Madikizela
JF-Expert Member
- Jul 4, 2009
- 675
- 439
Mbona weye hujiamini na Kiswahili chako.Huyu mama ata anapoongea anaonekana tu aidha aamini kama ni Rais mwenye mamlaka kamili au amaanishi kile ambacho anaongea hyo 50/50 imewezekana wapi au nchi gani hapa Duniani kuna 50/50 ? haya mpk sasa ameshafanya teuzi ngapi hao wanawake ni wangapi? Amekuwa ni muongeaji sana kuliko vitendo
Ata = hata
aamini = haamini
amaanishi = hamaanishi