Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,901
- 95,401
Kufaulu katika kuirejesha Tanzania katika ramani ya Dunia🐒🐒🐒
Kufaulu katika kuirejesha Tanzania katika ramani ya Dunia🐒🐒🐒
View attachment 2128403
Taifa ambalo Rais wake anahimiza ufisadi haliwezi kufua dafu katika maendeleo kama unavyodai katika uzi wako.Ha ha ha!! Hivi lakini kaongopa?? Si ndivyo ilivyo na inafahamika kote, Afrika hii ufisadi umeshakua kama taaluma, kilichobaki ni kuwarai kama vipi wajipimie tu....maana hata uwachimbie mikwara hawaachi na ndio watazidi kuvimbiwa, kila mtu anafakamia utadhani hamna kesho.
I don't why she put him in jail in the first place but good to see she corrected the mistake.Safi sana mama Samia Suluhu, umekua suluhu kwa mengi...
I don't why she put him in jail in the first place but good to see she corrected the mistake.
mama is showing real leadership. keep it up
View attachment 2139288
Nyang'au huna lolote unafurahia shamba la bibi kukosa mlinziAcha uzembe, soma makala yote...ha ha ha!!