MoureenAbel
Member
- Sep 24, 2021
- 29
- 43
Oktoba 19 imetimia miezi saba tangu Rais Samia Suluhu Hassan aingie madarakani kuliongoza Taifa hili. Kuna mengi ameyafanya vizuri sana, na mengine hakufanya kwa usahihi, lakini kutokana na kwamba siku ya sherehe hatafuti sababu ya kuhuzunika, basi leo nitandike jamvi nimsifu kwa machache.
Mimi kama mwananchi wa kawaida yaliyonikosha zaidi ni:
1. Kuleta chanjo ya UVIKO-19 ambayo pamoja na mengi imefungua sekta ya utalii kwa watalii kuona nasi ni salama kutembelewa.
2. Ujenzi wa madarasa 15,000
3. Ujenzi wa vituo vya afya na uimarishaji wa sekta za afya
4. Kufungua fursa za kibiashara kutokana na ziara kwenye nchi mbalimbali duiani
5. Kuimarisha Demokrasia, hii bila kusahau hotuba yake Umoja wa Mataifa.
6. Uhuru wa kuzungumza na vyombo vya habari.
7. Uteuzi wa wanawake kwenye nyadhifa mbalimbali..
MAMA AMEUPIGA MWINGI SANA.. MUNGU AMSAIDIE
Mimi kama mwananchi wa kawaida yaliyonikosha zaidi ni:
1. Kuleta chanjo ya UVIKO-19 ambayo pamoja na mengi imefungua sekta ya utalii kwa watalii kuona nasi ni salama kutembelewa.
2. Ujenzi wa madarasa 15,000
3. Ujenzi wa vituo vya afya na uimarishaji wa sekta za afya
4. Kufungua fursa za kibiashara kutokana na ziara kwenye nchi mbalimbali duiani
5. Kuimarisha Demokrasia, hii bila kusahau hotuba yake Umoja wa Mataifa.
6. Uhuru wa kuzungumza na vyombo vya habari.
7. Uteuzi wa wanawake kwenye nyadhifa mbalimbali..
MAMA AMEUPIGA MWINGI SANA.. MUNGU AMSAIDIE