti ya cdm iko wazi, huku jukwaani unakutana na maoni ya watu. Usichanganye chama na maoni ya watu huku jukwaani.
o lenu chadema mnajiona mpo parfect sana hiyo lazima itawakost imagine gaidi limeua askari wanaolinda usalama wetu lakini mnawatukana polisi na kumpongeza gaidi na bado mnalilia haki je haki huwa inaupande mmoja?
 
Back
Top Bottom