Je Bashe anajua kuwa huko nyuma tuliwahi kuwa na benki ya ushirika hapa nchini? Hatima yake ilikuwa nini?Nionavyo ni Wa-TZ kuhadaika kiurahisi na kelele za Bungeni. Yaani Bashe anasimulia mambo utadhani ana niya njema. Anajidai kusimulia shida za mkulima ambazo zinafahamika miaka yote na bado anasifiwa. Nyuma yake ana lake jambo. Nimeona aliamua kusimulia mambo ya bei ya mbolea lakini hasemi kwa nini analeta benki ya ushirika wakati benki ya wakulima ipo. ni mpotopshaji tu!
Kabla ya kuridhia kuanzisha hiyo benki Ijulikane tu kuwa benki ya wakulima inaweza kuwahudumia wana ushirika kwani ni hao hao wakulima!
Bashe asome historia ya benki ya ushirika nchini kabla ya kuleta duplication ya institutions just to achieve personal gain , that will be misallocation of resources.