johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,761
Rais Samia Suluhu Hassan amelikataa ombi la Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani la kutaka kutumia nusu ya fedha wanazokusanya kama faini kuendeshea Baraza la Usalama Barabarani.
Rais Samia amesema akikubali maana yake kikosi cha usalama barabarani kitajikita kwenye kukusanya faini badala ya kuzuia ajali.
Chanzo: Swahili Times
Maendeleo hayana vyama!
Rais Samia amesema akikubali maana yake kikosi cha usalama barabarani kitajikita kwenye kukusanya faini badala ya kuzuia ajali.
Chanzo: Swahili Times
Maendeleo hayana vyama!